cassavaleaves
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,799
- 2,237
cassavaleaves ungepitia hiyo video,ungeongeza kitu kwenye mengi unayoyajua!
Hivi kule Syria walifanwaje watoto kwa usimamizi wa Rusia au unajifanya hujui na.hakuna.taifa lolote la kiislam lilisema kitu!Kwa haya niliyofahamu,basi US na allies wake ni wanafiki wakutupwa na wamejaa double standards!
Huu ndio ukatili wa Israel kwa wapalestina!
1.Israel ndio nchi pekee duniani ambayo watoto wanapelekwa mahakama za kijeshi na kuhukumiwa!
2.Israel Wana administrative detention,hii wanaitumia kuwaweka ndani wapalestina kwa muda wowote watakao bila kushitakiwa!Unaweza kukaa miaka na miaka!
3.Mtoto wa kipalestina wa miaka 8,9,10 anaweza kuhukumiwa Hadi miaka 20 jela kwa kosa la kurusha jiwe kwa waislaeli!Adhabu hii ni kubwa ukilinganisha na Adhabu anayoweza kupata muislael kwa kumuua mpalestina!
4.Mpalestina akifa kabla hajamaliza kifungo basi mwili wake unahifadhiwa bila kuzikwa mpaka maiti ikamilishe kifungo!Mpaka sasa Kuna maiti zaidi ya 394 zinatumikia kifungo Huko kwenye majokofu ya Israel!Na zinapomaliza vifungo basi zinazikwa na kubandikwa namba badala ya jina!
5.Kuna binti kaachiwa,alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 10,kosa lake lilikuwa kumsogelea kwa karibu Askari wa Israel!Ametoka akiwa ametumikia miaka 7 gerezani!
Hayo yote ni kinyume na Sheria za kimataifa ambazo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiziwekea nchi nyingine vikwazo kwa kukiuka haki za binadamu!
It's a shame!
Baba umeweka chumvi nyingi chakula hakilikiKwa haya niliyofahamu,basi US na allies wake ni wanafiki wakutupwa na wamejaa double standards!
Huu ndio ukatili wa Israel kwa wapalestina!
1.Israel ndio nchi pekee duniani ambayo watoto wanapelekwa mahakama za kijeshi na kuhukumiwa!
2.Israel Wana administrative detention,hii wanaitumia kuwaweka ndani wapalestina kwa muda wowote watakao bila kushitakiwa!Unaweza kukaa miaka na miaka!
3.Mtoto wa kipalestina wa miaka 8,9,10 anaweza kuhukumiwa Hadi miaka 20 jela kwa kosa la kurusha jiwe kwa waislaeli!Adhabu hii ni kubwa ukilinganisha na Adhabu anayoweza kupata muislael kwa kumuua mpalestina!
4.Mpalestina akifa kabla hajamaliza kifungo basi mwili wake unahifadhiwa bila kuzikwa mpaka maiti ikamilishe kifungo!Mpaka sasa Kuna maiti zaidi ya 394 zinatumikia kifungo Huko kwenye majokofu ya Israel!Na zinapomaliza vifungo basi zinazikwa na kubandikwa namba badala ya jina!
5.Kuna binti kaachiwa,alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 10,kosa lake lilikuwa kumsogelea kwa karibu Askari wa Israel!Ametoka akiwa ametumikia miaka 7 gerezani!
Hayo yote ni kinyume na Sheria za kimataifa ambazo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiziwekea nchi nyingine vikwazo kwa kukiuka haki za binadamu!
It's a shame!
Nimeingia youtube lakini sijaona hiyo inayoonyesha hamasi kuuwa watoto 40 na wakifanya ubakaji, naomba uzirushe hapa ili na sisi tuweze kuamini kuwa Hamas ni magaidiNenda YouTube zipo za kutosha mangi
Mayahudi kufa halali yaoKwani wale watoto wa Israel zaidi ya 200 waliokuwa kwenye tamasha la muziki wakauliwa na magaidi ya Hamas 7/10, walikuwa na mabomu?!
Joe biden anaongea live muda huu
Key notes:
Innocent palestinians
Humanitarian aid
Extension of ceasefire deal
Two state solution
Hii ndo mnadanganwa na wachungaji kobweteere .history haijawahi kudanganyawewe hujui na hutak kujua , hapo wayaudi walikwepo tangu zamani ila waarab wanakudanganyen wajinga nyiny kuwa wote walikuja mwaka 1861 hadi 1948 , sasa wayaudi waislam wangetokea wap? wayaudi walikwepp hapo na hao ndo wanahalilisha kwa kugawanywa kwa taifa la palestina baina ya waarab na wayaudi na eneo walilopewa wayaudi ndo wakapeleka wazayuni mf leo pakistan apeleke wazungu kama raia halaf India aseme hapana eneo hilo ni langu sio la wazungu wkt washangawana tyr eneo , UKIWASIKILIZA WAISLAM HUTOELEWA LOLOTE , FUATILIA PIA NA UPANDE WA PILI UELEWE
Hapa sawa , kikubwa solution ipatikane, ukipata muda sikiliza speech ya biden ya leo (japo huyu mzee uchaguzi inakaribia ila kaanza kua soft ni matumaini)Mkuu, nashukuru kwa sehemu kukubaliana na kutokubaliana. Lakini Mkuu umeona mahali popote nimeingiza Dini? Nimekupa facts ambazo hazikataliki, Hamas is religous organization, hilo halipingiki. Nimekupa narrative yangu, angalau kuanzia 1947, na wewe umeleta ramani za mgao wa UN hapo mahali, nimeandika angalau matukio ya Vita ambayo yamefanya expansion ya Wayahudi.
Ni kweli mkuu, lazima uwe na huruma tunachoona kinatokea Gaza na Israel pia! Mtu mwenye akili timamu huwezi kushabikia mauji yoyote yale, Middle East especially swala la Waarabu na Wapelestina ni complex mno! Lina dini, lina historia, lina interests za mataifa ya nje, Waarabu na Marekani, sio leo from Second World 2. Ukichanganya hayo yote, ni vigumu kulitatua.
Kumbuka kuna mikutano mingi mno ya kimataifa imeshindwa! Hata Waarabu wenyewe kuna mahali wanatofautiana kabisa, in actually sense kuna ushahidi huwa wanauza siri za Palestine Kwa Israel...Ni confusion tupu mkuu!
Mimi mtazamo wangu ni kuwa Wote Waarabu na Wayahudi wana historical attachment hapo! Hilo halipingiki! Dini zao Islam na Judaism zina mambo kwa sehemu zinashabikiana, ingawa tena radically zinatofautiana kabisa, akili za Mwarabu ziko radically different, Mwarabu anaongozwa kwa Jazba, Myahudi anakaa na kutakari (Mtazamo wangu) Hii inachangai mno katika kutatua ugomvi huo.
Hivyo let me pause here kwenye hii Mada, labda tuone hii cease fire italeta nini. Thanks to engage with you.
Mkuu ulitaka mtazamo wangu uwe sawa na mtazamo wako? Mbona Jamii Forum ingepwaya hata...That is my perspective.....we see things differently, Ndio Maana kuna vita hii, Mwarabu (Mpalestine) Kila upande una narrative yake!Hapa umepuyanga
Kumekucha mkuu, acha nifute commentMkuu ulitaka mtazamo wangu uwe sawa na mtazamo wako? Mbona Jamii Forum ingepwaya hata...That is my perspective.....we see things differently, Ndio Maana kuna vita hii, Mwarabu (Mpalestine) Kila upande una narrative yake!
Hutakiwi kukubaliana na mwazo yangu mkuu.
Na hii nifute?Hapa sawa , kikubwa solution ipatikane, ukipata muda sikiliza speech ya biden ya leo (japo huyu mzee uchaguzi inakaribia ila kaanza kua soft ni matumaini)
Na hii nifute?
cassavaleaves
Na wewe kuwa kama Israel hupangiwi wala huzuiwi Israel ni nchi huru na wewe ni nchi huru, so fanya mambo yako kivyako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa haya niliyofahamu,basi US na allies wake ni wanafiki wakutupwa na wamejaa double standards!
Huu ndio ukatili wa Israel kwa wapalestina!
1.Israel ndio nchi pekee duniani ambayo watoto wanapelekwa mahakama za kijeshi na kuhukumiwa!
2.Israel Wana administrative detention,hii wanaitumia kuwaweka ndani wapalestina kwa muda wowote watakao bila kushitakiwa!Unaweza kukaa miaka na miaka!
3.Mtoto wa kipalestina wa miaka 8,9,10 anaweza kuhukumiwa Hadi miaka 20 jela kwa kosa la kurusha jiwe kwa waislaeli!Adhabu hii ni kubwa ukilinganisha na Adhabu anayoweza kupata muislael kwa kumuua mpalestina!
4.Mpalestina akifa kabla hajamaliza kifungo basi mwili wake unahifadhiwa bila kuzikwa mpaka maiti ikamilishe kifungo!Mpaka sasa Kuna maiti zaidi ya 394 zinatumikia kifungo Huko kwenye majokofu ya Israel!Na zinapomaliza vifungo basi zinazikwa na kubandikwa namba badala ya jina!
5.Kuna binti kaachiwa,alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 10,kosa lake lilikuwa kumsogelea kwa karibu Askari wa Israel!Ametoka akiwa ametumikia miaka 7 gerezani!
Hayo yote ni kinyume na Sheria za kimataifa ambazo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiziwekea nchi nyingine vikwazo kwa kukiuka haki za binadamu!
It's a shame!
Umeandika Nini sasaMuisrael mwenye miaka 5 uwezo wake wa akili anamzidi Mtanzania mwenye miaka 40 na Wapalestina ni hivyo hivyo
Wenzenu mambo ya umri siyo kigezo tena!
Sheria za ugaidi ndizo zinazofanya kazi hiyo hata Tanzania mlilazimishwa kutunga sheria zinazoendana na mdundo huo baada ya kimbembe cha kujilipua kilipotokea mwaka 1998 Dar Es Salaam kwenye ubalozi wa Marekani.
Kwa hiyo hapa wala usisingizie Israel ambayo imezungukwa na nchi zenye jamii ya kijicho, chuki na uchokozi karibu asilimia 80% ya pande zote ikimaanisha Lebanoni, Syria, Jordan, Gaza strip, West bank zikihanikizwa viburi na Iran, Iraq, Yemen na Uturuki.
Nchi za kiarabu zenye watu wenye roho isyo na visasi dhidi ya Israel ni Qatar, Saudi Arabia, UAE na kwa mbali Egypty