Mambo ambayo sikuwa nayafahamu kuhusu Israel kabla ya "Gaza war"!

Mambo ambayo sikuwa nayafahamu kuhusu Israel kabla ya "Gaza war"!

Mkuu nimeisoma yote na asante umeniongezea kitu ila nani mchokozi toka mwanzo ? Me sitaki hayo mambo ya dini zao? Hawajaanza kugombana leo twende kwenye source hapo ndio tujue ili wasolve wafanyaje …NAN KAMCHOKOZA MWENZIE ?

Kwanza naanza kujibu argrument yako kuhusu udini....... Naona umeshindwa kabisa kuona udini wa Hamas....? Kuhusu nani mchokozi....Unajua Historia ya mahali hapo?
 
Kwanza naanza kujibu argrument yako kuhusu udini....... Naona umeshindwa kabisa kuona udini wa Hamas....? Kuhusu nani mchokozi....Unajua Historia ya mahali hapo?
Achana na dini hizo mbili yan wayahud na waislam, nan kamvamia mwenzie kwenye land ambayo sio yake na analeta ubabe kisa tu ana backup ya western countries ?
 
Zote mkuu zote zimeletwa tu na uwongo ni mwingi sana me sitaki mambo ya dini nataka tujue nan kamchokoza mwenzie huyo ndio aadhibiwe, Mkuu unajua chanjo cha ugomvi wa Palestina na Israeli ?

Mkuu ni wewe umeleta swala la udini, ungeanza tokea mwanzo kujenga hoja zako ni nani mchokozi... Hamas is purely religious au niseme extreme religious organization....Ndio maana kuna nchi za kiarabu kama Egypt hazitaki kabisa kuwasikia....ni copy and paste ya Moslem Brotherhood....
 
Achana na dini hizo mbili yan wayahud na waislam, nan kamvamia mwenzie kwenye land ambayo sio yake na analeta ubabe kisa tu ana backup ya western countries ?

Ni lini Mkuu Israel alivamia Land hiyo......? Tupe hata tarehe tu angalau....Hivyo UN inapoitambua Israel kama nchi, imesimamaia kwenye nini hasa?
 
Ni land ya nani mkuu....unaweza kutupa Historia yake....angalau kiduchu....!
Katibu mkuu wa baraza la umoja wa mataifa juz juz tu hapa, alisema hiv haya ambayo wameyafanya Hamas pamoja na ubaya wao kuua raia na nini, sio mambo ambayo yamejitokeza tu yana historia yake, baloz wa israel umoja wa mataifa kamwambia ajiuzuru, akamtukana sana.



Kinachotokea gaza leo kina historia yake na historia yake ina zaid ya miaka sabin, inaanzia 1948, taifa la israel lilipo anzishwa kwenye ardi za waarabu ambao kwa asilimia kubwa huwa ni waislam, taifa la Israel limeanzishwa kwenye ardhi za Wapalestina, kwa kuwafukuza Wapalestina kwenye maeneo yao na kuwafanya wakimbizi, Misri, Lebanon, Jordan ambao hawakukimbia hawakukimbia walipelekwa Gaza na wengine wamepelekwa ukingo wa magharibi wa mto jordan, kwa ambao hawajui Gaza ni gereza au wanasemaga ni consetration camp, Kama zile za wayahud wakat wa hitler, kila kitu kinadhibitiwa na Israel, chakula, maji hayaingii bila Israel kuruhusu, na wamechukua maeneo yote ya West Bank huko na barabarani kuna road block za wanajesh wa Israel hasa jaman huo si ni uonev, haya wanayofanya ISRAEL yangefanywa UKRAINE, wazungu wangeita GENOCIDE,

Hata wewe kwa hali hiyo ungekubali ? Ndio mana kila siku wanagombana na kupelekea wao kutunga hizo sheria zao za kipuuz, me siwatetei hamasi ila LAND NI YA WAPALESTINA
 
Ni vile tu tumeamua kuchagua sides ila majamaa zetu yanaukatili wa ajabu sana, mpaka inafikia kipindi najiuliza ndo haya kweli majukuu ya Abraham? Tusije kua tunabariki mamluki ya illuminati wakat wa Israel wakweli bado wapo utumwani tabora huko kwenye mashamba ya tumbaku
 
Ni lini Mkuu Israel alivamia Land hiyo......? Tupe hata tarehe tu angalau....Hivyo UN inapoitambua Israel kama nchi, imesimamaia kwenye nini hasa?
Ni lini Mkuu Israel alivamia Land hiyo......? Tupe hata tarehe tu angalau....Hivyo UN inapoitambua Israel kama nchi, imesimamaia kwenye nini hasa?
On May 14, 1948, David Ben-Gurion, the head of the Jewish Agency, proclaimed the establishment of the State of Israel. U.S. President Harry S. Truman recognized the new nation on the same day. Mkuu Muwe mnasoma sasa hata kidogo ndio mana me sipend vya kusimuliwa saaana i dig huku na huku, kwahiyo hapa utajua kwanini mmarekani anamsaidia myahudi
 
On May 14, 1948, David Ben-Gurion, the head of the Jewish Agency, proclaimed the establishment of the State of Israel. U.S. President Harry S. Truman recognized the new nation on the same day. Mkuu Muwe mnasoma sasa hata kidogo ndio mana me sipend vya kusimuliwa saaana i dig huku na huku, kwahiyo hapa utajua kwanini mmarekani anamsaidia myahudi
Mkuu nimekuuliza kwa Makusudi kabisa...unadhani sijui.....May 1948 walipotangaza taifa lao, kulikuwa na Taifa la Palestina?
 
Ni lini Mkuu Israel alivamia Land hiyo......? Tupe hata tarehe tu angalau....Hivyo UN inapoitambua Israel kama nchi, imesimamaia kwenye nini hasa?
Angalia revolution ya map ya Palestine alafu ndio utajua nani mkorofi,
 

Attachments

  • D7E80199-C4B4-4735-8DEA-F2FB8EB52D1A.jpeg
    D7E80199-C4B4-4735-8DEA-F2FB8EB52D1A.jpeg
    43.7 KB · Views: 2
Mkuu nimekuuliza kwa Makusudi kabisa...unadhani sijui.....May 1948 walipotangaza taifa lao, kulikuwa na Taifa la Palestina?
Muingereza aliitawala hiyo ardhi na alipoondoka akawapa wayahudi na ndio ugomvi ukaanza hapo hapo wayahudi walikuwa na sehemu ndogo sana kwenye hiyo ardhi mkuu waingereza walisema giving palestine to the jews would solve the jewish problem au wanaitaga the jewish question na walivyopewa tatizo likaanza hapo hapo, hii jewish question ni topic nyingine kabisa ni ya siku nyingine masta, nimemaliza kazi yangu hapa ngoja nipumzike, usiku mwema ila hapo Palestine anaonewa wazi wazi
 
Mkuu nimekuuliza kwa Makusudi kabisa...unadhani sijui.....May 1948 walipotangaza taifa lao, kulikuwa na Taifa la Palestina?

Halikuwepo lakini ardi ilikuwa ya waarabu mkuu wamevia na kila mtu anajua kasoro wewe
Nani kakwambia ilikuwa ardhi ya Waarabu.....Unajua Waturuki wameitawala hiyo land inayoitwa Palestine kwa miaka mingapi? Walitawala Waarabu, Wayahudi...na makabila mbali mbal waliokuwepo hapo....Wote wana legitimate attachment na hiyo land.....Ottoman Empire ruled Palestine land for almost 402... Waturuki sio Waarabu, najua unajua hilo....Baadaye Waingereza..... halafu UN ikaifanyia Partion 1947...kwa Waarabu na Waisrael waliokuwepo hapo....

Ni nani aliita hiyo Land Palestine?
 
Muingereza aliitawala hiyo ardhi na alipoondoka akawapa wayahudi na ndio ugomvi ukaanza hapo hapo wayahudi walikuwa na sehemu ndogo sana kwenye hiyo ardhi mkuu waingereza walisema giving palestine to the jews would solve the jewish problem au wanaitaga the jewish question na walivyopewa tatizo likaanza hapo hapo, hii jewish question ni topic nyingine kabisa ni ya siku nyingine masta, nimemaliza kazi yangu hapa ngoja nipumzike, usiku mwema ila hapo Palestine anaonewa wazi wazi

Mwingereza aliwapa hiyo Nchi Wayahudi....? Search Historia yako tena?
 
Nani kakwambia ilikuwa ardhi ya Waarabu.....Unajua Waturuki wameitawala hiyo land inayoitwa Palestine kwa miaka mingapi? Walitawala Waarabu, Wayahudi...na makabila mbali mbal waliokuwepo hapo....Wote wana legitimate attachment na hiyo land.....Ottoman Empire ruled Palestine land for almost 402... Waturuki sio Waarabu, najua unajua hilo....Baadaye Waingereza..... halafu UN ikaifanyia Partion 1947...kwa Waarabu na Waisrael waliokuwepo hapo....

Ni nani aliita hiyo Land Palestine?
Imetawaliwa had na roman empire, hadi mafarao wamewah kutawala hapo ottomanwalimwachia mwingereza ila hiyo land ni ya waarabu mkuu
 
Mwingereza aliwapa hiyo Nchi Wayahudi....? Search Historia yako tena?

Mkuu tutakutana kesho.....Wote Waarabu na Wayahudi wana legitimate attachment na hiyo land! Ndio maana UN 1947 iliigawanya kwa wote mkuu! Mwingereza hajawahi kumpa nchi Myahudi.
 
Imetawaliwa had na roman empire, hadi mafarao wamewah kutawala hapo ottomanwalimwachia mwingereza ila hiyo land ni ya waarabu mkuu
Land ya Mwarabu from what basis....? Mbona huelezi? Msimamo wangu uko wazi, Mwarabu na Myahudi wote wana historical attachment.....Ndio Maana hata Warabu.....hata Hamas wanakubali two State solution sasa hivi....Zamani walikuwa hawataki kusikia hilo....Usiku Mwema.
 
Mwingereza aliwapa hiyo Nchi Wayahudi....? Search Historia yako tena?
Aisee kasome tena masta nenda kasome the ba
Mkuu tutakutana kesho.....Wote Waarabu na Wayahudi wana legitimate attachment na hiyo land! Ndio maana UN 1947 iliigawanya kwa wote mkuu! Mwingereza hajawahi kumpa nchi Myahudi.
masta ukitaka kujua nani alimpa myahudi hiyo land kasome the BALFOUR DECLARATION… usiku mwema…
 
Imetawaliwa had na roman empire, hadi mafarao wamewah kutawala hapo ottomanwalimwachia mwingereza ila hiyo land ni ya waarabu mkuu
British Mandate ilipoisha hakumwachia Mwarabu wala Myahudi....

When did the British mandate of Palestine end?


15th May 1948

Later that year, Britain announced its intention to leave Palestine by 1948, and the UN voted to partition the country into Jewish and Arab states. On the 15th May 1948 Britain formally ceded its Mandate, and the state of Israel was formed. British forces withdrew from the port of Haifa.
 
Back
Top Bottom