Mambo ambayo ukifanya watu hawatasita kukuua. Bila kujali Sheria zipo au hazipo, Mungu yupo au hayupo

Mambo ambayo ukifanya watu hawatasita kukuua. Bila kujali Sheria zipo au hazipo, Mungu yupo au hayupo

NASISITIZA, MAMBO AMBAYO UKIFANYA WATU HAWATASITA KUKUUA. BILA KUJALI SHERIA ZIPO AU HAZIPO, MUNGU YUPO AU HAYUPO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Moderator msihariri hicho kichwa kupunguza ukali wa Maneno na kupoteza uzito wa ujumbe.

Oooh! Kuua ni ukatili, kuua sio HAKI. Oooh! Kuua ni Kwa nchi zisizoendelea! Ndugu zangu usije ukajidanganya Wala kudanganywa. Wala usije ukajichanganya. Watakuua, utamalizwa.

Kuna mambo ukifanya nakuhakikisha umejiingiza kwenye Hatari kubwa ya kuangamizwa, kuuawa, kupotezwa. Mambo hayo yapo Katika Nyanja zote, kisiasa, kijamii na kiuchumi
Kama Ifuatavyo;

1. KISIASA,
a) Uhaini, kufanya mipango ya kumuua Mfalme au Rais, kuratibu au kushiriki mipango hiyo. Kwa namna yoyote Ile.
Watakuua nakuhakikishia, kama wewe ulivyopanga kumuua au kumpindua mfalme Basi tegemea matokeo makubwa ya Hatari yatakayokurudia.

b) Kuipasua nchi.
Mfano nchi ya Tanzania, ufanye Njama igawnyike Mapande Mapande kama vile Sudan Kusini na Sudan Kaskazini. Watakuua nakuhakikishia. Labda uwe na bahati Sana uchoropoke. Au uwe umewazidi mipango, mikakati na mbinu.

c) Kuungana na Adui wa Nchi.
Mfano, Korea Kaskazini na Kusini. Wewe ni Mkorea Kusini lakini unaunga Mkono Korea Kaskazini au kinyume chake. Watakuua mchana kweupe.

d) kusogeza Mpaka wa Nchi.
Mfano, Malawi wanaleta chokochoko wanataka labda ziwa na baadhi ya maeneo. Au vile Idi Amin anataka kuchukua baadhi ya maeneo ya Kagera alafu wewe unajifanya unaungana na Amini au Malawi ili Tanzania ichukuliwe maeneo yake. Watakuua nakuhakikishia.

e) Ugaidi
Matendo yoyote ya Kigaidi hasa ukiwa frontline na kiongozi. Utauawa Bila huruma.

f) Uasi Jeshini.
Wewe ni Mwanajeshi, labda ukaona Jambo Fulani linaenda ndivyo sivyo. Ukaamua kushawishi wenzako wenye mtazamo kama wako. Kaa ukijua Mchezo unaoenda kuufanya ni vita ya Kifo na uhai. Kuuawa ni njenje.

2. KIJAMII
a) Kulala na Mke au Mume wa Mtu.
Kuna wanasema, oooh! Huo ni ushamba, hooo! Kujichukulia Sheria mkononi, oooh! Sio uungwana.
My friend, huo uungwana ungeanza nao wewe hapo. Sio uchukue Wake/Waume za watu alafu uwatake wawe waungwana, watakuua nakuhakikishia. Utauawa, au kufirwa, au kufanyiwa matendo yanayolingana na Jambo ulilofanya.

MKE au Mume wa Mtu thamani yake ni kubwa kwenye maisha ya Mtu. Huwezi ukaenda kuchukua Mke au Mume wa Mtu alafu ukaleta Maneno yako ya kanisani au misikitini huko. Watakuua nakuambia.

Oooh! Haki za binadamu. Hizo Haki za binadamu zitumie kuheshimi Mali na vitu vya watu wengine. Kama Haki hizo hukuzitumia Jua hakuna atakayezikumbuka kuzitumia. Utauawa.

Labda ukutane na watu wasio na nguvu ya kufanya hayo. Lakini kama Mtu ananguvu yoyote Ile. Tegemea Kuuawa kikatili.

b) Urithi na wizi wa Mali.
Urithi ni Haki ya asili ya Mtu.
Unapochukua Haki hiyo tegemea Kuuawa.
Historia inajieleza, mauaji Mengi yamechangiwa na ishu ya Urithi na wizi wa Mali.

Wewe unajijua huna Haki ya kuchukua Mali Fulani, why utake kuichukua Mali hiyo kama sio dharau, kiburi na kujifanya mwamba. Hakika utauawa.

Mfano,
Umeolewa, huna Kazi ya maana, Mumeo ni tajiri wa kutosha, uwiano wenu wa mchango wa Mali kwako ni 20 Mume 80 yaani 2:8 au 1:4.
Imetokea mmegombana, alafu ukadai Talaka, alafu kwenye Mali unataka upewe nusu kwa nusu. Hakika yake utauawa. Hiyo sio Haki yako.
Inakuwa Haki yako ukiwa kwenye Ndoa lakini mara utakapoondoka haiwi yako tena Bali kila mtu anachukua kilichochake.
Ni kama kampuni. Kila mtu achukue Hisa zake.
Sasa kitendo cha wewe kutaka kuchukua Hisa ambazo sio zake ni kujitafutia matatizo makubwa ikiwezekana kuuawa.

Ndio maana Kila siku Mimi Mtibeli nawaambia wanawake na ninyi mfanye Kazi, muwe na Hisa zenu.
Sio mzae tuu au mjifiche kwenye kichaka cha kufanya Kazi za nyumbani sijui kulea.
Ilhali siku hizi matajiri na watu wengi Wana watafutia wadada WA Kazi na Kazi karibia zote hapo nyumbani zinafanywa na Dada wa Kazi.

Utauawa. Na Sisi Watibeli hatutashangaa kwa sababu Dawa ya watu kama ninyi ni Kifo hasa mkiwa mmedhamiria.

Mfano, 2
Mtoto wa nje hupaswi kudai HAKI ya Urithi kama hukulelewa kwenye familia ya Baba yako. Lilikuwa jukumu la Mama yako kupeleka kwa Baba yako ukaishi huko.
Kwa Sisi Watibeli tunajua Mtoto ambaye hujamlea huyo sio mtoto wako.
Mtoto wako ni Yule uliyemlea.

Mtoto atarithi kwa mama au upande wa Mamaake ikiwa alikulia huko. Hiyo ndio HAKI.
Achana na Maneno ya kilaghai na uongouongo na unafikinafiki yanayotokewa na HAKI zijui za binadamu. Haipo hivyo.

Sehemu ambayo hujakulia au kulelewa wewe utabaki kuwa mgeni tuu. Hata wewe mwenyewe ukifika nafsi yako itajiona hivyo.

Ndio maana Mimi Mtibeli kila wakati nawaambia, hasa wanawake ikiwa umeamua kukaa na mtoto Moja kwa Moja basi Hakikisha unatambua vitu muhimu kama hivyo.
Ukikaa na mtoto Hakikisha unamtafutia na Urithi kwa sababu huyo ni mtoto wako.
Sio ukae naye wewe alafu Biological father amtafutie Urithi ilhali hakai naye. Huyo sio mtoto wake kimazingira ila ni mtoto wake kibaolojia.

Lazima umuandalie na HAKI za Baraka zake kama mtoto.

Baba hawezi kumbariki mtoto ambaye hajaishi naye hizo Baraka zikashika. Tumia Akili ndogo kujua Hilo.
Baraka za Baba lazima ziwe na connection ya kimwili, kiroho na kimazingira.
Lazima Baba ajue Tabia na makuzi ya Mtoto.

Na umri sasa watoto kujuana na Baba ni Kati ya Miaka 0-15.

Baraka pia ni sehemu ya Urithi ambao unapiganiwa kufa kupona hasa na watoto wenye AKILI wenye mipango ya Muda mrefu na wanaotaka vizazi vyao viwe na Nguvu.

c) Kuiba mashamba au viwanja vya watu.
Utauawa wewe. Ugomvi wa ardhi umeua wengi Sana.

Acha niende Kanisani Kwanza, alafu tutaendelea.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Sijaona mtu kupasuliwa yai.
 
Kweli kabisa Mkuu, mazoea ni mabaya sana hata Mimi mtaani kwangu kuna vijana wengi sana lakini niliowazoea kama 10 tu tena kwa sababu maalumu
Kwa kifupi ni kwamba wanaume serious hawapendi mazoea.

Hata humu, walio kando wakiona huyu serious wajinga wajinga wanataka kuwaletea mazoea. Utaona wana ku-quote mpotezee huyo taahira.

Sasa wajinga-wajinga uwa hawaelewi hilo somo.
 
Kuzaa au kuzaliwa ni jukumu la Mungu sio la wanaofanya zinaa au tendo la ndoa. Usichanganye madesa.

Uzinzi dhambi inayoweza kuleta Laana.
Mwanaume anapofanya zinaa



Uwajibikaji ni lazima
Nishakuambia,
Kuna wajibu wa lazima na wajibu wa hiyari.

Kumpa mtoto Urithi au Baraka ni wajibu wa hiyari Kwa Baba. Sio lazima.

Urithi wa asili ambao hutolewa na Mungu mwenyewe kupitia genetics, ni MUNGU mwenyewe


Kumrithisha mtoto au kumbariki sio jukumu la lazima la mzazi kwa mtoto

Mzazi hufanya hivyo kwa mtoto ambaye atafanya mapenzi ya Babaake
Mungu hazai bali Mungu huumba....zinaa au tendo la ndoa ndio ya pekee ya Mungu kupitisha uumbaji wake.......hivyo Mungu anawajibika na anahusika katika uumbaji na sio uzalishaji


Uwajibikaji wa khiyari ni ule ambao uhusika wako juu ya jambo haupo moja kwa moja.....na uwajibikaji wa lazima ni ule ambao uwajibikaji wako ni wa moja kwa moja kwenye jambo husika......umehusika kwenye kumtongoza mwanamke na ukapanga miadi ya kuzini naye lazima uwajibike kwenye matokeo yake........


Kwa mimi nijuavyo urithi ni lazima kwa mtoto.....kwa kuwa urithi anarithiwa aliyekufa......
 
NASISITIZA, MAMBO AMBAYO UKIFANYA WATU HAWATASITA KUKUUA. BILA KUJALI SHERIA ZIPO AU HAZIPO, MUNGU YUPO AU HAYUPO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Moderator msihariri hicho kichwa kupunguza ukali wa Maneno na kupoteza uzito wa ujumbe.

Oooh! Kuua ni ukatili, kuua sio HAKI. Oooh! Kuua ni Kwa nchi zisizoendelea! Ndugu zangu usije ukajidanganya Wala kudanganywa. Wala usije ukajichanganya. Watakuua, utamalizwa.

Kuna mambo ukifanya nakuhakikisha umejiingiza kwenye Hatari kubwa ya kuangamizwa, kuuawa, kupotezwa. Mambo hayo yapo Katika Nyanja zote, kisiasa, kijamii na kiuchumi
Kama Ifuatavyo;

1. KISIASA,
a) Uhaini, kufanya mipango ya kumuua Mfalme au Rais, kuratibu au kushiriki mipango hiyo. Kwa namna yoyote Ile.
Watakuua nakuhakikishia, kama wewe ulivyopanga kumuua au kumpindua mfalme Basi tegemea matokeo makubwa ya Hatari yatakayokurudia.

b) Kuipasua nchi.
Mfano nchi ya Tanzania, ufanye Njama igawnyike Mapande Mapande kama vile Sudan Kusini na Sudan Kaskazini. Watakuua nakuhakikishia. Labda uwe na bahati Sana uchoropoke. Au uwe umewazidi mipango, mikakati na mbinu.

c) Kuungana na Adui wa Nchi.
Mfano, Korea Kaskazini na Kusini. Wewe ni Mkorea Kusini lakini unaunga Mkono Korea Kaskazini au kinyume chake. Watakuua mchana kweupe.

d) kusogeza Mpaka wa Nchi.
Mfano, Malawi wanaleta chokochoko wanataka labda ziwa na baadhi ya maeneo. Au vile Idi Amin anataka kuchukua baadhi ya maeneo ya Kagera alafu wewe unajifanya unaungana na Amini au Malawi ili Tanzania ichukuliwe maeneo yake. Watakuua nakuhakikishia.

e) Ugaidi
Matendo yoyote ya Kigaidi hasa ukiwa frontline na kiongozi. Utauawa Bila huruma.

f) Uasi Jeshini.
Wewe ni Mwanajeshi, labda ukaona Jambo Fulani linaenda ndivyo sivyo. Ukaamua kushawishi wenzako wenye mtazamo kama wako. Kaa ukijua Mchezo unaoenda kuufanya ni vita ya Kifo na uhai. Kuuawa ni njenje.

2. KIJAMII
a) Kulala na Mke au Mume wa Mtu.
Kuna wanasema, oooh! Huo ni ushamba, hooo! Kujichukulia Sheria mkononi, oooh! Sio uungwana.
My friend, huo uungwana ungeanza nao wewe hapo. Sio uchukue Wake/Waume za watu alafu uwatake wawe waungwana, watakuua nakuhakikishia. Utauawa, au kufirwa, au kufanyiwa matendo yanayolingana na Jambo ulilofanya.

MKE au Mume wa Mtu thamani yake ni kubwa kwenye maisha ya Mtu. Huwezi ukaenda kuchukua Mke au Mume wa Mtu alafu ukaleta Maneno yako ya kanisani au misikitini huko. Watakuua nakuambia.

Oooh! Haki za binadamu. Hizo Haki za binadamu zitumie kuheshimi Mali na vitu vya watu wengine. Kama Haki hizo hukuzitumia Jua hakuna atakayezikumbuka kuzitumia. Utauawa.

Labda ukutane na watu wasio na nguvu ya kufanya hayo. Lakini kama Mtu ananguvu yoyote Ile. Tegemea Kuuawa kikatili.

b) Urithi na wizi wa Mali.
Urithi ni Haki ya asili ya Mtu.
Unapochukua Haki hiyo tegemea Kuuawa.
Historia inajieleza, mauaji Mengi yamechangiwa na ishu ya Urithi na wizi wa Mali.

Wewe unajijua huna Haki ya kuchukua Mali Fulani, why utake kuichukua Mali hiyo kama sio dharau, kiburi na kujifanya mwamba. Hakika utauawa.

Mfano,
Umeolewa, huna Kazi ya maana, Mumeo ni tajiri wa kutosha, uwiano wenu wa mchango wa Mali kwako ni 20 Mume 80 yaani 2:8 au 1:4.
Imetokea mmegombana, alafu ukadai Talaka, alafu kwenye Mali unataka upewe nusu kwa nusu. Hakika yake utauawa. Hiyo sio Haki yako.
Inakuwa Haki yako ukiwa kwenye Ndoa lakini mara utakapoondoka haiwi yako tena Bali kila mtu anachukua kilichochake.
Ni kama kampuni. Kila mtu achukue Hisa zake.
Sasa kitendo cha wewe kutaka kuchukua Hisa ambazo sio zake ni kujitafutia matatizo makubwa ikiwezekana kuuawa.

Ndio maana Kila siku Mimi Mtibeli nawaambia wanawake na ninyi mfanye Kazi, muwe na Hisa zenu.
Sio mzae tuu au mjifiche kwenye kichaka cha kufanya Kazi za nyumbani sijui kulea.
Ilhali siku hizi matajiri na watu wengi Wana watafutia wadada WA Kazi na Kazi karibia zote hapo nyumbani zinafanywa na Dada wa Kazi.

Utauawa. Na Sisi Watibeli hatutashangaa kwa sababu Dawa ya watu kama ninyi ni Kifo hasa mkiwa mmedhamiria.

Mfano, 2
Mtoto wa nje hupaswi kudai HAKI ya Urithi kama hukulelewa kwenye familia ya Baba yako. Lilikuwa jukumu la Mama yako kupeleka kwa Baba yako ukaishi huko.
Kwa Sisi Watibeli tunajua Mtoto ambaye hujamlea huyo sio mtoto wako.
Mtoto wako ni Yule uliyemlea.

Mtoto atarithi kwa mama au upande wa Mamaake ikiwa alikulia huko. Hiyo ndio HAKI.
Achana na Maneno ya kilaghai na uongouongo na unafikinafiki yanayotokewa na HAKI zijui za binadamu. Haipo hivyo.

Sehemu ambayo hujakulia au kulelewa wewe utabaki kuwa mgeni tuu. Hata wewe mwenyewe ukifika nafsi yako itajiona hivyo.

Ndio maana Mimi Mtibeli kila wakati nawaambia, hasa wanawake ikiwa umeamua kukaa na mtoto Moja kwa Moja basi Hakikisha unatambua vitu muhimu kama hivyo.
Ukikaa na mtoto Hakikisha unamtafutia na Urithi kwa sababu huyo ni mtoto wako.
Sio ukae naye wewe alafu Biological father amtafutie Urithi ilhali hakai naye. Huyo sio mtoto wake kimazingira ila ni mtoto wake kibaolojia.

Lazima umuandalie na HAKI za Baraka zake kama mtoto.

Baba hawezi kumbariki mtoto ambaye hajaishi naye hizo Baraka zikashika. Tumia Akili ndogo kujua Hilo.
Baraka za Baba lazima ziwe na connection ya kimwili, kiroho na kimazingira.
Lazima Baba ajue Tabia na makuzi ya Mtoto.

Na umri sasa watoto kujuana na Baba ni Kati ya Miaka 0-15.

Baraka pia ni sehemu ya Urithi ambao unapiganiwa kufa kupona hasa na watoto wenye AKILI wenye mipango ya Muda mrefu na wanaotaka vizazi vyao viwe na Nguvu.

c) Kuiba mashamba au viwanja vya watu.
Utauawa wewe. Ugomvi wa ardhi umeua wengi Sana.

Acha niende Kanisani Kwanza, alafu tutaendelea.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Nilitegemea hiyo namba 1 iwe ukiipinga CCM
 
Mungu hazai bali Mungu huumba....zinaa au tendo la ndoa ndio ya pekee ya Mungu kupitisha uumbaji wake.......hivyo Mungu anawajibika na anahusika katika uumbaji na sio uzalishaji
Mungu anahusika na suala la uombaji, ukuzaji, Mpaka mtoto anazaliwa

Mimba haiwezi kutungwa bila Ruhusa ya Mungu.
Ila mtu anaweza kufanya ngono kwa matakwa yake ila hawezi kuzaa kwa matakwa yake.

Alafu tendo la ndoa sio Njia pekee ambayo Mungu anaweza kuitumia kufanya uumbaji au kuleta Duniani watu wake.

Uwajibikaji wa khiyari ni ule ambao uhusika wako juu ya jambo haupo moja kwa moja.....na uwajibikaji wa lazima ni ule ambao uwajibikaji wako ni wa moja kwa moja kwenye jambo husika......umehusika kwenye kumtongoza mwanamke na ukapanga miadi ya kuzini naye lazima uwajibike kwenye matokeo yake........
Hili sijakataa.
Ila suala la Urithi na Baraka sio jukumu la lazima la mzazi kwa mtoto.
Hata aliowalea sio lazima awape Urithi au Baraka.
Urithi na Baraka ni suala y hiyari(mapenzi) ya mzazi kwa Mtoto.


Kwa mimi nijuavyo urithi ni lazima kwa mtoto.....kwa kuwa urithi anarithiwa aliyekufa......

Urithi sio lazima kwa mtoto
Urithi ni hiyari(mapenzi) ya mzazi kwa mtoto ambaye anampenda na aliyependezwa naye.

Ndio nikakuambia, Mungu mwenyewe anahiyari ya wewe ukizaa watoto wakurithi sura yako au maumbile yako au wasikurithi ni hiyari yake yeye anayeumba sio lazima.
Ndio maana unaweza ukazaa watoto na usifanane nao,

Kwenye Urithi wa kimazingira, Kama Mali, mzazi anaweza asikurithishe chochote kile na isiwe kosa kwake.

Nafikiri somo la HAKI bado linawapiga wengi Chenga.

Baba hutoa Urithi kwa watoto kwa hiyari, kwa mapenzi. Na sio wajibu wake kufanya hivyo. Yaani hakuna sheria popote iwe ya kiroho au ya dunia itakayomuwajibisha.

Ndio maana huwezi kwenda kwa Babaako kumdai Urithi wako, au kudai Baraka zako.
Ila utadai mahitaji ya msingi kama chakula, sehemu ya Kulala, mavazi na siku hizi Elimu.
Na hapo ni ukiwa mtoto.

Ukiwa Mkubwa mzazi wako Hana wajibu wowote kwako, ndio maana hawezi kukuamulia Maisha yako, Yale aliyokufundisha unahiyari ya kuyafuata au kuyapuuza.

Urithi mtu anaweza kukupa hata Akiwa HAI.
Anaweza kukwambia nikiondoka wewe ndiye utakuwa mmiliki wa hii nyumba,
Hivyo nyumba Ile umerithishwa tangu Mzee Akiwa hai kwa sharti itakuwa yako siku atakapokufa.

Najua ukweli huu wengi hawautaki ila ndio iko hivyo, Mtoto wa nje, ambaye hujamlea, hujaishi naye hawezi kuwa mtoto wako kimazingira. Na huwezi kumbariki na Baraka zako zikashika.

Baraka za wazazi haziishii tuu mdomoni Bali zinategemea zaidi connections kutoka rohoni baina ya mtoto na mzazi.

Kumbuka mtoto ambaye hujamkuza wewe au hajakuzwa na Baba Hana connection(bond) mapenzi na Baba yake.
Halikadhalika na upande wa mtoto ambaye hajakuzwa na Mama yake.

Baraka sio tuu kumtamkia Mtu.

Kuna swali watu wengi wanauliza, kwa nini waafrika wengi hawawezi kuendeleza Mali walizoachiwa na Baba au Babu Zao. Jibu lake lipo katika Mada hii.

Huwezi kurithi au Kupata Baraka ambayo huna connection nayo
 
Mungu anahusika na suala la uombaji, ukuzaji, Mpaka mtoto anazaliwa

Mimba haiwezi kutungwa bila Ruhusa ya Mungu.
Ila mtu anaweza kufanya ngono kwa matakwa yake ila hawezi kuzaa kwa matakwa yake.

Alafu tendo la ndoa sio Njia pekee ambayo Mungu anaweza kuitumia kufanya uumbaji au kuleta Duniani watu wake.


Hili sijakataa.
Ila suala la Urithi na Baraka sio jukumu la lazima la mzazi kwa mtoto.
Hata aliowalea sio lazima awape Urithi au Baraka.
Urithi na Baraka ni suala y hiyari(mapenzi) ya mzazi kwa Mtoto.




Urithi sio lazima kwa mtoto
Urithi ni hiyari(mapenzi) ya mzazi kwa mtoto ambaye anampenda na aliyependezwa naye.

Ndio nikakuambia, Mungu mwenyewe anahiyari ya wewe ukizaa watoto wakurithi sura yako au maumbile yako au wasikurithi ni hiyari yake yeye anayeumba sio lazima.
Ndio maana unaweza ukazaa watoto na usifanane nao,

Kwenye Urithi wa kimazingira, Kama Mali, mzazi anaweza asikurithishe chochote kile na isiwe kosa kwake.

Nafikiri somo la HAKI bado linawapiga wengi Chenga.

Baba hutoa Urithi kwa watoto kwa hiyari, kwa mapenzi. Na sio wajibu wake kufanya hivyo. Yaani hakuna sheria popote iwe ya kiroho au ya dunia itakayomuwajibisha.

Ndio maana huwezi kwenda kwa Babaako kumdai Urithi wako, au kudai Baraka zako.
Ila utadai mahitaji ya msingi kama chakula, sehemu ya Kulala, mavazi na siku hizi Elimu.
Na hapo ni ukiwa mtoto.

Ukiwa Mkubwa mzazi wako Hana wajibu wowote kwako, ndio maana hawezi kukuamulia Maisha yako, Yale aliyokufundisha unahiyari ya kuyafuata au kuyapuuza.

Urithi mtu anaweza kukupa hata Akiwa HAI.
Anaweza kukwambia nikiondoka wewe ndiye utakuwa mmiliki wa hii nyumba,
Hivyo nyumba Ile umerithishwa tangu Mzee Akiwa hai kwa sharti itakuwa yako siku atakapokufa.

Najua ukweli huu wengi hawautaki ila ndio iko hivyo, Mtoto wa nje, ambaye hujamlea, hujaishi naye hawezi kuwa mtoto wako kimazingira. Na huwezi kumbariki na Baraka zako zikashika.

Baraka za wazazi haziishii tuu mdomoni Bali zinategemea zaidi connections kutoka rohoni baina ya mtoto na mzazi.

Kumbuka mtoto ambaye hujamkuza wewe au hajakuzwa na Baba Hana connection(bond) mapenzi na Baba yake.
Halikadhalika na upande wa mtoto ambaye hajakuzwa na Mama yake.

Baraka sio tuu kumtamkia Mtu.

Kuna swali watu wengi wanauliza, kwa nini waafrika wengi hawawezi kuendeleza Mali walizoachiwa na Baba au Babu Zao. Jibu lake lipo katika Mada hii.

Huwezi kurithi au Kupata Baraka ambayo huna connection nayo

Mungu anahusika na suala la uombaji, ukuzaji, Mpaka mtoto anazaliwa

Mimba haiwezi kutungwa bila Ruhusa ya Mungu.
Ila mtu anaweza kufanya ngono kwa matakwa yake ila hawezi kuzaa kwa matakwa yake.

Alafu tendo la ndoa sio Njia pekee ambayo Mungu anaweza kuitumia kufanya uumbaji au kuleta Duniani watu wake.


Hili sijakataa.
Ila suala la Urithi na Baraka sio jukumu la lazima la mzazi kwa mtoto.
Hata aliowalea sio lazima awape Urithi au Baraka.
Urithi na Baraka ni suala y hiyari(mapenzi) ya mzazi kwa Mtoto.




Urithi sio lazima kwa mtoto
Urithi ni hiyari(mapenzi) ya mzazi kwa mtoto ambaye anampenda na aliyependezwa naye.

Ndio nikakuambia, Mungu mwenyewe anahiyari ya wewe ukizaa watoto wakurithi sura yako au maumbile yako au wasikurithi ni hiyari yake yeye anayeumba sio lazima.
Ndio maana unaweza ukazaa watoto na usifanane nao,

Kwenye Urithi wa kimazingira, Kama Mali, mzazi anaweza asikurithishe chochote kile na isiwe kosa kwake.

Nafikiri somo la HAKI bado linawapiga wengi Chenga.

Baba hutoa Urithi kwa watoto kwa hiyari, kwa mapenzi. Na sio wajibu wake kufanya hivyo. Yaani hakuna sheria popote iwe ya kiroho au ya dunia itakayomuwajibisha.

Ndio maana huwezi kwenda kwa Babaako kumdai Urithi wako, au kudai Baraka zako.
Ila utadai mahitaji ya msingi kama chakula, sehemu ya Kulala, mavazi na siku hizi Elimu.
Na hapo ni ukiwa mtoto.

Ukiwa Mkubwa mzazi wako Hana wajibu wowote kwako, ndio maana hawezi kukuamulia Maisha yako, Yale aliyokufundisha unahiyari ya kuyafuata au kuyapuuza.

Urithi mtu anaweza kukupa hata Akiwa HAI.
Anaweza kukwambia nikiondoka wewe ndiye utakuwa mmiliki wa hii nyumba,
Hivyo nyumba Ile umerithishwa tangu Mzee Akiwa hai kwa sharti itakuwa yako siku atakapokufa.

Najua ukweli huu wengi hawautaki ila ndio iko hivyo, Mtoto wa nje, ambaye hujamlea, hujaishi naye hawezi kuwa mtoto wako kimazingira. Na huwezi kumbariki na Baraka zako zikashika.

Baraka za wazazi haziishii tuu mdomoni Bali zinategemea zaidi connections kutoka rohoni baina ya mtoto na mzazi.

Kumbuka mtoto ambaye hujamkuza wewe au hajakuzwa na Baba Hana connection(bond) mapenzi na Baba yake.
Halikadhalika na upande wa mtoto ambaye hajakuzwa na Mama yake.

Baraka sio tuu kumtamkia Mtu.

Kuna swali watu wengi wanauliza, kwa nini waafrika wengi hawawezi kuendeleza Mali walizoachiwa na Baba au Babu Zao. Jibu lake lipo katika Mada hii.

Huwezi kurithi au Kupata Baraka ambayo huna connection nayo
Anayerithiwa ni yule aliyekufa sio Kwa walio hai.....na aliyekufa hana chake duniani Bali kwa waliokuwa hai ndio maana upo utaratibu wa kidini au wa kisheria za nchi za mgawanyo hizo mali alizoacha marehemu.......

Huwezi kwenda kwa Baba yako udai urithi angali yupo hai......

Hapa suala la msingi sio bond baina ya Baba na mtoto suala la hapa ni kuwa wewe ndio kisababishi cha huyo mtoto kuja duniani....na kama wewe ndio Baba kwanini ukwepe kuwajibika kwenye maamuzi yako au matokeo ya kitendo chako......??

Kama ni muadilifu na mjuzi wa kukimbia wajibu wako kwanini umefanya uchafu na kukileta kiumbe ambacho hakijakuomba ukilete.....??

Kama unaipenda familia yako kwanini unashindwa kujidhibiti na kusababisha mateso kwa wengine kwa matendo yako maovu....??

Hata kama mama mtoto analeta ugumu na mtoto anahitaji huduma yako basi tumia mbinu nyingine kufikisha huduma na sio kutafuta sababu ya kukimbia wajibu wako.....

Mtoto kuwa hakuletwi na mazingira bali kwa uthibitisho wa kinasaba pekee kama kuna sintofahamu baina ya wewe na mama yake.........

Kama umeruka ruka na kusababisha ujio wa kiumbe hapa duniani basi niwajibu wako kuhangaika na hatima ya hicho kiumbe chini ya jua.......

Iwe umemlea au hujamlea as long as wewe ndio kisababishi cha uwepo wake duniani basi ana haki kwako.....na kama unadhani kuwa ni kero basi jidhibiti matamanio yako hali ya kuwa una na watoto........
 
Mgema akisifiwa sana tembo hutia maji, Sasa umeanza kujiandikia tu ilimradi.
 
Back
Top Bottom