Mambo ambayo ukifanya watu hawatasita kukuua. Bila kujali Sheria zipo au hazipo, Mungu yupo au hayupo

Mambo ambayo ukifanya watu hawatasita kukuua. Bila kujali Sheria zipo au hazipo, Mungu yupo au hayupo

f) Uasi Jeshini.
Wewe ni Mwanajeshi, labda ukaona Jambo Fulani linaenda ndivyo sivyo. Ukaamua kushawishi wenzako wenye mtazamo kama wako. Kaa ukijua Mchezo unaoenda kuufanya ni vita ya Kifo na uhai. Kuuawa ni njenje.
Ukiweza kufanikiwa kuikwepa mifumo ya ulinzi ndani ya Jeshi, unaweza ukaasi vizuri sana mkuu..

Kwa nchi za dunia ya tatu, hii itahitaji zaidi msaada kutoka nje ya nchi, hususan kwa wazungu..
 
NASISITIZA, MAMBO AMBAYO UKIFANYA WATU HAWATASITA KUKUUA. BILA KUJALI SHERIA ZIPO AU HAZIPO, MUNGU YUPO AU HAYUPO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Moderator msihariri hicho kichwa kupunguza ukali wa Maneno na kupoteza uzito wa ujumbe.

Oooh! Kuua ni ukatili, kuua sio HAKI. Oooh! Kuua ni Kwa nchi zisizoendelea! Ndugu zangu usije ukajidanganya Wala kudanganywa. Wala usije ukajichanganya. Watakuua, utamalizwa.

Kuna mambo ukifanya nakuhakikisha umejiingiza kwenye Hatari kubwa ya kuangamizwa, kuuawa, kupotezwa. Mambo hayo yapo Katika Nyanja zote, kisiasa, kijamii na kiuchumi
Kama Ifuatavyo;

1. KISIASA,
a) Uhaini, kufanya mipango ya kumuua Mfalme au Rais, kuratibu au kushiriki mipango hiyo. Kwa namna yoyote Ile.
Watakuua nakuhakikishia, kama wewe ulivyopanga kumuua au kumpindua mfalme Basi tegemea matokeo makubwa ya Hatari yatakayokurudia.

b) Kuipasua nchi.
Mfano nchi ya Tanzania, ufanye Njama igawnyike Mapande Mapande kama vile Sudan Kusini na Sudan Kaskazini. Watakuua nakuhakikishia. Labda uwe na bahati Sana uchoropoke. Au uwe umewazidi mipango, mikakati na mbinu.

c) Kuungana na Adui wa Nchi.
Mfano, Korea Kaskazini na Kusini. Wewe ni Mkorea Kusini lakini unaunga Mkono Korea Kaskazini au kinyume chake. Watakuua mchana kweupe.

d) kusogeza Mpaka wa Nchi.
Mfano, Malawi wanaleta chokochoko wanataka labda ziwa na baadhi ya maeneo. Au vile Idi Amin anataka kuchukua baadhi ya maeneo ya Kagera alafu wewe unajifanya unaungana na Amini au Malawi ili Tanzania ichukuliwe maeneo yake. Watakuua nakuhakikishia.

e) Ugaidi
Matendo yoyote ya Kigaidi hasa ukiwa frontline na kiongozi. Utauawa Bila huruma.

f) Uasi Jeshini.
Wewe ni Mwanajeshi, labda ukaona Jambo Fulani linaenda ndivyo sivyo. Ukaamua kushawishi wenzako wenye mtazamo kama wako. Kaa ukijua Mchezo unaoenda kuufanya ni vita ya Kifo na uhai. Kuuawa ni njenje.

2. KIJAMII
a) Kulala na Mke au Mume wa Mtu.
Kuna wanasema, oooh! Huo ni ushamba, hooo! Kujichukulia Sheria mkononi, oooh! Sio uungwana.
My friend, huo uungwana ungeanza nao wewe hapo. Sio uchukue Wake/Waume za watu alafu uwatake wawe waungwana, watakuua nakuhakikishia. Utauawa, au kufirwa, au kufanyiwa matendo yanayolingana na Jambo ulilofanya.

MKE au Mume wa Mtu thamani yake ni kubwa kwenye maisha ya Mtu. Huwezi ukaenda kuchukua Mke au Mume wa Mtu alafu ukaleta Maneno yako ya kanisani au misikitini huko. Watakuua nakuambia.

Oooh! Haki za binadamu. Hizo Haki za binadamu zitumie kuheshimi Mali na vitu vya watu wengine. Kama Haki hizo hukuzitumia Jua hakuna atakayezikumbuka kuzitumia. Utauawa.

Labda ukutane na watu wasio na nguvu ya kufanya hayo. Lakini kama Mtu ananguvu yoyote Ile. Tegemea Kuuawa kikatili.

b) Urithi na wizi wa Mali.
Urithi ni Haki ya asili ya Mtu.
Unapochukua Haki hiyo tegemea Kuuawa.
Historia inajieleza, mauaji Mengi yamechangiwa na ishu ya Urithi na wizi wa Mali.

Wewe unajijua huna Haki ya kuchukua Mali Fulani, why utake kuichukua Mali hiyo kama sio dharau, kiburi na kujifanya mwamba. Hakika utauawa.

Mfano,
Umeolewa, huna Kazi ya maana, Mumeo ni tajiri wa kutosha, uwiano wenu wa mchango wa Mali kwako ni 20 Mume 80 yaani 2:8 au 1:4.
Imetokea mmegombana, alafu ukadai Talaka, alafu kwenye Mali unataka upewe nusu kwa nusu. Hakika yake utauawa. Hiyo sio Haki yako.
Inakuwa Haki yako ukiwa kwenye Ndoa lakini mara utakapoondoka haiwi yako tena Bali kila mtu anachukua kilichochake.
Ni kama kampuni. Kila mtu achukue Hisa zake.
Sasa kitendo cha wewe kutaka kuchukua Hisa ambazo sio zake ni kujitafutia matatizo makubwa ikiwezekana kuuawa.

Ndio maana Kila siku Mimi Mtibeli nawaambia wanawake na ninyi mfanye Kazi, muwe na Hisa zenu.
Sio mzae tuu au mjifiche kwenye kichaka cha kufanya Kazi za nyumbani sijui kulea.
Ilhali siku hizi matajiri na watu wengi Wana watafutia wadada WA Kazi na Kazi karibia zote hapo nyumbani zinafanywa na Dada wa Kazi.

Utauawa. Na Sisi Watibeli hatutashangaa kwa sababu Dawa ya watu kama ninyi ni Kifo hasa mkiwa mmedhamiria.

Mfano, 2
Mtoto wa nje hupaswi kudai HAKI ya Urithi kama hukulelewa kwenye familia ya Baba yako. Lilikuwa jukumu la Mama yako kupeleka kwa Baba yako ukaishi huko.
Kwa Sisi Watibeli tunajua Mtoto ambaye hujamlea huyo sio mtoto wako.
Mtoto wako ni Yule uliyemlea.

Mtoto atarithi kwa mama au upande wa Mamaake ikiwa alikulia huko. Hiyo ndio HAKI.
Achana na Maneno ya kilaghai na uongouongo na unafikinafiki yanayotokewa na HAKI zijui za binadamu. Haipo hivyo.

Sehemu ambayo hujakulia au kulelewa wewe utabaki kuwa mgeni tuu. Hata wewe mwenyewe ukifika nafsi yako itajiona hivyo.

Ndio maana Mimi Mtibeli kila wakati nawaambia, hasa wanawake ikiwa umeamua kukaa na mtoto Moja kwa Moja basi Hakikisha unatambua vitu muhimu kama hivyo.
Ukikaa na mtoto Hakikisha unamtafutia na Urithi kwa sababu huyo ni mtoto wako.
Sio ukae naye wewe alafu Biological father amtafutie Urithi ilhali hakai naye. Huyo sio mtoto wake kimazingira ila ni mtoto wake kibaolojia.

Lazima umuandalie na HAKI za Baraka zake kama mtoto.

Baba hawezi kumbariki mtoto ambaye hajaishi naye hizo Baraka zikashika. Tumia Akili ndogo kujua Hilo.
Baraka za Baba lazima ziwe na connection ya kimwili, kiroho na kimazingira.
Lazima Baba ajue Tabia na makuzi ya Mtoto.

Na umri sasa watoto kujuana na Baba ni Kati ya Miaka 0-15.

Baraka pia ni sehemu ya Urithi ambao unapiganiwa kufa kupona hasa na watoto wenye AKILI wenye mipango ya Muda mrefu na wanaotaka vizazi vyao viwe na Nguvu.

c) Kuiba mashamba au viwanja vya watu.
Utauawa wewe. Ugomvi wa ardhi umeua wengi Sana.

Acha niende Kanisani Kwanza, alafu tutaendelea.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mtibeli umesahau Uchawi
Ukidhibitika wewe ni Mchawi na umeiletea madhara jamii inayokuzinguka watakuua bila kujali Sheria za jaji ibrahimu juma
 
KISIASA,
a) Uhaini, kufanya mipango ya kumuua Mfalme au Rais, kuratibu au kushiriki mipango hiyo. Kwa namna yoyote Ile.
Watakuua nakuhakikishia, kama wewe ulivyopanga kumuua au kumpindua mfalme Basi tegemea matokeo makubwa ya Hatari yatakayokurudia.
Mbona Mbowe hakukuuwawa? Odinga pia alishiriki kumpindua Moi ila hakuuwawa?
c) Kuungana na Adui wa Nchi.
Mfano, Korea Kaskazini na Kusini. Wewe ni Mkorea Kusini lakini unaunga Mkono Korea Kaskazini au kinyume chake. Watakuua mchana kweupe.
Mbona Trump anamhusu Putin na hamna kitu amefanywa? Nadhani ungesema nchi za kiafrika ila huko nje sio kweli. Mbona Prince wa saudia alifanya peace na Israel ila hajauwawa?
Kuipasua nchi.
Mfano nchi ya Tanzania, ufanye Njama igawnyike Mapande Mapande kama vile Sudan Kusini na Sudan Kaskazini. Watakuua nakuhakikishia. Labda uwe na bahati Sana uchoropoke. Au uwe umewazidi mipango, mikakati na mbinu.
Sio kweli, Nyerere alisupport Biafra ili wajitenge na Nigeria ila hakuuwawa. Same to Ali Hassan Joho alitangaza 2018 kuwa Mombasa inajitenga na Kenya na akawa anadai referendum ila hakuuwawa.
 
d) kusogeza Mpaka wa Nchi.
Mfano, Malawi wanaleta chokochoko wanataka labda ziwa na baadhi ya maeneo. Au vile Idi Amin anataka kuchukua baadhi ya maeneo ya Kagera alafu wewe unajifanya unaungana na Amini au Malawi ili Tanzania ichukuliwe maeneo yake. Watakuua nakuhakikishia.
Unapotosha mkuu, labda ungesema ina depend political influence yako ndio inapimwa. Huko DRC mbona wanasiasa wengi tu waliunga mkono Kivu ihamishwe Rwanda na hakuna aliyeuwawa?. Au kule Ukraine wapo wengi tu walimuunga mkono Donbass kujiunga na Russia ila mbona hawakuuwawa?
 
Wizi
Kukwepa madeni makubwa
Kulawiti watoto wa watu
Ukandamizaji
 
NASISITIZA, MAMBO AMBAYO UKIFANYA WATU HAWATASITA KUKUUA. BILA KUJALI SHERIA ZIPO AU HAZIPO, MUNGU YUPO AU HAYUPO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Moderator msihariri hicho kichwa kupunguza ukali wa Maneno na kupoteza uzito wa ujumbe.

Oooh! Kuua ni ukatili, kuua sio HAKI. Oooh! Kuua ni Kwa nchi zisizoendelea! Ndugu zangu usije ukajidanganya Wala kudanganywa. Wala usije ukajichanganya. Watakuua, utamalizwa.

Kuna mambo ukifanya nakuhakikisha umejiingiza kwenye Hatari kubwa ya kuangamizwa, kuuawa, kupotezwa. Mambo hayo yapo Katika Nyanja zote, kisiasa, kijamii na kiuchumi
Kama Ifuatavyo;

1. KISIASA,
a) Uhaini, kufanya mipango ya kumuua Mfalme au Rais, kuratibu au kushiriki mipango hiyo. Kwa namna yoyote Ile.
Watakuua nakuhakikishia, kama wewe ulivyopanga kumuua au kumpindua mfalme Basi tegemea matokeo makubwa ya Hatari yatakayokurudia.

b) Kuipasua nchi.
Mfano nchi ya Tanzania, ufanye Njama igawnyike Mapande Mapande kama vile Sudan Kusini na Sudan Kaskazini. Watakuua nakuhakikishia. Labda uwe na bahati Sana uchoropoke. Au uwe umewazidi mipango, mikakati na mbinu.

c) Kuungana na Adui wa Nchi.
Mfano, Korea Kaskazini na Kusini. Wewe ni Mkorea Kusini lakini unaunga Mkono Korea Kaskazini au kinyume chake. Watakuua mchana kweupe.

d) kusogeza Mpaka wa Nchi.
Mfano, Malawi wanaleta chokochoko wanataka labda ziwa na baadhi ya maeneo. Au vile Idi Amin anataka kuchukua baadhi ya maeneo ya Kagera alafu wewe unajifanya unaungana na Amini au Malawi ili Tanzania ichukuliwe maeneo yake. Watakuua nakuhakikishia.

e) Ugaidi
Matendo yoyote ya Kigaidi hasa ukiwa frontline na kiongozi. Utauawa Bila huruma.

f) Uasi Jeshini.
Wewe ni Mwanajeshi, labda ukaona Jambo Fulani linaenda ndivyo sivyo. Ukaamua kushawishi wenzako wenye mtazamo kama wako. Kaa ukijua Mchezo unaoenda kuufanya ni vita ya Kifo na uhai. Kuuawa ni njenje.

2. KIJAMII
a) Kulala na Mke au Mume wa Mtu.
Kuna wanasema, oooh! Huo ni ushamba, hooo! Kujichukulia Sheria mkononi, oooh! Sio uungwana.
My friend, huo uungwana ungeanza nao wewe hapo. Sio uchukue Wake/Waume za watu alafu uwatake wawe waungwana, watakuua nakuhakikishia. Utauawa, au kufirwa, au kufanyiwa matendo yanayolingana na Jambo ulilofanya.

MKE au Mume wa Mtu thamani yake ni kubwa kwenye maisha ya Mtu. Huwezi ukaenda kuchukua Mke au Mume wa Mtu alafu ukaleta Maneno yako ya kanisani au misikitini huko. Watakuua nakuambia.

Oooh! Haki za binadamu. Hizo Haki za binadamu zitumie kuheshimi Mali na vitu vya watu wengine. Kama Haki hizo hukuzitumia Jua hakuna atakayezikumbuka kuzitumia. Utauawa.

Labda ukutane na watu wasio na nguvu ya kufanya hayo. Lakini kama Mtu ananguvu yoyote Ile. Tegemea Kuuawa kikatili.

b) Urithi na wizi wa Mali.
Urithi ni Haki ya asili ya Mtu.
Unapochukua Haki hiyo tegemea Kuuawa.
Historia inajieleza, mauaji Mengi yamechangiwa na ishu ya Urithi na wizi wa Mali.

Wewe unajijua huna Haki ya kuchukua Mali Fulani, why utake kuichukua Mali hiyo kama sio dharau, kiburi na kujifanya mwamba. Hakika utauawa.

Mfano,
Umeolewa, huna Kazi ya maana, Mumeo ni tajiri wa kutosha, uwiano wenu wa mchango wa Mali kwako ni 20 Mume 80 yaani 2:8 au 1:4.
Imetokea mmegombana, alafu ukadai Talaka, alafu kwenye Mali unataka upewe nusu kwa nusu. Hakika yake utauawa. Hiyo sio Haki yako.
Inakuwa Haki yako ukiwa kwenye Ndoa lakini mara utakapoondoka haiwi yako tena Bali kila mtu anachukua kilichochake.
Ni kama kampuni. Kila mtu achukue Hisa zake.
Sasa kitendo cha wewe kutaka kuchukua Hisa ambazo sio zake ni kujitafutia matatizo makubwa ikiwezekana kuuawa.

Ndio maana Kila siku Mimi Mtibeli nawaambia wanawake na ninyi mfanye Kazi, muwe na Hisa zenu.
Sio mzae tuu au mjifiche kwenye kichaka cha kufanya Kazi za nyumbani sijui kulea.
Ilhali siku hizi matajiri na watu wengi Wana watafutia wadada WA Kazi na Kazi karibia zote hapo nyumbani zinafanywa na Dada wa Kazi.

Utauawa. Na Sisi Watibeli hatutashangaa kwa sababu Dawa ya watu kama ninyi ni Kifo hasa mkiwa mmedhamiria.

Mfano, 2
Mtoto wa nje hupaswi kudai HAKI ya Urithi kama hukulelewa kwenye familia ya Baba yako. Lilikuwa jukumu la Mama yako kupeleka kwa Baba yako ukaishi huko.
Kwa Sisi Watibeli tunajua Mtoto ambaye hujamlea huyo sio mtoto wako.
Mtoto wako ni Yule uliyemlea.

Mtoto atarithi kwa mama au upande wa Mamaake ikiwa alikulia huko. Hiyo ndio HAKI.
Achana na Maneno ya kilaghai na uongouongo na unafikinafiki yanayotokewa na HAKI zijui za binadamu. Haipo hivyo.

Sehemu ambayo hujakulia au kulelewa wewe utabaki kuwa mgeni tuu. Hata wewe mwenyewe ukifika nafsi yako itajiona hivyo.

Ndio maana Mimi Mtibeli kila wakati nawaambia, hasa wanawake ikiwa umeamua kukaa na mtoto Moja kwa Moja basi Hakikisha unatambua vitu muhimu kama hivyo.
Ukikaa na mtoto Hakikisha unamtafutia na Urithi kwa sababu huyo ni mtoto wako.
Sio ukae naye wewe alafu Biological father amtafutie Urithi ilhali hakai naye. Huyo sio mtoto wake kimazingira ila ni mtoto wake kibaolojia.

Lazima umuandalie na HAKI za Baraka zake kama mtoto.

Baba hawezi kumbariki mtoto ambaye hajaishi naye hizo Baraka zikashika. Tumia Akili ndogo kujua Hilo.
Baraka za Baba lazima ziwe na connection ya kimwili, kiroho na kimazingira.
Lazima Baba ajue Tabia na makuzi ya Mtoto.

Na umri sasa watoto kujuana na Baba ni Kati ya Miaka 0-15.

Baraka pia ni sehemu ya Urithi ambao unapiganiwa kufa kupona hasa na watoto wenye AKILI wenye mipango ya Muda mrefu na wanaotaka vizazi vyao viwe na Nguvu.

c) Kuiba mashamba au viwanja vya watu.
Utauawa wewe. Ugomvi wa ardhi umeua wengi Sana.

Acha niende Kanisani Kwanza, alafu tutaendelea.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Pumba tupu.
 
Hayo mengine mnajitungia tu. Mungu alipiga marufuku mambo 10 tu, kwa mujibu wa biblia.
 
Hayo mengine mnajitungia tu. Mungu alipiga marufuku mambo 10 tu, kwa mujibu wa biblia.

Nafikiri Biblia huijui vizuri.

Yale mambo 10 ni muhtasari tuu ambao umefafanuliwa kwenye Biblia nzima, Quran na Sheria za kila Nchi
 
Unapotosha mkuu, labda ungesema ina depend political influence yako ndio inapimwa. Huko DRC mbona wanasiasa wengi tu waliunga mkono Kivu ihamishwe Rwanda na hakuna aliyeuwawa?. Au kule Ukraine wapo wengi tu walimuunga mkono Donbass kujiunga na Russia ila mbona hawakuuwawa?

Hivi hiyo vita inayoendelea hapo Congo na Huko Ukraine maelfu ya watu wanavyokufa unafikiri ni Jambo gani linapelekea vifo vyao kama sio Masuala ya mipaka ya ardhi?

Vita ya Kagera unajua Moja ya sababu zake ni uvamizi wa maeneo ya Tanzania yaliyotaka kuporwa na Amin
 
Back
Top Bottom