Mambo ambayo wabongo wengi wanaamini lakini ni uongo

[emoji1787]aliwe kwajinsi unavyosisitiza lazima ataliwa tu!
 
Haya ni mawazo yako mkuu. Uko sahihi kabisa lakin kwangu Mimi mengi uliyoongea ni ule mwisho wako wa kufikiri na sio uhalisia. Jaribu tena uwe unasoma vitabu tofauti tofauti na utembee Dunian utajua dunian ni zaid ya uijuavyo.
 
Nimekuelewa kwenye masturbating ndio kila kitu kina negative effect lakini sio Kama inavyopigwa vitu...hizo mental health ni true...ila kuhusu premature ejaculation ni uwongo actually inaleta delayed ejaculation ambayo ni mbaya pia kwa sababu unafanya muda mrefu kwa hisia chache pasipo kumwaga hata mwanamke anaona jau na michosho
Kuhusu population nimetumia world population na sio population ya Tanzania Wala kituo chako Cha afya...Tanzania nzima wanawake wamezidi kwa million moja tu na sio hizo ratio ulizoweka hapo sijui 1 kwa nne ni uwongo . Kingine kuhusu anal ni sawa unachosema lakini sio Kama inavyopigwa promo . Kuna boys na girls wanafanya mapenzi ya hivyo safely (lubricants, condoms etc) ambayo unafanya isiwe na madhara as wanavyotishia...mi sifanyi anal Wala sio shoga ila I'm saying kwamba watu wasitishane kisa wao hawapendi
 
Haya ni mawazo yako mkuu. Uko sahihi kabisa lakin kwangu Mimi mengi uliyoongea ni ule mwisho wako wa kufikiri na sio uhalisia. Jaribu tena uwe unasoma vitabu tofauti tofauti na utembee Dunian utajua dunian ni zaid ya uijuavyo.
Sawa mkuu nimekuelewa... lakini vingi ni researched topic najua ni controversial facts katika jamii zetu ila ni reality...uzuri umeelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…