Mambo ambayo Yanafanya watu wengi waweke Fikra kwamba huenda dunia ni simulation au huenda hatuna free wills kama tunavyoambiwa case st JFK &Lincoln

Organisation zinazocontrol Uchumi wa Dunia pale juu kwenye Pyramid wanaamini amekaa Shetani Ila Shetani na Mungu ni mirror mirror on the wall

Emu wewe jitazame kwenye kioo unaemuona ni nani Mungu au Shetani?
okay, the perfection of universe it is its imperfection.
fallen angles ndo elites leaders,huyo mnae muita shetani napenda kumtania kumuita lord of fallens ndo top manyota, japokuwa inasemekana kuna viumbe sio binadam lakin havipatan na lucifer.
quantumly creation and destruction ndo rule,
ukumbuke yehova ana nafsi saba ukiitoa moja hawi tena mkamilifu,
spirit of the lord and lord him self are different things
 
Mkuu pdf drive inagoma ku download vitabu huu mwezi wa 3 sasa, sijajua tatizo nini?
 
Nasikia na paka ana roho Saba hii imekaaje
 
Kwa hio unataka kusemaje Mungu ndio Shetani au Shetani ndio Mungu?
 
According to Bible maneno au Neno ni roho na Kama roho ni mbaya bhasi jua alitamkiwa laana ambayo ilitumika Kama Adhabu same applies kwa Daudi ambaye baada ya kuwahesabu Watu alijua kua amefanya kosa aka repent ( Badili mawazo kurudi ktk original state )
Darkness inasimama upande wa laana/ adhabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…