Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Mimi nafanya hivi
1. Nakula vizuri, chakula nachokipenda
2. Natoka kwenda kutembea
3. Nalala
4. Nalia sanaaaaaaa
5. Naenda kununua nguo mpya
6. Nafanya usafi
Na mengine mengi
Wewe je?
Lengo ni kuwapa experience wanaopitia wakati mgumu,wanaweza kupata ideas mbili tatu
Uzi tayari
Pia soma: Upweke : Fahamu viashiria vya upweke,vyanzo vyake na madhara yake & njia 4 za ufumbuzi
1. Nakula vizuri, chakula nachokipenda
2. Natoka kwenda kutembea
3. Nalala
4. Nalia sanaaaaaaa
5. Naenda kununua nguo mpya
6. Nafanya usafi
Na mengine mengi
Wewe je?
Lengo ni kuwapa experience wanaopitia wakati mgumu,wanaweza kupata ideas mbili tatu
Uzi tayari
Pia soma: Upweke : Fahamu viashiria vya upweke,vyanzo vyake na madhara yake & njia 4 za ufumbuzi