financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Mimi huwa nasikiliza nyimbo za kusifu na kuabudu, basi ntasali na kulia sana hadi kugalagala, baada ya hapo kidogo ntakua sawa. Then naenda kujinunulia ka ice cream😋😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Mbona ghafla hivyoWe pimbi hujui kusoma sio? Au hujaona nimeandika na mengine mengi
Wanakukaza wewe
Eeeh hii kali sana mkuuDaah hiyo roho sinaga nina usiri sana kwa mtu ninae mjua nimwambie kabisa changamoto haswa zakimahusiano mfano hapo ngumu hii imefanya mpka keso kuna dada nilishaachana nae miaka nane ilopita lakni baadhi ya rafik zangu wana amini bado tupo wote na wanamtreat as shemej yao.
Amini mkuu hii pia imesababishwa hata uyo dada pia sio mtu wakuongea ongea mambo yake ovyo kabisa na kingine nilizaa nae so hata muda mwingine uwa tunaonana kwa habari za mtoto so watu wanajua bado tunalisongesha kumbe kila mtu kasha move on kitambo sna.Eeeh hii kali sana mkuu
Unapashaga viporo na yeye!Amini mkuu hii pia imesababishwa hata uyo dada pia sio mtu wakuongea ongea maga mbo yake ovyo kabisa na kingine nilizaa nae so hata muda mwingine uwa tunaonana kwa habari za mtoto so watu wanajua bado tunalisongesha kumbe kila mtu kasha move on kitambo sna.
Ulikuwa na stress gani!!Mwaka 2022
Ilikuwa mwanzoni hivyo ila nilikata ghafla baada yakuhamishwa kikazi mkoa mwingine baadae nikarudi alipo yeye sema ni vile tunaelewena tu na alishaolewa na kilichofanya nikate kupasha kiporo uyo mumewe ni peace sana.Unapashaga viporo na yeye!
Ohh kumbe ulikuwa unamla akiwa kaolewa!!Ilikuwa mwanzoni hivyo ila nilikata ghafla baada yakuhamishwa kikazi mkoa mwingine baadae nikarudi alipo yeye sema ni vile tunaelewena tu na alishaolewa na kilichofanya nikate kupasha kiporo uyo mumewe ni peace sana.
Hpn mkuu mwanzo kabla hajaolewa then mm nikahamishwa mkoa mwingne kikazi hapo ndiyo tukapitezeana ila mawasiliano yalikuwepo nliporud mkoa alipo baada ya muda akaolewa ila alikuwa tyr kutoa tunda lkn ilikuwa ndy mwanzo na mwisho coz jamaa yake ni mtu sana ukiachana tu na kuwa mke wa mtu sumu ila kwa heshima ya jamaa yake siwez hata kwa bahati mbaya jamaa ni mtu poa sana sanaa na uwa tunasaidiana sana kwenya mambo kadhaa.Ohh kumbe ulikuwa unamla akiwa kaolewa!!
Unaukimwi?Me hua natafuta manzi napiga miti kinyama ile ya kukamia haswa,kingine pombe,mziki au kukimbia.
Una tsh ngapi za kutolea kwa ATMNaenda ATM natoa pesa zangu zote, nazitandaza ndani naziangalia weee kisha natabasam, kesho yake nazirudisha zote bank. Maisha yanaendelea