Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Aisee mimi naenda zangu Bar nakunywa tena ikiwezekana toka asubuh najiwasha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha 😂
Unakinya kijipombe?Mimi mtu akinikera huwa simuachi kizembe, natafuta zangu kijipombe nakinya vizuri then napitanae kama kasongo
Yap anarudiwa mara ya 2 kama yupo karibu ataeleza vizuri kama yupo mabali atapigiwa simuUnakinya kijipombe?
Tupo same Watsap group...Huwa Nina playlist yangu ya worshipping song za apostle Joshua Selman.
Najifungiaa ndanii
Nalala chini ... nafungulia hizo nyimbo
Kama naskia kulia naliaaa haswaaaa plus praying in tongue
Ivo tu
Kwa hio kijipombe unakinya?Yap anarudiwa mara ya 2 kama yupo karibu ataeleza vizuri kama yupo mabali atapigiwa simu
NyetoMimi nafanya hivi
1. Nakula vizuri, chakula nachokipenda
2. Natoka kwenda kutembea
3. Nalala
4. Nalia sanaaaaaaa
5. Naenda kununua nguo mpya
6. Nafanya usafi
Na mengine mengi
Wewe je?
Lengo ni kuwapa experience wanaopitia wakati mgumu,wanaweza kupata ideas mbili tatu
Uzi tayari
Which group? 😳Tupo same Watsap group...
And it's one of my favorite...Namba 3 ni mpya kwangu 😃
Yani nakichakata sawasawa kwenye triangle!😃😃
Kivipi mkuu?
Ah wapi.! Siijui wala siko interested...napenda country songsMipasho ee🤣
Unafiki tu, kwa nini hujaiorodhesha hapo juu?Hii ya miti hata mimi huwa inanisaidia sana kiukweli