Mambo gani huwa unafanya ukiwa na msongo wa mawazo ama mtu akikukera?

Natafuda demu mpya kwangu nikaipige kisawa sawa baada ya hapo hasira inakwisha maisha yanaendelea
 
Najifungia Room nalala,
Au natoka nje Kuzurura kwa mashost nipate umbea, natulia tulii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…