Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wamelipwa elfu saba saba na wameingia bure uwanjaniNashindwa kushangaa, inakuwaje unatoka huko utokao ety unakwenda uwanjani huku umebeba bango la Samia/kisiasa
Hakuna watu hapo.Ni viumbe tu wamezubaa kama wanaomba kuvushwa barabara au wanaangalia nyumba inaungua.Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .
Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .
Iko siku mambo haya yataleta machafuko .
View attachment 2804899View attachment 2804900
Msituletee uchawa wenu kwenye mchezo wetu pendwa. Wapumbavu kabisa nyieKumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .
Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .
Iko siku mambo haya yataleta machafuko .
View attachment 2804899View attachment 2804900
Aibu kubwa sanaTFF Ni Chama Cha Mpira Wa Miguu Cha Hovyo Hovyo
Sasa Huyo Wanayemtangaza Mbona Mpira Hautaki Siasa
😆😆😆😆Msituletee uchawa wenu kwenye mchezo wetu pendwa. Wapumbavu kabisa nyie
99.9999999999999999999999999999999999999999% ya watanzania ni takatakaKumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .
Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .
Iko siku mambo haya yataleta machafuko .
View attachment 2804899View attachment 2804900
Ohooooooo !!99.9999999999999999999999999999999999999999% ya watanzania ni takataka
Hapa sijaona namba ya simu kulikoni🤪Pambaneni na hali yenu na lichama lenu lililokosa mvuto mpaka watu kwa sasa wanaona aibu kuvaa magwanda yenu ya CHADEMA maana wanaona ni nukusi tu.
Subiri ukue kwanza, baadae uraelewa!!Nashindwa kushangaa, inakuwaje unatoka huko utokao ety unakwenda uwanjani huku umebeba bango la Samia/kisiasa
Wewe angalia midomo utagundua hawa wote ni PANYABUKUKumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .
Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .
Iko siku mambo haya yataleta machafuko .
View attachment 2804899View attachment 2804900
Mambuzi kigango Cha uchawi,unafiki na wizi.Pambaneni na hali yenu na lichama lenu lililokosa mvuto mpaka watu kwa sasa wanaona aibu kuvaa magwanda yenu ya CHADEMA maana wanaona ni nukusi tu.
😆😆😆😆Mambuzi kigango Cha uchawi,unafiki na wizi.