Mambo haya ndio yanaidharaulisha Nchi yetu hadi kuonekana imekufa

Mambo haya ndio yanaidharaulisha Nchi yetu hadi kuonekana imekufa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball, ni sawa na kumkejeli .

Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia, UWT, UVCCM, LUMUMBA, CHIMWAGA na KIZIMKAZI, hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm.

Iko siku mambo haya yataleta machafuko .

Screenshot_2023-11-05-17-17-34-1.png
Screenshot_2023-11-05-17-18-08-1.png


Pia soma: Mapokezi ya Yanga: Mabango yenye picha ya Rais Samia yapuuzwa, yakanyagwa
 
Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .

Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .

Iko siku mambo haya yataleta machafuko .

View attachment 2804899View attachment 2804900
Hakuna watu hapo.Ni viumbe tu wamezubaa kama wanaomba kuvushwa barabara au wanaangalia nyumba inaungua.
 
Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .

Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .

Iko siku mambo haya yataleta machafuko .

View attachment 2804899View attachment 2804900
Msituletee uchawa wenu kwenye mchezo wetu pendwa. Wapumbavu kabisa nyie
 
Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .

Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .

Iko siku mambo haya yataleta machafuko .

View attachment 2804899View attachment 2804900
99.9999999999999999999999999999999999999999% ya watanzania ni takataka
 
Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball , ni sawa na kumkejeli .

Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia , UWT , UVCCM , LUMUMBA , CHIMWAGA na KIZIMKAZI , hakuna haja ya kuleta ujinga huu ndani ya viwanja vya soka ambavyo wamo watanzania wengi ( 80% ) ambao siyo wanaccm .

Iko siku mambo haya yataleta machafuko .

View attachment 2804899View attachment 2804900
Wewe angalia midomo utagundua hawa wote ni PANYABUKU
 
Back
Top Bottom