Mambo madogo ambayo Wanandoa ama Wapenzi wanaoishi Pamoja wakifanya yanaweza kuzalisha migogoro kwenye mahusiano

Mambo madogo ambayo Wanandoa ama Wapenzi wanaoishi Pamoja wakifanya yanaweza kuzalisha migogoro kwenye mahusiano

Huenda yeye mwenyewe binafsi pia ana kipato kizuri

Siku hizi Wanawake wengi wanajishughulisha
Wee bwana wewe wanawake hawapendi tumia hela zao huko ulaya kwenyewe kwenye 50/50 kidume pesa zake zinatumiwa vilivyo.
Wanawake wote wapo sawa kwenye mambo ya hela kama wanaume tulivyo sawa kwenye suala la micheps
 
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la wandoa wapya ama Wapenzi waliokuwa wakiishi pamoja Kwa muda mrefu kuingia Kwenye migogoro na hatimaye Ndoa zao kuvunjika ama wakati mwingine uchumba wao wa muda mrefu kuvunjika.

Tukiwa kama Wazazi ama watu tulioishi na kupitia mahusiano tunaweza kuwa na cha kuwafunza Vijana wetu wanaotarajia kuingia Kwenye maisha ya Ndoa ama Wapenzi wapya ili kuwasaidia kupunguza migogoro isiyo ya lazima kwenye maisha yao ya mahusiano.

Kwa maoni yangu, yafuatayo hapa chini ni baadhi ya mambo madogo dogo ambayo ukifanya yanaweza kuzalisha migogoro isiyo ya lazima Kwa wapenzi ama Wanandoa watarajiwa;

Mosi, Kutokula Chakula kilichoandaliwa na Mke wako/Mpenzi wako.
Kuna baadhi ya Wanaume wenzetu, kupitia mizunguko waifanyayo Mchana kutwa, huwapelekea wakati mwingine kula huko huko, hivyo wanapokuwa wamerudi nyumbani kwao kushindwa kula chakula kilichoandaliwa na Mke/Mpenzi wake. Jambo hili halina afya kabisa kwenye maisha yenu ya Ndoa na mapenzi, hata kama ulilazimika kula huko Mtaani, hakikisha unaacha sehemu ya kula chakula alichokuandalia Mkeo/mpenzi wako.

Pili, Kunyoa mavuzi kabla ya kusafiri ama ukiwa huko huko safarini.
Kufanya hivyo kuna mjengea mwenzako taswira ya kuhisi kwamba uendapo unaenda kuchekupa ama ukiwa huko huko safarini ulichepuka ndiyo maana umerudi umeshanyolewa huko Ikulu ndogo.

Tatu, Kupunguza ghafla idadi ya round Kwa Mkeo ama Mpenzi wako mara baada ya kurudi kutoka safari, hii moja Kwa moja mpenzi wako atahisi ulipotoka umetumika sana, hivyo nguvu wamekumaliza.

Nne, Kutoa manii(shahawa) kidogo mara baada ya kurudi safari yako ya kikazi.
Unapokuwa haujashiriki ngono muda mrefu iwe Siku 3,4 ama Wiki ukikutana na Mkeo/mpenzi wako lazima utakojoa manii nzito nzito, iwapo utakuwa umetumika Siku kadhaa nyuma kabla ya kurudi nyumbani, Mkeo anaweza kujua hivyo kuzalisha migogoro isiyo ya lazima.
Ndiyo maana Wazee wenu badala ya kunywa soda tunaagiza Korosho ama Karanga mbichi ili kufukia mashimo mashimo ya njiani.

Tano, Kuchati na simu muda mwingi wa Usiku unapokuwa nyumbani na familia.
Hii hata kama Mkeo/Mpenzi wako hana D mbili lakini atahisi unamchepuko wako unaochati nao muda huo.

Sita, kwenda kuangalia Mpira kwenye Mabaa wakati nyumbani umefunga DStv/Azam Tv.
Hata kama hajawahi kukwambia, lakini jambo hili lazima linamkera mwenzako, na kuna Siku litawaletea migogoro isiyo ya lazima.

Saba, Kucheza Vikoba ama kukopa Mikopo mbalimbali pasipo kumshirikisha Mume wako.
wapo baadhi ya Wanandoa/Wapenzi wanakopa fedha/Vyombo pasipo kumshirikisha Mume wake, Mume anakuja kujua baada ya Mke kufatwa na kudaiwa yeye akiwepo ama wakati mwingine kutumia fedha aliyoachiwa ya Matumizi kulipa madeni kisha familia kushindwa kula Siku hiyo.

Haya ni baadhi ya mambo madogo dogo ambayo yanamkera mwenzi wako na wakati mwingine ndiyo chanzo cha migogoro mingi katika Ndoa na maisha mengi ya mahusiano.

Yapo mengine mengi ambayo mnahisi yatakuwa ndiyo chanzo cha hiyo migogoro katika mahusiano yetu.

Tunaweza kusaidiana kushea ili kuwasaidia Wanandoa wapya ama Wapenzi watarajiwa.
Ni somo zuri nami naongezea,hii ni kwa pande zote,kuleta ndugu kuja kuishi kwenu bila kujadiliana na mmeo au mkeo,kubadili dini mmoja wenu bila kumshirikisha mwenzie,kuanza staili mpya ya sex ghafla utokapo safari
 
Ni somo zuri nami naongezea,hii ni kwa pande zote,kuleta ndugu kuja kuishi kwenu bila kujadiliana na mmeo au mkeo,kubadili dini mmoja wenu bila kumshirikisha mwenzie,kuanza staili mpya ya sex ghafla utokapo safari
Umeandika sahihi kabisa;

Suala la ndugu, limekuwa likichangia migogoro Kwa baadhi ya familia. Hatukatai ndugu kutembeleana, lakini kabla hawajaja, vyema mkajadiliana na Mkeo/Mumeo.

Hilo la kubadiri Dini, ni jambo zito sana. Nafikiri kuna haja, mkafanya mazungumzo marefu kuhusu hatma ya watoto wenu kwenye suala la Imani, inapotokea mmoja wa wanandoa akaamua kubadirisha Dini.

Hilo la ku-practice style mpya mara baada ya kutoka safari, linaweza kuuza mgogoro Mkubwa zaidi unless yatolewe maelezo ya kutosha, ikiwemo na picha mnato za wapi alipojifunzia
 
Wee bwana wewe wanawake hawapendi tumia hela zao huko ulaya kwenyewe kwenye 50/50 kidume pesa zake zinatumiwa vilivyo.
Wanawake wote wapo sawa kwenye mambo ya hela kama wanaume tulivyo sawa kwenye suala la micheps
Hahaha..........kwamba Wanawake wote ni bahiri wa fedha zao hasa zinapotaka kutumiwa na Mumewe 🙌

Wapo wachache wanaoshea vipato vyao na Waume zao, japo wanaweza kuwa wachache Kwa idadi
 
Kwani hakuna mambo mengine ya kufanya zaidi ya ndoa, Mnafanya mambo yanakuwa complicated sana.
 
Hahaha..........kwamba Wanawake wote ni bahiri wa fedha zao hasa zinapotaka kutumiwa na Mumewe 🙌

Wapo wachache wanaoshea vipato vyao na Waume zao, japo wanaweza kuwa wachache Kwa idadi
Hao wote wanao share kupata na mume wao they ugly🤣🤣🤣🤣🤣
 
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la wandoa wapya ama Wapenzi waliokuwa wakiishi pamoja Kwa muda mrefu kuingia Kwenye migogoro na hatimaye Ndoa zao kuvunjika ama wakati mwingine uchumba wao wa muda mrefu kuvunjika.

Tukiwa kama Wazazi ama watu tulioishi na kupitia mahusiano tunaweza kuwa na cha kuwafunza Vijana wetu wanaotarajia kuingia Kwenye maisha ya Ndoa ama Wapenzi wapya ili kuwasaidia kupunguza migogoro isiyo ya lazima kwenye maisha yao ya mahusiano.

Kwa maoni yangu, yafuatayo hapa chini ni baadhi ya mambo madogo dogo ambayo ukifanya yanaweza kuzalisha migogoro isiyo ya lazima Kwa wapenzi ama Wanandoa watarajiwa;

Mosi, Kutokula Chakula kilichoandaliwa na Mke wako/Mpenzi wako.
Kuna baadhi ya Wanaume wenzetu, kupitia mizunguko waifanyayo Mchana kutwa, huwapelekea wakati mwingine kula huko huko, hivyo wanapokuwa wamerudi nyumbani kwao kushindwa kula chakula kilichoandaliwa na Mke/Mpenzi wake. Jambo hili halina afya kabisa kwenye maisha yenu ya Ndoa na mapenzi, hata kama ulilazimika kula huko Mtaani, hakikisha unaacha sehemu ya kula chakula alichokuandalia Mkeo/mpenzi wako.

Pili, Kunyoa mavuzi kabla ya kusafiri ama ukiwa huko huko safarini.
Kufanya hivyo kuna mjengea mwenzako taswira ya kuhisi kwamba uendapo unaenda kuchekupa ama ukiwa huko huko safarini ulichepuka ndiyo maana umerudi umeshanyolewa huko Ikulu ndogo.

Tatu, Kupunguza ghafla idadi ya round Kwa Mkeo ama Mpenzi wako mara baada ya kurudi kutoka safari, hii moja Kwa moja mpenzi wako atahisi ulipotoka umetumika sana, hivyo nguvu wamekumaliza.

Nne, Kutoa manii(shahawa) kidogo mara baada ya kurudi safari yako ya kikazi.
Unapokuwa haujashiriki ngono muda mrefu iwe Siku 3,4 ama Wiki ukikutana na Mkeo/mpenzi wako lazima utakojoa manii nzito nzito, iwapo utakuwa umetumika Siku kadhaa nyuma kabla ya kurudi nyumbani, Mkeo anaweza kujua hivyo kuzalisha migogoro isiyo ya lazima.
Ndiyo maana Wazee wenu badala ya kunywa soda tunaagiza Korosho ama Karanga mbichi ili kufukia mashimo mashimo ya njiani.

Tano, Kuchati na simu muda mwingi wa Usiku unapokuwa nyumbani na familia.
Hii hata kama Mkeo/Mpenzi wako hana D mbili lakini atahisi unamchepuko wako unaochati nao muda huo.

Sita, kwenda kuangalia Mpira kwenye Mabaa wakati nyumbani umefunga DStv/Azam Tv.
Hata kama hajawahi kukwambia, lakini jambo hili lazima linamkera mwenzako, na kuna Siku litawaletea migogoro isiyo ya lazima.

Saba, Kucheza Vikoba ama kukopa Mikopo mbalimbali pasipo kumshirikisha Mume wako.
wapo baadhi ya Wanandoa/Wapenzi wanakopa fedha/Vyombo pasipo kumshirikisha Mume wake, Mume anakuja kujua baada ya Mke kufatwa na kudaiwa yeye akiwepo ama wakati mwingine kutumia fedha aliyoachiwa ya Matumizi kulipa madeni kisha familia kushindwa kula Siku hiyo.

Haya ni baadhi ya mambo madogo dogo ambayo yanamkera mwenzi wako na wakati mwingine ndiyo chanzo cha migogoro mingi katika Ndoa na maisha mengi ya mahusiano.

Yapo mengine mengi ambayo mnahisi yatakuwa ndiyo chanzo cha hiyo migogoro katika mahusiano yetu.

Tunaweza kusaidiana kushea ili kuwasaidia Wanandoa wapya ama Wapenzi watarajiwa.
Namba 4 umeharibu sana, umetoa siri nzito...usirudie
 
Mkuu hebu tukazie kidogo hapo kwenye "KUTOA MANII KIDOGO/CHACHE" mwanamke atajua kwamba umetoa manii kidogo?
 
Mkuu hebu tukazie kidogo hapo kwenye "KUTOA MANII KIDOGO/CHACHE" mwanamke atajua kwamba umetoa manii kidogo?
Kuna Wanawake Wana mtindo mumewe akirudi safari, wakishiriki tendo, ile round ya kwanza wanakagua wingi wa shahawa Mume alizomwaga, pia wanaangalia kama zimekuwa nyepesi sana.

Kwa kufanya hivyo, wanakuwa wanajua kwamba umepiga nje ama laa.
 
Back
Top Bottom