Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha 😂 kwakwelTahadhali ukikopa OYA hakikisha mwenzio anajua, watu gani wanakuja kudai madeni wakiwa na Vilungu😜
onhoo kwasisi wanauke wa saiv kuwalinda sijui kwakwel 😌Tulindeni Waume zenu, maana nguvu zenyewe za kupigana hatuna 🤗
Hilo limeisha usikondeMimi kama Babu, usisahau kuniandalia Kiko wakati huo wa Ujio wetu hapo kwenu 🤗
hahahaha tukope nyie mkiwa wap😌Hahaha...........kama ni hivyo basi kakopeni Songesha kuliko hao wabeba Virungu ili kutulinda 😜
Na mwanamke hata useme unamkomoa kwa kumwachia buku, hatakama ni mama wa nyumbani hua hatukosi akiba,, yaani kwenye io io buku tutabana hata 200 😆Kuna wakati tunakwama, unakuta mmebaki na akiba kwenye ile akaunti yenu ya Fixed deposit pekee
Kwahiyo solution kukopa
Napenda Mwanamke anayejua kuweka akibaNa mwanamke hata useme unamkomoa kwa kumwachia buku, hatakama ni mama wa nyumbani hua hatukosi akiba,, yaani kwenye io io buku tutabana hata 200 😆
na ndo nature ya kila mwanamke,labda aamue tu kukunyima, ndomana hata mkikosana akiamua kuondoka hakosi pa kwenda😃Napenda Mwanamke anayejua kuweka akiba
Siku umeishiwa, unakuta Mke anatoa akiba yake kwenye Kibubu shilingi 50k 🙌
Wacha tuendelee kuwapenda hadi mwisho wa maisha yetuna ndo nature ya kila mwanamke,labda aamue tu kukunyima, ndomana hata mkikosana akiamua kuondoka hakosi pa kwenda😃
Inakuwa kama ndio ajira 🤣🤣Unafanya sex 3 times in less than 18hrs
Utaweza fanya kazi kweli
Mkuu umenichekesha sana
Mi natakiwa 12 niwe macho na saa tano ndo nalala
Kimoja tu kinatosha na make sure nimefika vizuri
yes yes no mara waaaaa nyie tupendeni tu babuuuuu,,tumeumbwa kwaajili yenu😌Wacha tuendelee kuwapenda hadi mwisho wa maisha yetu
Aliwahi kuimba MwanaFA, "...anayewaponda apate laana.." Jina la wimbo "Mimi na Mabinti damu damu"
Jambo la kushauriwa na mke lina element nyingi za interest zake binafsi.Sio lazma hata litoke kwa mwanamke, linaweza toka kwa marafiki wa kiume, washkaji ila inakera..... Afu ukute unashauri jambo la maana ila linapigwa kikono 😹😹😹
Usema kweli inakera balaaa
Maendeleo ya familia ni interst za mwanamke kumbe, basi sawa......Jambo la kushauriwa na mke lina element nyingi za interest zake binafsi.