Kweli kabisa mkuiNikimkumbuka JPM na Leo Samiah Wana kitu fulani in common!!wanaongozwa kuongoza nchi!!
Yaani Kuna utashi mwingine unaamua wazungmzaje waharibu vipi wakurupukaje wateuaje hata waleje na wote wanaowangoza kuongoza wanawaingiza chaka Ili wapoteze upili was mihula yao!!!
Yaani ipo dhahiri kabisa kwamba wanaowaongoza kuongoza wanataka waharibu Ili wasipate muhula was pili wa uawamu zao!!
MAONI HURU KUTOKANA NA FIKRA HURU!!
Very trueMadam must be told that Machinga can not kept to that so called “so jipya” what happened to machinga complex?
We can’t blame TRA for the law we created through parliament….TRA just implement the law made by our MP’s !
We should stop politics in Tax matter. Nothing will change next year they will do the strike again……we should change law not do the talking
Mnamuonea tu mama wa watu ila pale TRA kuna mapapa mpaka magufuli aliwashindwa tena watu wazito kutoka serikalini na wafanyabiashara wakubwa na wanalindwa na mfumo wengine ni viongozi wastaafu wa CCM na serikali washaingia mpaka ikulu unadhani hyo vita mama anaiweza acheni kumuandama mambo sio rahisi kama unavyodhani.
Wale kwa urefu wa kamba zao ila wasivimbiwe.Swali la mwisho jibu lake lilikwisha toka, nendeni mkale kwa urefu wa kamba zenu.
Kimeshajulikana na ndiyo maana anapelekwa Jafo kupiga pasi.Kinachokwamisha ni Nini? Na nani anakwamisha?
Kushindwa kitu gani hicho! Kuna mifano mingi inapojikongoja! Ila ikijitahidi kidogo inaweza kufanya vizuri.Yule mkuu wa Mkoa ni Komedian ingawa aliongea ukweli kwamba serikali haishindwi kitu. Cha kuniuliza kwanini Rais awajue wezi halafu awaache?.
Hapo ndipo utapoelewa kuwa wabovu ni watendaji, halafu mtu anauliza kwanini kuna mabadiliko kila siku.Wasaidizi wa Rais ni kama Mimi na wewe, sio malaika. Ndio maana huwa wanashuri uteuzi wa mtu aliyefariki Dunia.
When were you not? Asshole.Shithole state plus shithole president