Mambo matano aliyosema Rais Samia jana yaliyonisikitisha

Kwa hivyo mikikimikiki ya Kariakoo ni Mikubwa kuliko ya nchi nzima?. Maana unamtoa mtu uwaziri kisa haiwezi mikikimikiki ya Kariakoo.
Kwanza usipotoshe watu, hakuna waziri aliyetolewa, wamebadilishwa kazi tu.

Usiloloijuwa ni usiku wa kiza, hizo ndiyo ukisikia unaziishi "Reforms" bila kujijuwa.

Nchi nzima imefanya nini?
 
Punguza matusi wewe mwanamke usiye na adabu. Kama huna la kusema Kaa kimya. Kuna ujuha zaidi ya kumuhamisha Waziri Wizara kisa ni mwanamke?
Hujatukanwa unaona umetukanwa, je ukitukanwa si utaona umeshushiwa nyundo ya kichwa.

Sasa naona unahaha, mara kahamishwa mara kaondolewa.

Hiyo ndiyo maana ya halisi ya Resilience, Reforms na Rebuilding kama huelewi.

Kwenye tatizo panafanywa kuwa fursa.
 
Hajui kwanini anafanya hili ama lile.
 
Lakini mi ugomvi wangu ni pale vyanzo vyote vya mapato ccm wamejiuzia alafu wanaenda kukopa, wakishindwa wanarudi kuwawekea kodi wananchi

unauza bandari alafu unaenda kukopa Kweli??

Itabidi ya gen z. yatokee hapo kwetu ili Hawa watawala wanyoooke
Kweli, Hawa watawala wanahitaji kuamshwa usingizini
 
Ishirini ishirini na tano siyo mbali. Hapo ndipo tutakapodhibitisha yaliyoandikwa kwenye Vitabu Vitakatifu kuwa "Mwanaume ni Kichwa cha nyumba".
Kweli kabisa.
 
Kwa kweli Katia aibu huyu Rais.
 
Yule mama yetu kwa sasa ni kama kachanganyikiwa kimtindo, halafu kwa sasa anaongoza kwa hofu na wasiwasi mnoo huku akikosa kujiamini na kutaka kujionyesha kuwa anaweza kumpendeza kila mtu ikiwemo wale anao watumbua.
Kachanganyikiwa kwa kweli.
 
Mama kabakiza chawa wanaompamba.
 
Kamuondoa na kumuhamisha kwa pamoja, kamuondoa kwenye biashara kamuhamishia kwenye Mazingira na Mapishi
 
Kweli kabisa.
 
Kamuondoa na kumuhamisha kwa pamoja, kamuondoa kwenye biashara kamuhamishia kwenye Mazingira na Mapishi
Kumhamisha tu hiyo, na sabau kazotowa alipokuwa anamuasa Jafo, su hujamsikiliza Rais mama Samia?
 
Kwa maana nyingine Rais kamtoa mchapakazi kisa wenzake hawampendi?. Yani unamtoa mtu kazini kisa walioko Chini yake hawampendi.

Kuhusu wizi CCM na Serikali yake ni wezi, lakini kwanini Serikali imeshindwa kuwadhiti wezi wa Kariakoo?
 
Ishirini ishirini na tano siyo mbali. Hapo ndipo tutakapodhibitisha yaliyoandikwa kwenye Vitabu Vitakatifu kuwa "Mwanaume ni Kichwa cha nyumba".
Hahaha. Utatawaluwa na wanawake kama unavyotawaliwa na mwanamke toka kuzaliwa.

Tena haswa nyinyi wa Kilimanjaro, kuna mwanamme huko siku hizi?
 
Kama hamuelewi naana ya Reforms, njooni JNCC mpate darsa:

Your browser is not able to display this video.
 
Ni wachache sana wenye uwezo wa kurithi MALI nakuendeleza vema.


Mzee aliteua mrithi pasi na kujua ni mlabata tu na hana uwezo wa kuendeleza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…