Kweli kabisa mkuuMoja ya kosa kubwa watawala wetu wanalifanya isipokuwa kikwete hakufanya sana haya ni kuchagua askari type kwenda kuongiza taasisi.
Kidata alikuwa na attitude ya uaskari katokea kitengo wao wanaendeshwa na amri tuu hakuna strategic business thinkingna kila alilokuwa akilifanya alikuwa anatumia nguvu hivyo wadau wengi hawakumkubali.
Issue ya kariakoo inatawaliwa zaidi na maboss wa yanga na other cartels wanaopambania consolidation ya kuleta mizigo kwa gharama ndogo kwa mfanyabiashara na huku tra inataka kodi kubwa toka kwa mtu aliyeletewa mzigo kwa gharama ndogo za njia ya mkato
Kweli kabisa , cheo kimemzidi.mambo bado! uongozi mkubwa wa nchi unahitaji hekima sana,shida aliingia kwa pupa bado hakuwa anastahili kuwa pale,pale ni pazito.
na manyanyaso zaidi yataongezeka maana anawaamini watu wa nje kuliko watu wake wa ndani ndio maana kila siku ndegeni,hii sio solution ni tatizo analitafuta.. she have to empower her own people. viongozi wengi wa Africa wanakosea kwenye hili serikali hazina dira za kuinua kiuchumi watu wao.
Itakuwa kweli mkuu. Maana tangu hiyo safari hajaonekana hapaLabda na yeye yuko South Korea. Maana nilisikia yule chawa Steve Nyerere akisema alibubujikwa na machozi ya furaha!
Sasa tokea hiyo safari yao imeanza, sijamsikia kabisa Mwashambwa.😀 usikute ndo Steve Nyerere mwenyewe daah.
Mkuu Kuna watu uchawa umewapofusha hata ukweli hawauoni.Sasa hapo unatetea Nini dogo?
Wazandelendo tunasikitishwa na hotuba ya mama ambaye amekosa mwelekeo, imepelekea tunaathirika na na huu utawala
We vipi? Ni mtanzania mwenzetu??
Sawa mkuuActually Mimi nimependa alivyoweka vitu wazi
Ukopaji ni sign ya deficiencies ndio maana Manyanyaso lazima yawepo…. Tunakopa because it is inevitable,
Mengine yote ni very relevant na anajua chanzo
Kidata kapndolewa most likely itakua ji ile Barua ya zile balozi kubwa kuandika waraka kwa waziri wamambo ya nje
Tulichoona jana ni kwamba rais ameweka bayana kwamba wengi wetu sio wasafi na ni selfish hivyo walionyooka Kama kidata wataendelea kupata tabu
Nini solution: tuanze na maadili upya na tuanze na genZ na watoto wapya ili kuleta taifa salama
Sijui Kafulila atajificha na zile takwimu zake za mikopo. Ndio shida ya kuwa chawa, siku bosi akibadilisha GIA inabidi na wewe ubadilishe.David Kafulila na chawa wake Lucas Mwashambwa walikuwa wanampotosha kuhusu mikopo . Ameanza kushtuka , sasa ana mkumbuka Ndugai .
Huyu mpya kaambiwa asikubali kuwapendezesha , ampendezeshe Rais pekee yake. Ni kama Rais kazidiwa nguvu na watu au kundi Fulani humo TRA.EEEEeeeenHEEEEeeeee!
Sijui huyo Kamishna mpya hapo TRA anakwenda kufanya kazi gani sasa.
Kwanza anasimamia wafanya kazi wezi
Pili, atakapojaribu kuwabana wasiibe, watam'data', kama walivyomfanya huyo Kidata. Watasherehekea na huyu mpya atakapo ondolewa kama atabania!
Sidhani, JPM pamoja na Mimi kutokubali ni mara kumi zaidi ya Samiah. JPM asingeanza kulalamika mikopo inatunyanyasaHakuna alichokifanya JPM ambacho hatakimalizia Rais Samia katika muda huu kuelekea 2025.
Samia hana makeke ya maongezi ya jukwaani, jana nimekatiza pale BP karibu na bandarini ni kama Ulaya yaani.
Pale mida ya jioni ulikuwa ukifika saa kumi na moja na gari kwa upande wa kule kurasini inabidi usubiri saa nzima mpaka magari yanayotoka mjini yapunguzwe na trafiki, leo hii ni mwendo wa dakika moja tu umeshakatiza mahali pale!.
Samia apewe heshima yake anafanya yale yale ambayo angeyafanya hayati JPM angekuwa hai mpaka muda huu.
Na Mimi nimeona Hilo. Maana kama masharti ya mikopo yanataka hivyo utafanyaje?. Ndio maana ushoga umeshamiri kwa Kasi.Ndipo kigugumizi Cha kukemea USHOGA na ulawiti kinapoanzia!!
Kwa Mfano unaambiwa, Ili tukupe mkopo huu, hakikisha watoto mashuleni wanafundishwa USHOGA na kupewa vilainishi🤔
Ni Kwa Mfano tu, sasa masharti hayo so Rahisi!!
Ukiwa biased hutoziona.Tunataka reforms za vitendo sio maneno. Redorms wakati hutaki kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya
Kweli kabisa mkuu. Kuna masharti magumu mpaka Rais imebidi apige kelele.Ndipo kigugumizi Cha kukemea USHOGA na ulawiti kinapoanzia!!
Kwa Mfano unaambiwa, Ili tukupe mkopo huu, hakikisha watoto mashuleni wanafundishwa USHOGA na kupewa vilainishi🤔
Ni Kwa Mfano tu, sasa masharti hayo so Rahisi!!