Mambo matano aliyosema Rais Samia jana yaliyonisikitisha

Hiyo ni nguvu ya Samiah au uungwana wa upinzani?. Maana hata maandamano yamekuja baada ya CHADEMA kususia mikutano yake ndipo alipowaomba waongee naye chemba na ndipo alipokubali. CHADEMA kumaribisha kwenye event yao ilikuwa ni gesture of friendship ila Rais akawageuka alipokataa katiba mpya na kuleta ngonjera za miaka mitatu ya elimu ya Katiba.
 
Ndio mwenye shida, haiwezekani watu wote wawe na shida,atafanya kazi na nani? Yaani Nchi ipate hasara ya Migomo kisa Kidata? Hizo akili mtafany Machadema sio Samia.
Ok, ndio maana ufisadi hautaisha ndani ya serikali ya CCM. Mzuri akizidiwa na wabaya anatolewa.
 
All in all mama astaafu 2025. Tupate Rais atakaye kusanya Kodi na kupunguza Deni la nje.
 
Hakuna uungwana wa upinzani wala nini, kuw mkweli wa nafsi yako. Hiyo ni falsafa ya "Reconciliation" ya Rais mama Samia Suluhu Hassan.

Wakati wa mwendazake, mzee wa kujimwambafai, mliweza kufanya maandamano? hata mikutano mlikatazwa, na anayefanya kwinyu, anafinywa.

Hakika watwana ni wepesi wa kusahau.
 
Leta reforms za mama.
1) uchumi; Tanzania sasa hivi ina viwanda vingi kuliko wakati wowote, sekta ya utalii sasa inaingiza kipato mpaka tanzania hoteli za kitalii hazitoshi. kwa ufupi kila sekta ya uchumi inakuwa kwa kasi.

Kilimo: Kwa mara ya kwanza Tanzania tunaona mazao ya kilimo cha chakula yakiuzwa mpaka nje kwa takwimu kabisa. Kuibiwa ibiwa kiholela kumeanza kwisha.

Siasa: chadomo sasa wanafanya maandamano mpaka wenyewe wnachoka, wanafanya mikutano ya hadhara mpaka wanachoka.

Elimu" Shule za mama Samia za kisasa kabisa, walimu wanapata ajira na wanapandisshwa madaraja na mishahara inaongezwa. Kabla ya mama Samia mika mingapi madaraja hayajapanda na mishahara haijaongezwa kwa waliumu?

Unalo?
 
Sheria haziwezi kubadilishwa na kwenda kinyume na katiba.
 
Hivi unafikiri katiba ni za nini kwa nchi zinazofata mfumo wa katiba?
 
Ambao hawalipi kodi ni kina nani hadi rais alalamike na kwenda kukopa?
 
Ndio mwenye shida, haiwezekani watu wote wawe na shida,atafanya kazi na nani? Yaani Nchi ipate hasara ya Migomo kisa Kidata? Hizo akili mtafany Machadema sio Samia.
Pamoja na udhaifu wa kidata ambao ulijulikana toka pale aliteuliwa mwanzo, wizara ya fedha na waziri wake na serikali wote ni sehemu ya matatizo ya TRA, kodi nyingi ni kandamizi! service levy kwa mfano ilielezwa bayana namna ilivyoanza na vile inavyopaswa kuondolewa..mwaka jana waziri mkuu alielezwa yote haya, nini kimefanyika??? halafu unamuondoaje Kamishna au hata kubadili waziri wa biashara kwa sababu ya shida za soko la kariakoo??? kwa hiyo Jafo ni waziri wa kariakoo na huyo mwenda ni kamishna wa dar es salaam sababu amezaliwa mjini! very poor reasoning!
Mfumo mzima wa kodi Tanzania ni mbovu!! mnataka muambiwe mara ngapi msikie???? tafuteni mshauri atizame kiwango cha maisha na uchumi wetu na rasilimali zake ili a-set viwango vipya vya kodi vinavyoendana na hali halisi na viwe vinabadilika kulingana na mabadiliko yote inapotokea! huwezi ukawa na kampuni ina wateja zaidi ya million 15 halafu hata kwenye walipa kodi watatu bora haimo! kwa nchi zetu benki haziwezi kuwa ndio walipa kodi bora! hiyo ni dalili hasi kiuchumi! hakuna uwekezaji, watu ni masikini, sekta binafsi ni dhaifu, una sekta isiyo rasmi kubwa zaidi ya asilimia 50, level za amana ni chini sana..benki inakuwaje mlipa kodi bora???
Kuendelea kuwaachia tiss waweke mtu/watu wao TRA ni kutengeneza matatizo, kwanza si jukumu lao kuingilia mambo ya kodi, hivi tumekosa kabisa mtu wa kutia adabu hawa watu???
 
Sasa Kidata ndio ameleta Kodi kandamizi?
 
Uyo Mwwnda si wanajua ni mwanasiasa mwenzao watabebana waendelee kutuoiga.
 
Cheo cha RAIS kuna watu/kundi anaweza kiogopa
 
Bado unaendelea na ujinga wako? Kichwa chako kina kamasi au ubongo?
Mi mtu akitanguliza matusi tu basi namuona bogus kwani huwezi kutetea hoja mpaka utukane mkuu ukikosoa ukubali kukosolewa sio lazima kila mtu akubaliane na unavyotaka wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…