Mambo matatu waliyonishangaza watu wa mikoani.

Mambo matatu waliyonishangaza watu wa mikoani.

Analyse

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2014
Posts
17,637
Reaction score
47,413
Bado nipo nafanya ziara huku mikoani. Bado nipo Songea, ila nimeexperience mambo ambayo yamenishangaza.

1. Kupanda gari inabidi huwe na namba ya dereva au kondakta.

-->> Ili sio kosa lao, maana imesababishwa na uhaba wa usafiri. Nilikuwa nataka kufika kijiji kimoja kinaitwa Subira, nilisubiria sana gari hadi nilipopewa taarifa kuwa inabidi niwasiliane na dereva kujua wako wapi.

2. Kushuka toka kwenye daladala, kwenda dukani au nyumbani then wanarudi kuendelea na safari.

-->> Hii ilinishangaza sana. Nipo ndani ya hiace ya Mshangano, tumefika sehemu kuna wamama wakashuka na kuingia kwenye nyumba kama ya 2 toka barabarani. Nikashangaa kuona gari haindoki, namuuliza dereva vipi? Suka nae anamcheki konda "Oya waambie wafanye fasta"

-->> Wamama waliporudi safari ikaendelea. Yani najiuliza eti kule Dar umfanyie hivyo konda wa tandika, manzese au k/koo?

3. Kuomba kupunguziwa nauli kwenye daladala.

-->> Hapa wanaume wa mikoani mliniacha Hoi. Najua nikawaida nauli kupelea. Ila nipo ndani ya gari namsikia konda anamwambia yule jamaa kuwa hiyo hela siwezi kupokea, subiria gari nyingine. Ikabidi nimwambie konda amruhusu jamaa aingie, hela iliyopungua nitaongezea mimi.

-->> Baada ya jamaa kupanda, namuuliza konda, jamaa anashilling ngapi ili nimuongezee? Konda ananiambia jamaa ana Tsh 100 tu. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

-->> Wanaume wa mikoani kuweni serious basi.

Analyse
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] watu wa Songea bhana
Mlilayoyo, Hanga, bara bara ya kwanza, kwa Homera, Chuoni, Mputa, Luhimbalilo, ya saba, Naikesi, kitanda
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] wanazingua sana
 
ilikuwa kijiji fulani tabora.... wabakijiji hawaijui AC ..

tulikuwa safari sasa tunataka watuelekeze tukawapa lift baada tu ya kuingia ndani ya gari mmoja akaanza kumwambia mwenzake kwa rafudhi ya kinyamwezi tukifika nyumbani itabidi uwabeshe watoto masweta hali baridi siunaliona...mwenzake akawa anajibu yaani hii hali ya hewa ya siku hizi inabadilika badilika tu vipi huko dar nako kuna libaridi au ni joto tu

me na mwenzangu mbavu hatuna kwa kucheka huku tukiwaambia dar joto kali sana.

nahisi tulivyowashusha waliendelea na imani yao kuwa hali ya hewa ya tabora imekuwa yakubadilika badilika 😂😂😂
 
Bado nipo nafanya ziara huku mikoani. Bado nipo Songea, ila nimeexperience mambo ambayo yamenishangaza.

1. Kupanda gari inabidi huwe na namba ya dereva au kondakta.

-->> Ili sio kosa lao, maana imesababishwa na uhaba wa usafiri. Nilikuwa nataka kufika kijiji kimoja kinaitwa Subira, nilisubiria sana gari hadi nilipopewa taarifa kuwa inabidi niwasiliane na dereva kujua wako wapi.

2. Kushuka toka kwenye daladala, kwenda dukani au nyumbani then wanarudi kuendelea na safari.

-->> Hii ilinishangaza sana. Nipo ndani ya hiace ya Mshangano, tumefika sehemu kuna wamama wakashuka na kuingia kwenye nyumba kama ya 2 toka barabarani. Nikashangaa kuona gari haindoki, namuuliza dereva vipi? Suka nae anamcheki konda "Oya waambie wafanye fasta"

-->> Wamama waliporudi safari ikaendelea. Yani najiuliza eti kule Dar umfanyie hivyo konda wa tandika, manzese au k/koo?

3. Kuomba kupunguziwa nauli kwenye daladala.

-->> Hapa wanaume wa mikoani mliniacha Hoi. Najua nikawaida nauli kupelea. Ila nipo ndani ya gari namsikia konda anamwambia yule jamaa kuwa hiyo hela siwezi kupokea, subiria gari nyingine. Ikabidi nimwambie konda amruhusu jamaa aingie, hela iliyopungua nitaongezea mimi.

-->> Baada ya jamaa kupanda, namuuliza konda, jamaa anashilling ngapi ili nimuongezee? Konda ananiambia jamaa ana Tsh 100 tu. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

-->> Wanaume wa mikoani kuweni serious basi.

Analyse

namba 2.. ni kweli.. nipo SONGEA kikazi wiki ya pili sasa, inafkia kipindi watu wanasimamisha gari wananunua VIAZi... alaf safar inaendelea kam kawaidaaa yan...
 
Acha kuzingua Mzee wa dalisalaam

Sisi kwetu Bomba mbili hali saafi ya hewa

Nenda mwananyamala kwa kopa ukaone mlivo wachafu

Aibu tupu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] huku kwenu nane nane ni kama Christmas, wote mnarundikana sehemu moja.
 
ilikuwa kijiji fulani tabora.... wabakijiji hawaijui AC ..

tulikuwa safari sasa tunataka watuelekeze tukawapa lift baada tu ya kuingia ndani ya gari mmoja akaanza kumwambia mwenzake kwa rafudhi ya kinyamwezi tukifika nyumbani itabidi uwabeshe watoto masweta hali baridi siunaliona...mwenzake akawa anajibu yaani hii hali ya hewa ya siku hizi inabadilika badilika tu vipi huko dar nako kuna libaridi au ni joto tu

me na mwenzangu mbavu hatuna kwa kucheka huku tukiwaambia dar joto kali sana.

nahisi tulivyowashusha waliendelea na imani yao kuwa hali ya hewa ya tabora imekuwa yakubadilika badilika 😂😂😂

Hilo sio tatizo unajifia taaluma ya wazungu? Ona aibu


Tabora kuna asali asilia wanajivunia

Wewe unajivunia baada ya ushamba uleule
 
Nyie wa dar makonda wanawaonea lakini huku lazima wamsikilize mteja.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] huku kwenu nane nane ni kama Christmas, wote mnarundikana sehemu moja.

hahahah NILIKUWEMO pale nane.. nane... HAHAHAH daah hawa jamaa WASHAMBA kinommaaaa... heheheh na vijamaa vyao vinavaa visuruali vya kubana hata hawapendezi.. dah
 
Back
Top Bottom