Sijakukatalia..ila hayo unayosema sisi tumesoma japo sio deep tumesoma makundi,zinavyofanya kazi,madhara na drug interaction nk...wewe utatibu Malaria ila ni tofauti na mimi tabibu nitakavyotibu mimi nitazingatia kila kitu kuanzia severity ya ugonjwa na madhara mengine yatasababishwa na huo ugonjwa...mfano Mtu akiwa na Malaria kali wewe utafikiria tu Alu,Duo,Atequick na aina zingine ya vidonge ila mimi nitaangalia mbele zaidi labda nitaangalia Injection zaidi kutokana na hali yake...wewe utatibu matibabu mazuri mimi nitampa matibabu sahihi zaidi.
Yote kwa yote nawaheshimu pia.