Mambo Mengi muda mchache, kijana aende wapi kati ya diploma ya CLINICAL MEDICINE NA PHARMACY

Mambo Mengi muda mchache, kijana aende wapi kati ya diploma ya CLINICAL MEDICINE NA PHARMACY

Pharmacy sasa hivi ndio ajira zake chache sana.

Hata ajira za karibunibza TAMISEMI na Wizara ya Afya, Pharmacy wamechukuliwa wachache sana.

CO na MD bado ni kozi nzuri ingawa inahitaji uwejezaji mkubwa sana kifedha, kiakili na muda.

Kwanza kwa CO usipojiangalia utaishia hiyo hiyo CO.
Pharmacy wengi wanajiriwa private madukani na hospitali private.
 
Mkuu hivi why now pharmacy hakuna ajira huko serikalini shida nini au wanataka wote tusome nurse na C.O
Ajira nyingi tu serikalini hakuna. Si CO si MD, Lab wala Pharmacy. Uzuri wa pharamacy ni wingi wa ajira private sector.
 
Huwezi kua tabibubau daktari bila kujua pharmacology...japo nakubali ninyi mpo deep kujua vingi ila ikija ishu ya matibabu hamuwezi bila daktari
Vitu kibao wafamasia wanamalizana navyo kwenye pharmacy. Mtu anaweza kwenda pharmacy na akapona ugonjwa wake, mfamasia anamaliza kila kitu. Lakini mtu ni ngumu kupita kwa daktari na kupona bila kupita kwa mtu wa pharmacy kupata dawa.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] kwani daktari hawezi kuuza dawa na kutoa maelekezo dawa aliyoandika yeye mwenyewe? Nawaheshimu Wafamasia ila wataishi kugundua na kutibu kesi ndogo ndogo ila daktari yeye ndiye ataweza tibia mtu kwa usahihi na kupona ugonjwa wowote ule unaotibika.
Vitu kibao wafamasia wanamalizana navyo kwenye pharmacy. Mtu anaweza kwenda pharmacy na akapona ugonjwa wake, mfamasia anamaliza kila kitu. Lakini mtu ni ngumu kupita kwa daktari na kupona bila kupita kwa mtu wa pharmacy kupata dawa.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] kwani daktari hawezi kuuza dawa na kutoa maelekezo dawa aliyoandika yeye mwenyewe? Nawaheshimu Wafamasia ila wataishi kugundua na kutibu kesi ndogo ndogo ila daktari yeye ndiye ataweza tibia mtu kwa usahihi na kupona ugonjwa wowote ule unaotibika.
Ni kweli huku hatutibu kansa, pressure au TB. Lakini magonjwa ya kila siku yote, yanayosumbua sana watu tunatibu. Mafua, kifua, malaria, minyoo, typhoid, shigellosis, amiba, kichocho, UTI, fangasi, magonjwa ya zinaa, vaginosis, magonjwa karibu yote ya kuhara, ngozi nk. Daktari anajua tu matumizi ya dawa na dozi. Pharmacology yao imebezi hapo zaidi. Ni kwe

Ndiyo maana ikaoekana kunahitajika mbobezi wa madawa. Anayejua chemistry ya dawa, phramakokinetics za dawa. Haya mambo yanakuambia kwanini dawa inaleta madhara inayoleta, kwanini inainteract na dawa zingine. Nini tofauti ya ciprofloxacin na levofloxacin na zipo kundi moja. Kwanini hii inafaa kutumika ukiwa umekula na hii bila kula. Efficacy zake zikoje nk.

Daktari anaweza mpa mtu dawa na akapona lakini dawa ina mambo mengi sana, tena sana. Ndiyo maana ikaonekana kuna umuhimu wa kuwepo na wataalamu wa dawa.
 
Sijakukatalia..ila hayo unayosema sisi tumesoma japo sio deep tumesoma makundi,zinavyofanya kazi,madhara na drug interaction nk...wewe utatibu Malaria ila ni tofauti na mimi tabibu nitakavyotibu mimi nitazingatia kila kitu kuanzia severity ya ugonjwa na madhara mengine yatasababishwa na huo ugonjwa...mfano Mtu akiwa na Malaria kali wewe utafikiria tu Alu,Duo,Atequick na aina zingine ya vidonge ila mimi nitaangalia mbele zaidi labda nitaangalia Injection zaidi kutokana na hali yake...wewe utatibu matibabu mazuri mimi nitampa matibabu sahihi zaidi.

Yote kwa yote nawaheshimu pia.

Ni kweli huku hatutibu kansa, pressure au TB. Lakini magonjwa ya kila siku yote, yanayosumbua sana watu tunatibu. Mafua, kifua, malaria, minyoo, typhoid, shigellosis, amiba, kichocho, UTI, fangasi, magonjwa ya zinaa, vaginosis, magonjwa karibu yote ya kuhara, ngozi nk. Daktari anajua tu matumizi ya dawa na dozi. Pharmacology yao imebezi hapo zaidi. Ni kwe

Ndiyo maana ikaoekana kunahitajika mbobezi wa madawa. Anayejua chemistry ya dawa, phramakokinetics za dawa. Haya mambo yanakuambia kwanini dawa inaleta madhara inayoleta, kwanini inainteract na dawa zingine. Nini tofauti ya ciprofloxacin na levofloxacin na zipo kundi moja. Kwanini hii inafaa kutumika ukiwa umekula na hii bila kula. Efficacy zake zikoje nk.

Daktari anaweza mpa mtu dawa na akapona lakini dawa ina mambo mengi sana, tena sana. Ndiyo maana ikaonekana kuna umuhimu wa kuwepo na wataalamu wa dawa.
 
Jambo lingine hospital inaweza isiwe na Mfamasia,mtu wa maabara na nesi ila daktari akafanya yote tena kwa usahihi mkubwa ila haiwezekani hata siku moja daktari asiwepo afu kazi zikaenda.
Ni kweli huku hatutibu kansa, pressure au TB. Lakini magonjwa ya kila siku yote, yanayosumbua sana watu tunatibu. Mafua, kifua, malaria, minyoo, typhoid, shigellosis, amiba, kichocho, UTI, fangasi, magonjwa ya zinaa, vaginosis, magonjwa karibu yote ya kuhara, ngozi nk. Daktari anajua tu matumizi ya dawa na dozi. Pharmacology yao imebezi hapo zaidi. Ni kwe

Ndiyo maana ikaoekana kunahitajika mbobezi wa madawa. Anayejua chemistry ya dawa, phramakokinetics za dawa. Haya mambo yanakuambia kwanini dawa inaleta madhara inayoleta, kwanini inainteract na dawa zingine. Nini tofauti ya ciprofloxacin na levofloxacin na zipo kundi moja. Kwanini hii inafaa kutumika ukiwa umekula na hii bila kula. Efficacy zake zikoje nk.

Daktari anaweza mpa mtu dawa na akapona lakini dawa ina mambo mengi sana, tena sana. Ndiyo maana ikaonekana kuna umuhimu wa kuwepo na wataalamu wa dawa.
 
Kitu hujui acha, nani kakataza mtu wa GPA 3.5 asisome MD?
Hakuna aliyekatwazwa, tena kigezo ni kuanzia 3.0, ila competition ndio itakupiga K.O kiwa na gpa chini ya 4.5 kidogo 4.3 kupata MD ni ndoto.
 
Back
Top Bottom