Mambo Mengi muda mchache, kijana aende wapi kati ya diploma ya CLINICAL MEDICINE NA PHARMACY

Mambo Mengi muda mchache, kijana aende wapi kati ya diploma ya CLINICAL MEDICINE NA PHARMACY

Labda nikwambie kitu najua karibia kila kitu kuhusiana na hizi kada za afya ndo maana huwa sipendi kuwaona wadogo zangu wanakurupuka eti kisa udakatari hasa hawa familia sawa na mimi........halafu huko kukomaa kimaisha kumekujaje na hunijui.....mbona wewe uliyekomaa umeshindwa kuleta point ya msingi hapo unaleta kukomaa kimaisha pindi hunijui.......narudia tena hunijui mkuu.


Pili.......yawezekana umekomaa kimaisha kama unavyojiona lakini si kwa upande huu pia unaonekana haupo updated na haya mambo wewe........kijana amekueleza vizuri tu hapo juu bado kwa vile haupo updated unabisha tu......unaleta story za muhas.....ngoja nikueleweshe kidogo.

Mkuu hapo juu amekueleza vizuri tu kwamba kwa sasa CO usipokuwa na GPA ya 4+ MD utaisikia kwa wenzako akaongeza na kitu kingine kikubwa sana ukiwa mtoto wa masikini ndo kabisa MD utaisikia.....sasa hapo alikuwa na maana gani hapo.....twende sasa wewe uliyekomaa kimaisha.

less than or equal to 50 students kutoka ordinary diploma in clinical medicine ndo pekee wanaruhusiwa kudahiliwa kwa kila chuo kikuu tanzania kwa ngazi ya MD nchi nzima.

I.e MUHAS-only 20 student from CO
KCMC-only 30 student
BUGANDO-only 30 student.....n.k

Sasa nini namanisha hapo.....MUHAS mtu aliyebahatika kuingia hapo na inabidi akatoe sadaka unakuta ana GPA ya 4.7 yeye huyo ndo wa mwisho wengine 5.0,4.9 na 4.8......hata UDOM the same.......sasa vinabaki hvyo vyuo ambavyo usipokuwa na pesa utabaki nyumbani unatangatanga tu.........ndo pointi aliyekupa kijana hapo juu.....kairuki unayosema wewe mtoto wa mkulima hagusi pale MD.........hata hvyo vyuo vilivyobaki bado capacity yake ni ndogo then tunarudi kwa competition.......na hawa maCO walivyowengi kama kumbikumbi vyuo vya private GPA za 4.4+ zakutosha.........unakuta wewe na GPA yako ya 3.5 hata hiyo kairuki unaikosa na unakosa kweli.

ASANTE

Tatizo watu wanakaza mafuvu kana kwamba tupo kwenye ligi.....kuna mtu namfahamu ana 4.0 amepata kampala tuu kwengine kote amekosa.....watu tunaeleweshana alafu ni wabishi wakati hawajui.
 
Labda nikwambie kitu najua karibia kila kitu kuhusiana na hizi kada za afya ndo maana huwa sipendi kuwaona wadogo zangu wanakurupuka eti kisa udakatari hasa hawa familia sawa na mimi........halafu huko kukomaa kimaisha kumekujaje na hunijui.....mbona wewe uliyekomaa umeshindwa kuleta point ya msingi hapo unaleta kukomaa kimaisha pindi hunijui.......narudia tena hunijui mkuu.


Pili.......yawezekana umekomaa kimaisha kama unavyojiona lakini si kwa upande huu pia unaonekana haupo updated na haya mambo wewe........kijana amekueleza vizuri tu hapo juu bado kwa vile haupo updated unabisha tu......unaleta story za muhas.....ngoja nikueleweshe kidogo.

Mkuu hapo juu amekueleza vizuri tu kwamba kwa sasa CO usipokuwa na GPA ya 4+ MD utaisikia kwa wenzako akaongeza na kitu kingine kikubwa sana ukiwa mtoto wa masikini ndo kabisa MD utaisikia.....sasa hapo alikuwa na maana gani hapo.....twende sasa wewe uliyekomaa kimaisha.

less than or equal to 50 students kutoka ordinary diploma in clinical medicine ndo pekee wanaruhusiwa kudahiliwa kwa kila chuo kikuu tanzania kwa ngazi ya MD nchi nzima.

I.e MUHAS-only 20 student from CO
KCMC-only 30 student
BUGANDO-only 30 student.....n.k

Sasa nini namanisha hapo.....MUHAS mtu aliyebahatika kuingia hapo na inabidi akatoe sadaka unakuta ana GPA ya 4.7 yeye huyo ndo wa mwisho wengine 5.0,4.9 na 4.8......hata UDOM the same.......sasa vinabaki hvyo vyuo ambavyo usipokuwa na pesa utabaki nyumbani unatangatanga tu.........ndo pointi aliyekupa kijana hapo juu.....kairuki unayosema wewe mtoto wa mkulima hagusi pale MD.........hata hvyo vyuo vilivyobaki bado capacity yake ni ndogo then tunarudi kwa competition.......na hawa maCO walivyowengi kama kumbikumbi vyuo vya private GPA za 4.4+ zakutosha.........unakuta wewe na GPA yako ya 3.5 hata hiyo kairuki unaikosa na unakosa kweli.

ASANTE
Mimi ni C.O na kuhusu MD sina hata mpango sababu kubwa ni hiyo..unachoongea ukweli mtupu ndo maana kwa sasa mtu akinifuata kutaka ushauri kama kwao mbugila mbugila na ana vision kubwa sana huko mbele ya kuchukua digrii bila jasho huwa namwambia tu acheki kozi nyingine.
 
  • Thanks
Reactions: p2k
Mwengine ana 3.1 amepata bugando ila alitoa laki 8 ndio akapewa nafasi
 
Na huyo ashukuru pengine aliomba hapo kampalaraundi ya kwanza
Tatizo watu wanakaza mafuvu kana kwamba tupo kwenye ligi.....kuna mtu namfahamu ana 4.0 amepata kampala tuu kwengine kote amekosa.....watu tunaeleweshana alafu ni wabishi wakati hawajui.
 
Kweli mkuu nimekuelewa ngoja tuone mbeleni hapo maana nasikia pharmacy ukisoma ufi njaaa
Kila duka la dawa lazima liwe na cheti cha mfamasia(wengi hawajasoma famasi) maduka mengi wanatumia vyeti vya wafamasia wanagawana hela.
Na famasi sio hospitali tu kunasehemu nyingi ni applicable
mwisho wa siku afanye anachokipenda atakuwa na nguvu ya kukipigania
 
Duh kumbe inawezekana mkuu.

Yaaan bila hongo na una gpa yako yakisoda chini ya 4 hata bugando hugusi....ila it is possible kabisa ukawa na 3.0 na ukasoma na wengi wanapata nafasi kwa hongoo
 
Huko kairuki tu skuhiz pia watu wanapata nafasi kwa kutanguliza hongo kwanza Sababu gpa za 5 skuhiz wengi wanapata yan issue ni competition tu sema watu ni wabishi
 
Sawa sawa mzee sema MD ukisoma kwa mawazo huna kitu bila mkopo unategemea kuunga unga utateseka sana aisee.
Yaaan bila hongo na una gpa yako yakisoda chini ya 4 hata bugando hugusi....ila it is possible kabisa ukawa na 3.0 na ukasoma na wengi wanapata nafasi kwa hongoo
 
Mi nilishashukuru kwakweli..nimebadili upepo ili mradi tu napata pesa inatosha mengine tutajiongeza mbele huko.
Huko kairuki tu skuhiz pia watu wanapata nafasi kwa kutanguliza hongo kwanza Sababu gpa za 5 skuhiz wengi wanapata yan issue ni competition tu sema watu ni wabishi
 
No.....vigezo vya medical lab na hyo CMT ni sawa.

Tena bora abaki huko huko lab kuliko hyo CMT........CMT imekuwa ya ovyo sana siku hizi kila mtu amesoma.

Lakini pia issue ya kujiendeleza unaweza kubaki na CO yako mpaka unakufa.........ASANTE.
No.....vigezo vya medical lab na hyo CMT ni sawa.

Tena bora abaki huko huko lab kuliko hyo CMT........CMT imekuwa ya ovyo sana siku hizi kila mtu amesoma.

Lakini pia issue ya kujiendeleza unaweza kubaki na CO yako mpaka unakufa.........ASANTE.
Thank you!
 
Tatizo watu wanakaza mafuvu kana kwamba tupo kwenye ligi.....kuna mtu namfahamu ana 4.0 amepata kampala tuu kwengine kote amekosa.....watu tunaeleweshana alafu ni wabishi wakati hawajui.
Kuna mtu ana 3.5 kapata Cuhas this yr maishaa ni zaidi ya ujuavyo, kuna mshkaji ana 3.9 kapt Francis first batch
 
Kipi hukijui? Hivi unapopanga kwenda hospitali unaenda kumuona Pharmacist au Mganga? Je, kuna kituo cha Afya ambacho mkuu wake ni Pharmacist? Je wajua kuwa Pharmacist kazi yake ni kugawa au kuuza dawa iliyoandikwa na Mganga? Mpaka hapo hujaona kuwa Pharmacist ni mtumishi wa Mganga? Mpeleke akasome Clinical Medicine iwapo ana angalau D ya Physics
Kijana unajidanganya hujui kazi z kifamasia kaa kimya, huyo daktar wako pharmacology hajui, ishu za dawa zote anatuulza sisi.
 
Kuna mtu ana 3.5 kapata Cuhas this yr maishaa ni zaidi ya ujuavyo, kuna mshkaji ana 3.9 kapt Francis first batch

Nani amekataa babu....yan duh aya buana ngoja tukuache
 
Ukiwahi batch ya kwanza angalau unaweza pata ila ukijiroga ukachagua GVT afu ukakosa ndo urudi huko unalambwa kichwa swaafi.
Mimi washkaji 4 wana 3.2 wamept Cuhas kikibwa ni nia tu ushindani wa Gpa lbd vyuo vya serikali
 
Ukiwahi batch ya kwanza angalau unaweza pata ila ukijiroga ukachagua GVT afu ukakosa ndo urudi huko unalambwa kichwa swaafi.
Mimi washkaji 4 wana 3.2 wamept Cuhas kikibwa ni nia tu ushindani wa Gpa lbd vyuo vya serikali
 
Kijana unajidanganya hujui kazi z kifamasia kaa kimya, huyo daktar wako pharmacology hajui, ishu za dawa zote anatuulza sisi.
Huwezi kua tabibubau daktari bila kujua pharmacology...japo nakubali ninyi mpo deep kujua vingi ila ikija ishu ya matibabu hamuwezi bila daktari
 
Sure mkuu mimi nimeachana na ishu za MD japo tangu kitambo sikua nataka kusoma MD ...now nimehamishia nguvu eneo jingine ila sijatoka nje ya kada.
Umeelekea wapi mshikaji.
Nijuze.
 
Back
Top Bottom