Bado nakueleza kuwa CO bado ni wachache kulinganisha na Pharmacy. Hii inatokana na kuwa vijana wengi wanafeli Physics kwani Co inahitaji Physics. Changamsha ubongo kidogo uone kuwa Co ni superior ya hizo kozi.
Nakupa mfano, watu hao wanne wawe nyumbani kwao. Nani atafuatwa kama kuna mgojwa nyumbani. Je, atafuatwa CO au Nurse, au Pharmacist au Lab Tech? Atafuatwa mtu anayeitwa mganga. Na sasa ambapo upimaji ni kutumia Rapid Test, Co anamaliza kila kitu, huhitaji Lab tech. Nyie ndiyo mnadanganya watu kuwa CO imejaa, je wagonjwa wameisha?
Tuangalie Lab Tech, je kwa siku anaona wagonjwa wangapi? Hivi zahanati za vijijini wanahitajika? Technology inawatupa nje na haya ma Urine Analysers etc Niachie hapo, mtu kama alipata angalau D ya Physics atakuwa ni mpuuzi asipojiunga na CMT