MD na Pharmacy, Hii vita si ya nchii [emoji23],
Pharmacy wanaichukulia poa sana, tena naona na sababu zinazotolewa hata hazina mashiko ukiwa field Mfano kama Madaktari wanasoma mambo mengi sjjui nini, mara mwingine mfamasia anajua kutoa dawa tu!
anyway bora muendelee ku'diverge huko huko ila wafamasia wasiwe wengi kivile waendelee kupiga hela zao kimya kimya!
wanasahau kuna mambo mengi ya pembeni yanaendelea ya maana si lazima kuyaweka wazi hapa, Trust me hamjaingia uwanjani kuujua mchezo, ila ukishaingia uwanjani ni kama Asali huwezi toka na kusema otherwise.
anyway kwa kuwa mdogo wako anasomea kwa level diploma hiyo CO kila la heri yake, ila kama angekuwa mdg wang na anafikiria kuendelea mbele ningemshauri vinginevyo na mipango yenu!