Mambo Mengi muda mchache, kijana aende wapi kati ya diploma ya CLINICAL MEDICINE NA PHARMACY

Mambo Mengi muda mchache, kijana aende wapi kati ya diploma ya CLINICAL MEDICINE NA PHARMACY

Yaah alafu hivi mbona kama serikali imewatupa watu wa pharmacy maana nasikia ajira amna huko sijui shida nini mkuu
Pharmacy sasa hivi ajira za kusuasua sana. Halafu wakishaajiriwa wawili tu hispitali ndio basi tena.
 
Pharmacy sasa hivi ndio ajira zake chache sana.

Hata ajira za karibunibza TAMISEMI na Wizara ya Afya, Pharmacy wamechukuliwa wachache sana.

CO na MD bado ni kozi nzuri ingawa inahitaji uwejezaji mkubwa sana kifedha, kiakili na muda.

Kwanza kwa CO usipojiangalia utaishia hiyo hiyo CO.
Mkuu hivi why now pharmacy hakuna ajira huko serikalini shida nini au wanataka wote tusome nurse na C.O
 
Pharmacy sasa hivi ajira za kusuasua sana. Halafu wakishaajiriwa wawili tu hispitali ndio basi tena.
Vp kuhusu medical laboratory technology ajira zipo au utopolo tu
 
Mwongozo upi mkuu unaouongelea?? Hakuna mwongozo unaosema nesi atoe dawa kwa wangonjwa otherwise kies Hakuna mfamasi
Kuna mwongozo sijui unaitwa CMT** wizara iliona mbona manesi wanakaa na wagonjwa huko RCH na wanagawa dawa na mambo yanaenda fresh tu, wakaamua kuwa-approve tu wawe wanatoa.
 
Nimepata diplo ya pharmacy Udom lakini hiyo kozi ya medical lab technology ipo nawaza naweza kubadilisha tu nipe hiyo
Maabara za Afya bado zina ajira.

Muhimu ujue kozi kozi unayosoma ni ya kupima magonjwa au kitu kingine maana maabara zipo nyingi.
 
Maabara za Afya bado zina ajira.

Muhimu ujue kozi kozi unayosoma ni ya kupima magonjwa au kitu kingine maana maabara zipo nyingi.
Hapo bado sijaelewa hii medical lab technology na medical lab sciences tofauti yake nini
 
Kitu hujui acha, nani kakataza mtu wa GPA 3.5 asisome MD?
Sipo kuonesha umwamba hapa mkuu sema yawezekana najua vitu vingi vinavyoendelea kwenye hizi kada za afya.......ndo maana hata baada ya wewe kutokujua kwamba medical lab inahitaji physics wala sijakunyong'onyesha kwa kauli mbovu.

Anyway......issue sio kupata hiyo GPA uliyoiandika hapo......issue ni tundu la sindano lililopo kwa hawa wadogo wanaomaliza hiyo CO kwenda MD na walivyowengi kama kumbikumbi..
 
Hapo bado sijaelewa hii medical lab technology na medical lab sciences tofauti yake nini
Medical lab technology na Medical lab sciences zote kazi ni kama zinafanana. Ila Ukiwa na Medical lab sciences unakuwa deep sana kwenye utendaji wako wa kazi hoplspitali
 
Medical lab technology na Medical lab sciences zote kazi ni kama zinafanana. Ila Ukiwa na Medical lab sciences unakuwa deep sana kwenye utendaji wako wa kazi hoplspitali
 
Medical lab technology na Medical lab sciences zote kazi ni kama zinafanana. Ila Ukiwa na Medical lab sciences unakuwa deep sana kwenye utendaji wako wa kazi hoplspitali
Kwa maana hiyo bora niachane na mapharmacy nipige hiyo medical lab technology mkuu maana naona kama serikali hawana habari na mambo ya pharmacy kabisa
 
Mkuu kiufupi now C.Oni ualimu uliochangamka.
Sipo kuonesha umwamba hapa mkuu sema yawezekana najua vitu vingi vinavyoendelea kwenye hizi kada za afya.......ndo maana hata baada ya wewe kutokujua kwamba medical lab inahitaji physics wala sijakunyong'onyesha kwa kauli mbovu.

Anyway......issue sio kupata hiyo GPA uliyoiandika hapo......issue ni tundu la sindano lililopo kwa hawa wadogo wanaomaliza hiyo CO kwenda MD na walivyowengi kama kumbikumbi..
 
Sipo kuonesha umwamba hapa mkuu sema yawezekana najua vitu vingi vinavyoendelea kwenye hizi kada za afya.......ndo maana hata baada ya wewe kutokujua kwamba medical lab inahitaji physics wala sijakunyong'onyesha kwa kauli mbovu.

Anyway......issue sio kupata hiyo GPA uliyoiandika hapo......issue ni tundu la sindano lililopo kwa hawa wadogo wanaomaliza hiyo CO kwenda MD na walivyowengi kama kumbikumbi..
Bado nakueleza kuwa CO bado ni wachache kulinganisha na Pharmacy. Hii inatokana na kuwa vijana wengi wanafeli Physics kwani Co inahitaji Physics. Changamsha ubongo kidogo uone kuwa Co ni superior ya hizo kozi.

Nakupa mfano, watu hao wanne wawe nyumbani kwao. Nani atafuatwa kama kuna mgojwa nyumbani. Je, atafuatwa CO au Nurse, au Pharmacist au Lab Tech? Atafuatwa mtu anayeitwa mganga. Na sasa ambapo upimaji ni kutumia Rapid Test, Co anamaliza kila kitu, huhitaji Lab tech. Nyie ndiyo mnadanganya watu kuwa CO imejaa, je wagonjwa wameisha?

Tuangalie Lab Tech, je kwa siku anaona wagonjwa wangapi? Hivi zahanati za vijijini wanahitajika? Technology inawatupa nje na haya ma Urine Analysers etc Niachie hapo, mtu kama alipata angalau D ya Physics atakuwa ni mpuuzi asipojiunga na CMT
 
Kwa maana hiyo bora niachane na mapharmacy nipige hiyo medical lab technology mkuu maana naona kama serikali hawana habari na mambo ya pharmacy kabisa
Acha tamaa,famasi nayo inamaketi sana usiangalie serikalini tu,mie nina dada yangu anacheti cha famasi aliajiriwaga kariakoo uko kwa wahindi,baada ya muda akaacha kazi akafungua duka lake la famasi kiukweli anasema hajutii kusomea iyo kazi,kaajiri watu wengine yeye sasaivi anamishe zingine.........So mie naamini tu hakuna kitu kisicholipa maishani ni kuwa na subira tu na icho unachokifanya........ama mfano mwingine huu kuna jamaa alimazaga six kipindi kile cha kikwete mwishoni mwishoni alipataga 1 tena Pcm akaona ujinga kusomea uinginia,akaenda kusomea mambo ya Petrolium and gas baada ya kusikia serikali inaingia kwenye sekta iyo......sasaivi yupo tu kitaa so wewe ukitaka kusomea kitu somea kile kilichopo damuni mwako,kwa sie waislamu tuna kitu tunatakiwa kufanya katika kuchagua mambo,so na mungu pia ananafasi katika kukuchagulia cha kusomea
 
Back
Top Bottom