Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

Oyaa wee
 
Big up sana hapa
 
Kwa utaalamu wangu mdogo wa sailolojia, huyu mtoa mada ana adversorial intelligence, yaani uwezo wa kupambana katika hali zote za kimaisha.
 
Mnawaza kugegedana tu [emoji23][emoji23]. stori inaweza kuwa nzuri bila ya mambo ya kugegedana mkuu TAI DUME baki kwenye kiini cha uzi
 
Very interesting
 
Here i stand

Hapo kwenye training upewe wewe tena kwa kustukiza unaweza kuomba sala moja hiyo ukahisi hii sala/dua Mungu pekee ndiye aliye sikia hata masikio yako unaweza kusema hayajui chochote.

Tuzidi kupambana
 
Nakuomba usiweke kula tunda kimasiahara,usiwape watu sex emotion vibration frequency please utaonekana wa tofauti kidogo. Mana maisha yetu sio kuwa tunahitaji ngono Bali how to survive during dangerous situation,how to bear with stressful situation like uliyoyapitia
 
Ee bana mkuu nime kuelewa sana kwa ushauri huu.

Noted..[emoji3578][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…