The email
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 678
- 1,311
Maandika yanatuasa kuwa tayari ,maana hatujui siku wala saa
Binadamu tunajisau sana tuwapo duniani .Hasa wenye uhakika wa kula na kuvaa ,kulala pazuri na kufanya mambo ya kidunia kama wapendavyo.
Watu husahau kabisa kwamba kuna mauti ,watu wako busy na mishe kila kukicha na malengo mia zaidi,hawajui kabisa kwamba kuna kuondoka siku yoyote.
Watu hawana habari kabisa na Mwenyezi Mungu,watu huishi kama vile walijileta duniani,wana kejeri kwa wenzao,dharau ,wenye kudhihaki,wasio thamini wengine,wenye kiburi,waongo na wasio mtumainia Mwenyezi Mungu.
Mauti yapo na tunatembea nayo.watu tumtumainia mwenyezi Mungu inabidi kujitayarisha kwa yajayo,yawe mema au mabaya.
Mtu mwenye imani thabiti haogopi kifo ,mana tupo ili tufe,na pale jambo baya linapo kufika yabidi umtumainie mwenyezi Mungu mana hauna uwezo wa kubadili kuwa vile unataka wewe.
Mwenye imani hofu na mashaka huwa havipo ,tunahofu na kifo mana hatuna wema ndani yetu.tulishajikatia bima ya uhai wa hapa hapa duniani,watu hawataki kuondoka duniani,na akiona wa karibu yake kaondoka atalia hadi kamasi, kugalagala chini,kufuru kama zote na anamalizia na kuzimia,
Akiamuka tena analia hadi anavua nguo na kutamka maneno yasiyo kuwa na matumaini.
Alichosema mtoa mda yupo sahihi kabisa ,kujiandaa ki roho ni bora zaidi ya yote.Tusiwe kama wasio na imani,
Kama tukiishi twamishia Mungu, na kufa kwetu ni faida.kila kukicha yatupasa kusali na kutambua ya kuwa mauti ipo na hakika ipo siku tutakufa na wapendwa wetu wataondoka .
Basi tufe kifo chema na chenye matumaini,tusiishi kama wanyama wasio na akiri
Wapumzike kwa amani walio tutangulia.
Binadamu tunajisau sana tuwapo duniani .Hasa wenye uhakika wa kula na kuvaa ,kulala pazuri na kufanya mambo ya kidunia kama wapendavyo.
Watu husahau kabisa kwamba kuna mauti ,watu wako busy na mishe kila kukicha na malengo mia zaidi,hawajui kabisa kwamba kuna kuondoka siku yoyote.
Watu hawana habari kabisa na Mwenyezi Mungu,watu huishi kama vile walijileta duniani,wana kejeri kwa wenzao,dharau ,wenye kudhihaki,wasio thamini wengine,wenye kiburi,waongo na wasio mtumainia Mwenyezi Mungu.
Mauti yapo na tunatembea nayo.watu tumtumainia mwenyezi Mungu inabidi kujitayarisha kwa yajayo,yawe mema au mabaya.
Mtu mwenye imani thabiti haogopi kifo ,mana tupo ili tufe,na pale jambo baya linapo kufika yabidi umtumainie mwenyezi Mungu mana hauna uwezo wa kubadili kuwa vile unataka wewe.
Mwenye imani hofu na mashaka huwa havipo ,tunahofu na kifo mana hatuna wema ndani yetu.tulishajikatia bima ya uhai wa hapa hapa duniani,watu hawataki kuondoka duniani,na akiona wa karibu yake kaondoka atalia hadi kamasi, kugalagala chini,kufuru kama zote na anamalizia na kuzimia,
Akiamuka tena analia hadi anavua nguo na kutamka maneno yasiyo kuwa na matumaini.
Alichosema mtoa mda yupo sahihi kabisa ,kujiandaa ki roho ni bora zaidi ya yote.Tusiwe kama wasio na imani,
Kama tukiishi twamishia Mungu, na kufa kwetu ni faida.kila kukicha yatupasa kusali na kutambua ya kuwa mauti ipo na hakika ipo siku tutakufa na wapendwa wetu wataondoka .
Basi tufe kifo chema na chenye matumaini,tusiishi kama wanyama wasio na akiri
Wapumzike kwa amani walio tutangulia.