min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Tarangire mkuu, ila huyu ni zeruzerušHakuna na hakujawahi kuwa na Twiga mweupe Tanzania. Wajinga ndo wanaamini hizi story za kusadikika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tarangire mkuu, ila huyu ni zeruzerušHakuna na hakujawahi kuwa na Twiga mweupe Tanzania. Wajinga ndo wanaamini hizi story za kusadikika.
Wanakera sana hao. Hawajui lolote kazi kuwa natabia za kihašWajuaji washavamia shughuli šš»
Mkuu, wala sina shida na ukongwe wake, nisome vizuri nilichokielezea. Hivi mzazi wako sababu tu yeye ni mkongwe inawezekana akikwambia wewe ni wa kike na wewe ukakubali , halafu ukaanza kuwa wa kike kweli sababu mzazi ndiye amesema hivyo.Mngekuwa mmewahi kumfuatioia Huyu Dereva mkongwe msingekuwa mnapata shida na huu uzi wake huyu ni moja wa madereva wa kitambo sana kwenye safari za masafa marefu na sasa kabarikiwa anaishi nje ya nchi kwa kazi hii.
Mfuatilieni nyuzi zake sio kipa kitu ni chai humu
Kwa hiyo hairuhusiwi kukosoa?Wajuaji washavamia shughuli šš»
YupoHakuna na hakujawahi kuwa na Twiga mweupe huko. Wajinga ndo wanaamini hizi story za kusadikika.
Usilete ujuaji mwingi ikiwa ujui chochote
Yupo
Wapi?
![]()
Twiga albino apatikana Tanzania
Mwanasayansi Dk Derek Lee amegundua twiga albino kwenye hifadhi ya mbuga ya Tarangire iliyopo katika Mkoa wa Arusha nchini Tanzania.www.mwananchi.co.tz
Hilo eneo umeliona.? Nimekutumia picha hapo. Wakati mwingine ili kujihakikishia mambo pita google kimya kimya.Mkuu, wala sina shida ukongwe wake, nisome vizuri nilichokielezea. Hivi mzazi wako sababu tu yeye ni mkongwe inawezekana akikwambia wewe ni wa kike na wewe ukakubali , halafu ukaanza kuwa wa kike kweli sababu mzazi ndiye amesema hivyo.
Nilidhani ni kuhusiana na Tanzania. Kuhusu Twiga albino kuwepo ule msitu wa Ipole hata mimi pamoja na kufanya sana shughuli kule, sijawah kuwaona wala kusikia...inawwzekana alimuona, hilo nitaliacha liivyoHuko ni Tarangire. Huko Tabora alipatikana lini?
Mkuu, siyo kila kilichopo mtandaoni ni taarifa sahihi. Unajua idadi ya mapori yaliyopo Tanzania ni mangapi?Hilo eneo umeliona.? Nimekutumia picha hapo. Wakati mwingine ili kujihakikishia mambo pita google kimya kimya.
Yawezekana kakosea spelliing ila hilo eneo lipo na ni game reserve kama ambavyo nimeshare na wewe hapo
Story za kufikirika za uchawi, vibwengo, majini n.k ni tamu sana.Much know washavamia uzi, mkuu basi usiendelee tena na story yako.
Weeee ni kabishi tuu banaMkuu, siyo kila kilichopo mtandaoni ni taarifa sahihi. Unajua idadi ya mapori yaliyopo Tanzania ni mangapi?