Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si bora niwe mbishi kuliko kuwa tutusa. Kitu nakifahamu nikuangalie tu unapotosha watuWeeee ni kabishi tuu bana
Kwahiyo Bwana Mjuzi....Pori la Mpembapazi halipo?.Si bora niwe mbishi kuliko kuwa tutusa. Kitu nakifahamu nikuangalie tu unapotosha watu
Wewe ni muha Mkuu.? (Samahani kama nitakuwa nimekuoffend)Mkuu, siyo kila kilichopo mtandaoni ni taarifa sahihi. Unajua idadi ya mapori yaliyopo Tanzania ni mangapi?
Ungeniuliza mimi ningekujibuKwahiyo Bwana Mjuzi....Pori la Mpembapazi halipo?.
Mkuu nmeingia mtandaon kulitafuta Hilo eneo, nmejiridhisha Lipo na linatambilika.Ungeniuliza mimi ningekujibu
Unachokileta wewe sasa ndiyo UBISHI wa kipuuzi. Hauna fact yoyte, siyo local wala official.Wewe ni muha Mkuu.? (Samahana kama nitakuwa nimekuoffend)
Maana naona unaanza kulazimisha vile ujuavyo wewe ndo vithibikike kama ndo ukweli pekee unaotakiwa kupitishwa
Kwa taarifa yako maeneo mengi Tanzania hayaja fikiwa na taasisi za kiserikali ilikutambulika, zaidi ya watu wa jamii husika kuyatambua.
Sasa ulianza kubisha kwanini kuwa hii eneo halipo.?Unachokileta wewe sasa ndiyo UBISHI wa kipuuzi. Hauna fact yoyte, siyo local wala official.
Nikufundishe tu eneo la Mpembampazi ni eneo ndani ya hifadhi ya Ipole, na palikuwa na kambi ya walina asali pale. Hilo eneo enzi za Mkapa kama sikosei ndiyo maajambazi waliwahi kuteka basi na kuwaimbisha abiria wimbo 'Mtaji wa Masikini ni nguvu zake mwenyewe'.
Ninaongea kitu ninacho kifahamu, ssiyo wewe na huko kujitia ujuaji wakati haufahammu kitu kuhusiana na unachojaribu kubisha.
Mkuu tabora ndio mkoa mkubwa kuliko yote tanzania, hata kama umerina asali semi trailer nzima huwezi kuwa umecover hata asilimia 10 ya misitu ya tabora, tujifunze kuwaachia watu uhuru wa kusimulia hasa mtu mkongwe kama mkuu nzalendo hiyo njia ya mitundu kwenda rungwa mpaka mbeya, katavi au sikonge ina mambo mengi ni kweli.Nilidhani ni kuhusiana na Tanzania. Kuhusu Twiga albino kuwepo ule msitu wa Ipole hata mimi pamoja na kufanya sana shughuli kule, sijawah kuwaona wala kusikia...inawwzekana alimuona, hilo nitaliacha liivyo
kuna Mahala nimesema halipo au halitambuliki? Nilichokikataa ni hadhi yake, haikuwa hiy iliyopewaMkuu nmeingia mtandaon kulitafuta Hilo eneo, nmejiridhisha Lipo na linatambilika.
Inaonekana haukuelewa ukakimbilia kubisha. Ukirudia kusoma nilichoandika kuna mahala niliandika kuwa hilo eneo halipo?Sasa ulianza kubisha kwanini kuwa hii eneo halipo.?
Naona unatoka nje kabisa ya hoja iliyopo hapa. Hivi umeelewa kilichopingwa hapa?Mkuu tabora ndio mkoa mkubwa kuliko yote tanzania, hata kama umerina asali semi trailer nzima huwezi kuwa umecover hata asilimia 10 ya misitu ya tabora, tujifunze kuwaachia watu uhuru wa kusimulia hasa mtu mkongwe kama mkuu nzalendo hiyo njia ya mitundu kwenda rungwa mpaka mbeya, katavi au sikonge ina mambo mengi ni kweli.
Mkuu dunia ina mengi kama hujawahi kushuhudia usitumie ubishi bure subiri sehemu sahihi uutumie.Story za kufikirika za uchawi, vibwengo, majini n.k ni tamu sana.
Njia ya maji moto.Nimemkumbuka miaka hiyo nilipita Kuna pori kabla hujatoka inyonga gari iliharibika hapo..... Tulikaaa masaa kabla haijapita gari zile za wajenga barabara ndio walitupa msaada¡!!!!! Nimemkumbuka pia boss wangu enzi hizo nilikua nasafirisha dhahabu naitoa mpanda, mbeya dar..... Alikua ananiambia leo kuwa makini dhahabu Ina harufu kuwa makini mama!!!!! Wakati huo magu hajui Kama pamoja na soko lake la dhahabu lakini muhindi dhahabu ilimfikia Kama kawaida bila kuacha trace yoyote
Wewe unaleta ubishi kuwa hakuna twiga mweupe wala msitu wa mpembapazi kisa tu hujawahi kumuona huyo twiga na hujawahi kufika kwenye huo msitu, sasa huu kama sio ubishi wa darasa la 2 B ni nini, umechemka acha kupoteza muda kujustify maneno yako unazidi kuharibu.Naona unatoka nje kabisa ya hoja iliyopo hapa. Hivi umeelewa kilichopingwa hapa?