Mambo unayopaswa kufanya mwanaume pale ndoa au mahusiano yako yanapovunjika

Mambo unayopaswa kufanya mwanaume pale ndoa au mahusiano yako yanapovunjika

Mwanaume kuchepuka!! Nikujibu, mwanaume ni utundu tu sio upendo wa dhati ila mwanamke anahamishia upendo wote kwa mwanaume kwa kuwa anamfikisha anapotaka. Mwisho atakuona wewe bwana kama boya tu.
 
...Naongezea na mwanamke aliyetoa mimba kwa siri au kwa wewe kujua usimsamehe kamwe!.Tayari ni laana na mkosi kwenye familia na anaweza kukufanya lolote ukiendelea nae.
 
Sio wewe ndo unayumba kweli? ukweli ndo upo hivyo aisee.... Ndio Tunawapenda sana watoto wetu.. Lakini usimwonyeshe wife kuwa una hisia kali sana juu ya watoto, kwamba akikohoa kidogo tu kuhusu mtoto basi uku wewe umechanganyikiwa.. 'Wrong' atakunyanyasa kupitia mtoto/watoto.
Bro it's possible to show affection to your kids and yet standing as disciplinarian figure, and the symbol of law and order in your house.

My father loved me so damn much, but haikumzuia to whoop my ass so hard, to the extent unaanza question is this my dad or an imposter, bakora 50 au 60 kwa mpigo zilikuwa kitu cha kawaida mnoo
 
Bro it's possible to show affection to your kids and yet standing as disciplinarian figure, and the symbol of law and order in your house.

My father loved me so damn much, but haikumzuia to whoop my ass so hard, to the extent unaanza question is this my dad or an imposter, bakora 50 au 60 kwa mpigo zilikuwa kitu cha kawaida mnoo

Bro Come Down...,, Scenario nliyoielezea mimi ni tofauti kabisa na kile unachokijibu wewe.. Nilichozungumzia Mimi ni kuendeshwa na mke wako kisa mtoto., Yaan ukiwa umeachana na mkeo alafu mkeo anamweka mtoto mbele kama silaha ya kukukomoa, kwa sababu anajua una hisia kali na mtoto so uwezi chomoa ata akitaka milion 5 inayohusiana na mtoto utatoa tu..
 
Back
Top Bottom