Mambo usiyoyafahamu kuhusu Ngamia

Unachobisha wewe ni nini!?
Mchukue nyati mfunge miguu mchoshe kama unavyodai huyu ngamia anachoshwa halafu sogelea umchinje uone pembe utakazokula.
Huyu akilala hapo unamuweka kisu shingoni hatikisiki hata kidogo.
 
Aisee🤐🤐🤐🤐.
 
K

Ukwel ni hasiraa?kajaribu kuwaelewesha watu ukwel kosa lake lipi? Watu wanadanganywa sana na hzo stori mie kwamachoyangu niliona akichinjwa mwanza mkiti maaruufu mabanzi hlo kasheshe lake si lakitoto skuona huko kuinama mwenyewe achinjwe
Mie nimeshuhudia akiinama mwenyewe kuchinjwa.
Ukimlazimisha kumchinja haifai kidini.
Hata katika wasifu wa uislam yupo mtu aliyekatazwa kumchinja ngamia wake pale alipogoma kuinama na kukimbia.
Haifai kumlazimisha ngamia kuchinjwa.
 
Viumbe wenye sifa za kipekee katika sayari hii
 
Usipotoshe watu ngamia sio Haram.
Usiongee mambo usiyo na ushahidi nayo.
Umekurupuka mkuu, nukuu hii hapa, acha kula vitu najisi.

Mambo ya Walawi 11:4
'Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.'
 
Mambo ya Walawi 11:4 Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.
Kumbe walawi?
Mie nazungumzia Qur'an.
Kama jambo halijatoka kwenye Sheria za Qur'an na Sunnah basi halifanyi kazi kwangu muislam.
 
Kumbe walawi?
Mie nazungumzia Qur'an.
Kama jambo halijatoka kwenye Sheria za Qur'an na Sunnah basi halifanyi kazi kwangu muislam.
Qur an ni porojo kama porojo nyingine mkuu, qur an ndiyo inadai kuwa jua linazama kwenye matope. Ndiyo inadai peponi kuna wanawake wenye macho makubwa kama vikombe, ndiyo ilipelekea muhamnad kubaka (alimbaka binti Ausha)nk.
 
Wananenepa kama kitimoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…