Mambo usiyoyafahamu kuhusu Ngamia

Pia kuna dua maalum ya kumchinja, akisomewa yeye mwenyewe anageukia kibla tayari kwa kuchinjwa.
 
Ngamia ni haramu kabisa kwa mujibu wa Biblia. Ndiyo maana Wakristu na Wayahudi hawachomi ngamia wala kunywa maziwa yao

Walawi 11:4
Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.


Au wewe Mshana Jr unakunywa maziwa ya ngamia?
 
Ngamia huwezi kumfananisha na kinyonga unless hujui upekee wa uumbaji wa ngamia.
Point yangu ni kuwa kila Mnyama au ndege yuko unique.. kutokana na mazingira yake anayoishi.. hakuna mnyama mwenye upekee kwenye uumbaji..
 
😀 Kinyungu ukiwa Roma ishi kama waroma
 
Uongo mtupu hii habari ya evolution
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…