Wengi wanalipia mafunzo ya ushoga kila mwezi kwa watoto wao na wanalipia kwa furaha. Inaitwa Television...!Kwa hiyo msikitini na makanisani ndiko wanskofundishwa ushoga!
Nilikuwa namshangaa mdau anayesema misikitini na makanisani ndiko kunaharibu watoto.Wengi wanalipia mafunzo ya ushoga kila mwezi kwa watoto wao na wanalipia kwa furaha. Inaitwa Television...!
Kanisani kwetu watoto wanafundishwa kumpenda Mungu na kuna waalimu kadhaa. Ni sehemu salama kwa watoto!
Siijui itanisaidia niniitakusaidia nini
Contents za ushoga zinasukumwa kwa nguvu sana kwenye TV. Mitandao. Uongo mwingi sana kwa watoto. Mungu awafungue macho wazazi kujua hatari ya Tvs na Ma game ambayo yanafundisha ngono au violence.Nilikuwa namshangaa mdau anayesema misikitini na makanisani ndiko kunaharibu watoto.
Watoto wanaharibikia nyumbani kwenye TV. Yani wanajua kubadilisha channels kuliko wazazi. TV channels ndio mchawi wa kuhatibu watoto.
Kwahiyo mliingiliana wote sio kwamba wewe ulichukua nafasi ya mamaHakuna mkubwa, alikua rafiki angu, nilimzidi miezi kadhaa ila nae alikua 14yrs. Ila hajawahi kua gay hata baada ya hapo, ni straight, hakuchukulia serious sana alichukulia kama jokes na aliogopa sana imekuaje, ila nilichukulia serious.
Sasa kama unauwezo wa kusimama uume na kuingiza kwa uke kwanini uwe gay? Hivi utamu wa sex si kukojoa? Sasa kufi--- unakojoa? Kwanini usiwafumue madem uendelee kukojoa? Hapa unanifikirisha sana.yes nina girlfriend , hajui kama niko hivyo, pia relationship yetu imekua complicated, sababu ananipenda sana ila anahisi simpendi , sababu hata kumpigia simu sometimes zinaweza pia hata 3 days asiponianza nimtafuti, hajui wala hajawahi kuhisi.
Yes huwa tunasex sometimes, japo sio mala nyingi, najua pia anachepuka lakini i dont mind at all.
Nyie machoko huwa hamuishi maisha marefu. You're full of guilt in your filthy, perverted, consciences: plus you're full of deadly diseases that shorten your life spans significantly.Sijajua kuhusu agenda mkuu, pia sijasema kwamba basi gays wamekua wengi na straight wamepungua, hapana, ila nilichoeleza ni kwamba, watu hawa pia (gays) wameongezeka sana na wengi hawajionyeshi , hivyo nia yangu ni kujaribu kufahamisha tu watu wajue reality ya jambo husika ili wajue kudeal nalo, sababu ukijua jambo vizuri ni rahisi pia kulikabili kuliko ukiwa hujia inakuaje.
Kuhusu fantasy, sijajua mkuu, siwezi ongelea story ama maisha ya watu wwngine ila ukweli ni kuwa, wanasiasa pia ni watu, hao wenye hela pia ni watu, na hata wasiokua na hela pia ni watu, hivyo kama jambo hili la gays linawapata watu basi jua pia wapo watu wenye hela , wanasiasa, waheshimiwa, watu wa dini na hata wasio na dini ambao ni gays na wanadate hao hao ambao hawana kitu, ni kama ukahaba, kahaba hata atembee na mtu mwenye pesa, kama anahaja ya kumtumia tu hawezi mpa maisha mazuri zaidi ya kumpa pesa ya ukahaba, ndivyo ilivyo huko pia.
Kwa upande wangu i have my own life, with everything i needed to have. hivyo sidate na mtu sababu nataka maisha mazuri hapana, nadate na mtu sababu ya hisia nilizonazo na wala sizilazimishi.
Pia tusipende sana kuongelea mambo ya gays kutembea na watu hao maarufu na faida gani wanapata, sababu vijana wenye tamaa watajiingiza kwenye hayo mambo wakiamini watafaidika kumbe sio.
Ndege wafananao huruka pamoja, gaya wanakutana zaidi mitandaoni, hivyo yes hata hao wanaasiasa whatever wako huko online dating za gays, ila hitaweza kujua hadi mkutane sababu hua ni anonymous.
I hope umeelewa japo kiasi, mimi hia ai mzuri sana kuelezea.
KWA hiyo ulishawahi pigwa miti?
Au mnapigana au inakuwaje ani ?
Una mpango wa kuwa na watoto?
Shoga ina maana zote mbili, anaingia na anayeingiliwa.Bisexual sio shoga, ila anaweza cheza nafas ya ushoga.
Je utashauri nini zaidi?Sema niny sio wana ushauri gani uho [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
AmeenBharka
Pole na masahibu yanayokusibu.
Ninesikitika umeamini uongo wa shetani kuwa ulizaliwa hivyo. Hii sio kweli.
Pili tumaini pekee kwa mashoga ni Yesu Mnazareti. Keshabadilisha mashoga wengi sana. Nakuhakikishia kama utaamua kumtafuta kwa bidii, atakutoa huko na hutaamini.
Nje ya hapo hakuna tumaini.
Mungu alikuumba rijali wa kiume, akitegemea siku uongoze familia. Na bado hilo linawezekana ukimtafuta Yeye kwa msaada.
Nakuombea macho yako yafunguliwe!
Chochote kinawezekana ukiamua, ni mind set yako tu mkuu.Mkuu mboba nimeelezea japo kwa ufupi maisha ya utotoni, nimekua kama watoto wengine, nimecheza michezo yote ya kiume, na nineishi familia wanayomjua Mungu, wala hakukua na gape la kusema ndio limeniharibu.
Hakuna kitu kama kujiendekeza, natamani ningekua najiendekeza pengine ningejibadilisha, ila automatically tu navutiwa na men kuliko women. Hapo kujiendekeza kuko wapi, yani ikitokea wewe handsome uko mbele yangu na demu mkali yuko mbele yangu trust me feelings za.mwili zitakua kwako sio kwa huyo demu, tell me how can i change that.
"Agenda" is definitely a good word to define. KERO! KERO!"The other gender" huwa mko na audacity sana, hili jambo lipo lakini sivyo kama mnavyojaribu kulielezea, ninyi mko wengi ila wanaume ambao bado ni straight nao ni wengi sana sio kama mnavyojaribu kumanipulate, we sometimes wonder what is your agenda!
Na fantasy zenu sasa mie hoi, ohh tunalala na watu wenye hela, sijui wanasiasa sijui wenye power na blah blah ila wengi tukiangalia maisha yenu tunaishia kujiuliza mbona hayareflect mnachosema. Haya ndugu kila la heri. I'm not judging you tho...