Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

1.kama nikumtamani huyo handsome kwanini usimtamani mkaishia kuwa marafiki tu kwanini mpaka utamani akuchokonoe nyuma!?

2.ulishawah kusuguliwa mpaka ukatoa kisamvu?,na unapenda kusuguliwa sana au kidogo kidogo?

3.Nachojua mkungu huuma sana,huwa mnawezaje kuvumilia hayo maumivu

4.Ebu eleza kidogo,umesema unafanya haya mambo kwa usiri sana,hawa jamaa wanaokunyandua unawezaje kukutana nao?
 
Wengi wanalipia mafunzo ya ushoga kila mwezi kwa watoto wao na wanalipia kwa furaha. Inaitwa Television...!

Kanisani kwetu watoto wanafundishwa kumpenda Mungu na kuna waalimu kadhaa. Ni sehemu salama kwa watoto!
Nilikuwa namshangaa mdau anayesema misikitini na makanisani ndiko kunaharibu watoto.
Watoto wanaharibikia nyumbani kwenye TV. Yani wanajua kubadilisha channels kuliko wazazi. TV channels ndio mchawi wa kuhatibu watoto.
 
Nilikuwa namshangaa mdau anayesema misikitini na makanisani ndiko kunaharibu watoto.
Watoto wanaharibikia nyumbani kwenye TV. Yani wanajua kubadilisha channels kuliko wazazi. TV channels ndio mchawi wa kuhatibu watoto.
Contents za ushoga zinasukumwa kwa nguvu sana kwenye TV. Mitandao. Uongo mwingi sana kwa watoto. Mungu awafungue macho wazazi kujua hatari ya Tvs na Ma game ambayo yanafundisha ngono au violence.

TV ni sababu watoto wengi ni too sexists na ni violent!
 
mkuu ulianzaje kuingiziwa mkuyange halafu aliyekuingizia alikuwa kijana mdogo mwenzako au?

Halafu vipi hupati maumivu wakati wa kunya labda au wakati wa kugongwa na hao mabasha wako

Halafu vipi kujampa jampa na kujinepisha maana marinda si hakuna

halafu mwisho hao watu ambao ushakuwa kwenye mahusiano nao ilikuaje mpaka wakakutongoza ama ni wewe ulijilengesha

mwisho unasema una girlfriend inawezekana vipi wakati ukipigwa machine vizuri huko mbele si panasizi penyewe

nahisi umelipwa kupost ngoja niwasiliane na Mshana Jr aangalie kwenye vioo vyake
 
Hakuna mkubwa, alikua rafiki angu, nilimzidi miezi kadhaa ila nae alikua 14yrs. Ila hajawahi kua gay hata baada ya hapo, ni straight, hakuchukulia serious sana alichukulia kama jokes na aliogopa sana imekuaje, ila nilichukulia serious.
Kwahiyo mliingiliana wote sio kwamba wewe ulichukua nafasi ya mama
 
yes nina girlfriend , hajui kama niko hivyo, pia relationship yetu imekua complicated, sababu ananipenda sana ila anahisi simpendi , sababu hata kumpigia simu sometimes zinaweza pia hata 3 days asiponianza nimtafuti, hajui wala hajawahi kuhisi.

Yes huwa tunasex sometimes, japo sio mala nyingi, najua pia anachepuka lakini i dont mind at all.
Sasa kama unauwezo wa kusimama uume na kuingiza kwa uke kwanini uwe gay? Hivi utamu wa sex si kukojoa? Sasa kufi--- unakojoa? Kwanini usiwafumue madem uendelee kukojoa? Hapa unanifikirisha sana.
 
Sijajua kuhusu agenda mkuu, pia sijasema kwamba basi gays wamekua wengi na straight wamepungua, hapana, ila nilichoeleza ni kwamba, watu hawa pia (gays) wameongezeka sana na wengi hawajionyeshi , hivyo nia yangu ni kujaribu kufahamisha tu watu wajue reality ya jambo husika ili wajue kudeal nalo, sababu ukijua jambo vizuri ni rahisi pia kulikabili kuliko ukiwa hujia inakuaje.

Kuhusu fantasy, sijajua mkuu, siwezi ongelea story ama maisha ya watu wwngine ila ukweli ni kuwa, wanasiasa pia ni watu, hao wenye hela pia ni watu, na hata wasiokua na hela pia ni watu, hivyo kama jambo hili la gays linawapata watu basi jua pia wapo watu wenye hela , wanasiasa, waheshimiwa, watu wa dini na hata wasio na dini ambao ni gays na wanadate hao hao ambao hawana kitu, ni kama ukahaba, kahaba hata atembee na mtu mwenye pesa, kama anahaja ya kumtumia tu hawezi mpa maisha mazuri zaidi ya kumpa pesa ya ukahaba, ndivyo ilivyo huko pia.

Kwa upande wangu i have my own life, with everything i needed to have. hivyo sidate na mtu sababu nataka maisha mazuri hapana, nadate na mtu sababu ya hisia nilizonazo na wala sizilazimishi.

Pia tusipende sana kuongelea mambo ya gays kutembea na watu hao maarufu na faida gani wanapata, sababu vijana wenye tamaa watajiingiza kwenye hayo mambo wakiamini watafaidika kumbe sio.

Ndege wafananao huruka pamoja, gaya wanakutana zaidi mitandaoni, hivyo yes hata hao wanaasiasa whatever wako huko online dating za gays, ila hitaweza kujua hadi mkutane sababu hua ni anonymous.

I hope umeelewa japo kiasi, mimi hia ai mzuri sana kuelezea.
Nyie machoko huwa hamuishi maisha marefu. You're full of guilt in your filthy, perverted, consciences: plus you're full of deadly diseases that shorten your life spans significantly.
 
Bharka
Pole na masahibu yanayokusibu.
Ninesikitika umeamini uongo wa shetani kuwa ulizaliwa hivyo. Hii sio kweli.

Pili tumaini pekee kwa mashoga ni Yesu Mnazareti. Keshabadilisha mashoga wengi sana. Nakuhakikishia kama utaamua kumtafuta kwa bidii, atakutoa huko na hutaamini.

Nje ya hapo hakuna tumaini.
Mungu alikuumba rijali wa kiume, akitegemea siku uongoze familia. Na bado hilo linawezekana ukimtafuta Yeye kwa msaada.

Nakuombea macho yako yafunguliwe!
Ameen
 
Mkuu mboba nimeelezea japo kwa ufupi maisha ya utotoni, nimekua kama watoto wengine, nimecheza michezo yote ya kiume, na nineishi familia wanayomjua Mungu, wala hakukua na gape la kusema ndio limeniharibu.

Hakuna kitu kama kujiendekeza, natamani ningekua najiendekeza pengine ningejibadilisha, ila automatically tu navutiwa na men kuliko women. Hapo kujiendekeza kuko wapi, yani ikitokea wewe handsome uko mbele yangu na demu mkali yuko mbele yangu trust me feelings za.mwili zitakua kwako sio kwa huyo demu, tell me how can i change that.
Chochote kinawezekana ukiamua, ni mind set yako tu mkuu.
Ukiamua kukichukia unachokifanya na ikitokea umekifanya unailaumu sana nafsi yako...
Utatafuta kila mbinu kila namna ya kuacha na utajikuta umefanikiwa kuacha.
Hio nayo ni addiction.
 
"The other gender" huwa mko na audacity sana, hili jambo lipo lakini sivyo kama mnavyojaribu kulielezea, ninyi mko wengi ila wanaume ambao bado ni straight nao ni wengi sana sio kama mnavyojaribu kumanipulate, we sometimes wonder what is your agenda!

Na fantasy zenu sasa mie hoi, ohh tunalala na watu wenye hela, sijui wanasiasa sijui wenye power na blah blah ila wengi tukiangalia maisha yenu tunaishia kujiuliza mbona hayareflect mnachosema. Haya ndugu kila la heri. I'm not judging you tho...
"Agenda" is definitely a good word to define. KERO! KERO!
 
Back
Top Bottom