Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako


mashoga wasapoti ushoga + malesbian hawa wote kamata funga jiwe fatuma watoswe katikati ya kina cha bahari waliwe na papa.
 
Mumee huyooooo, [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Utakula kwanza kwanza ndo ule, au ule afu utakula?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lol,
wanachukia hizi mada lakini uzi unatembea kwa kasi ya 5g,

Wasubiri June kwenye Pride Month tufanye yetu,
Mbeeeeeeeengo Zetafongooooooooooooka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji304][emoji119]
 
Na hii ndio ajenda hasa iliyowafanya muanzishe hii mada nyie mafedhuli na waasi wakubwa.

Hakuna mtu anazaliwa akiwa shoga au msagaji. Nyinyi waovu mwisho wenu unakuja.
Kwa utakatifu gani uliokua nao wewe mzinifu, tapeli, msema uongo, msengenyaji, mshirika wa utoaji mimba, mla rushwa, fisadi wa michango ya misiba [emoji1], mtamani wake za watu (kaa mbali na mke wangu cocastic tu [emoji123]), muharibifu wa mazingira, mshirikina, mwizi, mnyanyasaji wa yatima na wajane na maskini,

Mwisho wako utakua mbaya sana, tubuuuuuuuuuu
lol
 
Inaliza.Pole sana mkuu....kila mtu na shida yake anayotaman kuiacha lakini anashindwa
 
Mleta uzi amekaa kimchongo, uzi upo kimkakati, Kitendo cha kusema alifika mshindo ni mkakati, na maswali mengi yapo hapo kwenyr shoga kufika mshindo..
Maswali ya nini sasa ulijua hawafiki mshindo?
Raha ya safari ufike mwisho safari utaishia vipi kati.
 
Swali zuri sana, mimi ni mkristo, nasali KKKT, ila pia napenda kuhudhulia ibada hata makanisa mengine sometimes kama Pentekoste na TAG, pia hua nahudhulia mikutano yote ya mwakasege, sababu napenda kusikikiza neno la Mungu, na pia sababu nimezaliwa kwenye familia ya watu wanaosali.

Nafahamu maandiko yes, na sitaki kusema nachukuliaje ila nachomuomba Mungu siku zote ni kama hii ni dhambi kuu, basi naomba anibadilishe kwa wakati wake, sababu mimi siwezi, kutokana na maandiko yes najiona mwenye dhambi, lakini siwezi acha kumuomba Mungu kwa sababu ya weakness ambayo kama binadamu siwezi kuichange, humuuliza Mungu, mbona nisipende women kama wengine, mbona hisia zangu ziwe tofauti, shida ni nini, naamini yeye anajua zaidi. Hivyo ndivyo navyoweza kusema. Gays wanasali pia, yes , hata huyo rafiki angu mmoja ambae pia ni gay, ni muslim na anasali, anafunga na anaishi kama muslim wengine japo yupo hivyo.
Wewe ni mtu maarufu? I mean celebrity?
 
Kwa utakatifu gani uliokua nao wewe mzinifu, tapeli, msema uongo, msengenyaji, mshirika wa utoaji mimba, mla rushwa, fisadi wa michango ya misiba [emoji1], mtamani wake za watu (kaa mbali na mke wangu cocastic tu [emoji123]), muharibifu wa mazingira, mshirikina, mwizi, mnyanyasaji wa yatima na wajane na maskini,

Mwisho wako utakua mbaya sana, tubuuuuuuuuuu
lol
Endeleeni na uovu. Moto wa milele unawasubiria.
 
Sijui dhamira yako ni nini ila nimeona contradiction nyingi sana kwenye uzi wako..
+Umesema hakuna mtu anayefahamu kuwa wewe ni gay, lakini mbele umeonesha mahusiano yako na watu tofauti,na wengine umeshaachana nao,unauhakika gani kama siri haijavuja?
-Mwanzoni ulisema huna mpango wa kuoa,lakini huku mwishoni umeonesha shinikizo la mama yako linaweza kukufanya uoe...
-mwanzoni umeonesha "hujawahi" kufurahia kuwa gay,lakini kadri uzi ulivyozidi kwenda,matendo yako yanaonesha mambo ni tofauti..(mfano kupenda mume wa mtu mpaka kumuonea wivu mkewe,nk)

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app

A cry for help that‘s all I see
 
Mkuu, nitafatilia hili, ila amini kwamba , huu sio ugonjwa , kwamba utameza dawa utapona, hata wanaosema wamepona nakuhakikishia in private wako vile vile, ni kumuomba mungu tu na kujaribu psychologist ,nadhani imekaa ki psychological zaidi. Shukrani mkuu , nitafatilia pia kuhusu hilo.

Hakuna kitu hapa chini ya jua hakiwezekani ukiamua.Definetly unahitaji psychologist lakini unahitaji commitment ya wewe mwenyewe kuamua kuacha.
 
I miss you Mke wangu mrembo [emoji8][emoji8]
Sipati Notifications kabisa sijui wana lengo gani hawa JF,

Uko poa lakini???
Niko poaaah mume wangu, [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Mic u saaan, [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
 
Lol,
wanachukia hizi mada lakini uzi unatembea kwa kasi ya 5g,

Wasubiri June kwenye Pride Month tufanye yetu,
Mbeeeeeeeengo Zetafongooooooooooooka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji304][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] woiiiiiiiiiiih
[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
 
Kwa utakatifu gani uliokua nao wewe mzinifu, tapeli, msema uongo, msengenyaji, mshirika wa utoaji mimba, mla rushwa, fisadi wa michango ya misiba [emoji1], mtamani wake za watu (kaa mbali na mke wangu cocastic tu [emoji123]), muharibifu wa mazingira, mshirikina, mwizi, mnyanyasaji wa yatima na wajane na maskini,

Mwisho wako utakua mbaya sana, tubuuuuuuuuuu
lol
Mume wangu, mie siwezi kukusaliti, [emoji4][emoji4][emoji4]
Wee peke yako ndo unajua kunikonga, na umeniteka mazima.
 
Nakushukuru kwa kunipa maarifa juu ya jambo hili, kweli umenisaidia. Kama ulivosema..ni Mungu pekee aweza watoto wetu wa kiume, sio sheria wala kusema vibaya mashoga. Ila ninaloweza sema kwako, hisia ulizonazo sio asili, kweli umefungwa katika hilo..Mungu alumba mwanamume na mwanamke..tu, haiwezekani mwanaume akapewa hisia za kike alafu uchukulie poa. Kama unaamini sio kazi yq mungu, anza kukataa hali hiyo, ndipo Mungu ataingilia kati. Maana sio mapenzi yakw uwe hivo..alukuumba mwanamume. Acha kumwambia mungu yeye anajua..hapana..wewe ndio unajua lililo sahihi..dai haki yako akuponye. Ukumaanisha, utqona Mkono wa Bwana ukikuokoa ktk hilo.
1 Kor 6:9 SUV

Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti

[emoji1312][emoji1312]Usimpe moyo
 
Toa ufafanuzi kwenye bisexual njia panda mimi [emoji849][emoji849][emoji849]
Mbona nimeandika hapo juu na umeiquote kabisa hapa mkuu au umechagua tu kutokusoma?!

Bisexual ni mwanaume au mwanamke ambaye anashiriki mapenzi na jinsia yake lakini pia anashiriki na jinsia ya tofauti na yeye.

Mfano mwanaume ambae ameoa mke na ana familia yake ila nje ya ndoa anatembea na mwanaume mwenzake ambaye ni choko.

Au mwanamke ambaye ameolewa,ana watoto na mume wake ila nje ya ndoa yake anajihusisha kingono na wanawake wenzake ambao ni wasagaji....

I hope umeelewa.
 
Watu kama ninyi iltakiwa mpatikane mtengwe chumba kimoja na madem mwaka mzima, na usipo badirika basi, shaba za kichwa zitakuhusu.
Vipi kuhusu wazinzi, waasherati, wezi, malaya, watembea na wake za watu, wanaofira wanawake, wasengenyaji, wauaji wafanyie nini?
 
Back
Top Bottom