allantence
JF-Expert Member
- Oct 4, 2012
- 353
- 301
Yani hapo ndio umeniacha kabisa kwenye kinomanoma hebu weka code rahisi mwenzio umande nilipishana nao kuelewa code hadi Niwe na dictionary.Umbea pambeeeeeh, si hit maker wa "kinoma noma" aliyeimbaga na ex basha wake, kumbe nayee anabokolewa khaaah, [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]
Huhuhuhuh
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona najikuta napenda umbea au ndo undengereko wenyewe umenikaa kidume mimi
Huyo anaonekana wa uswahilini sana mkuu, ndio maana akisikia Dubai matundu yote yanamuwasha. Sasa mie nitishike na Dubai kwa kipi cha ajabu maana kama nikitaka kwenda nakwenda kwa pesa yangu.Daah wanawake kwa tamaa zenu ndio maana hata mkifukuliwa mitaro mnaona kawaida tuu , aisee kwa tamaa hizi kuchomolewa mafigo ni kazi nyepesi Sana
Tamaa ndio zimewafanya hivo.Nenda zenji utawakuta
Mimi napenda hizo street terminologies. Za kibongoUnavyopenda sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi Inaitwa "blue band" chezea weyeeeeeeeh.
Sasa mkuu huo mshindo anaupatia kwenye mb*o au mk*nduni?Maswali ya nini sasa ulijua hawafiki mshindo?
Raha ya safari ufike mwisho safari utaishia vipi kati.
Na uwaachie tyuuh, kapambane na vajayina hizo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]Mimi napenda hizo street terminologies. Za kibongo
Msimu inazuka na kupoteza ndani ya jamii
Afu we mi sipendi samadi bhana wala sijawahi lila samadi abadani asilani.
Mimi mdau vajayjay naihusudu sana hii kitu na ile harufu yake ya asili huwa nakaza sana nikiivuta[emoji2][emoji3577]
How comes nivute harufu ya samadi[emoji15]
Ila daaah
Anyway mi siwahukumu gays na lesbians
Mambo yao niwaaachie wenyewe.
Dimpo loooh bata anakula bwana kampata[emoji41][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa dimpo mpya gan? Huyu dimpo bila Basha wake yule boss wa Mombasa angekuepo had Leo? Na ashukuru tyuuh alikochimba limbwata na lina kismat, kagharamia mamilion ya matibabu yake kule South, pia alivyopona sasa range rover, appartment, na life style mweeeeh, yule kayapatia bhana..
Kabisa sio fani yangu.Poleeeeeh umbea sio fan yako,. Yaan nimeweka rahis hivyo huelew. Khaaaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kafanyaje??Mwingine huyu hapa[emoji28]
Haswaaaaaah. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nikuache
1 Kor 6:9 SUVImeandikwa usihukumu.....hukumu ni kazi ya Mungu.....
Gavana Joho wamjua wee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Dimpo loooh bata anakula bwana kampata[emoji41]
We jamaa yani ulikubali zawadi ya simu kutoka kwa mchizi kabisa yani kindezi tu aisee.Kiukwel mie ni muhanga wa kusumbuliwa sana na hawa mashoga, ni wengi mnoo....
Ila kuna mmoja ana kampuni ya Tours (anapeleka wabongo nchi za nje) kwa kumuangalia ni mwanaume kabisa na tulianza mazoea kidogo kidogo mwishowe yakazidi.
Kuna wakati alisafiri kwenda USA na tulikuwa tunawasiliana mara kwa mara na wakat anarudi alininunulia simu Samsung S10+ wakati ndio zinatamba. Sasa wakati wa kuchati ikawa makopa kopa kwa sana ikabidi nimuulize babu vipi mbona sikuelewi pigo zako mwanangu. Ndio akaniambia ukweli kuwa ananipenda sana na yupo tayar kunifanyia chochote.....
Kiukwel nilichoka sana, sasa ndio akawa analazimisha nionane nae ila nikawa namgomea, kuna siku akawa anaandaa tour ya Dubai akaanza kunishawishi kuwa nimkubalie atanilipia kila kitu ili nikamgongee huko Dubai ila nikamkatalia, na ushahidi wa screenshot ninao ila nahofia kuweka humu maana nahisi jamaa na yeye atakuwepo JF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Poleeeeh, nenda YouTube katafute wimbo wa kinoma noma utamjua.Kabisa sio fani yangu.
Hahahahahah kumbe Sasa hapo nimeelewa , Kwa hiyo bwana dimpo anammind mwenzake kumchukulia bwana hapo kati, je yule mbwatukaji wa mtoni ye hayupo kwenye kilinge Cha kina kinomanoma na dimpozi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Poleeeeh, nenda YouTube katafute wimbo wa kinoma noma utamjua.
Duuuh sa ukiwa star si madem kibao wanakupapalikia, hata uwe kimoko chali bado utapendwa kwa ustaa. Huwapi pesa wanakuja unawpiga rungu tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kadate san na Noel, alipojua domokaya why asimpige beat, but Noel kafa kaoza kwa kiba. Hata kiwizi wizi wanachachuka. Uwiiiiiih