Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Kama mfumo wa ubongo wa gay unafanana na wa mwanamke mbona wanawake hatuna hisia za juingiliwa kinyume na maumbile wakati gays wote wanaingiliwa huko na wana enjoy?
Are u sure kuwa wanawake wote hawana hisia za kuingiliwa kinyume na maumbile?
 
Samahani ,hongera na pole kwa kuwa hivo maana unakiri kuwa wewe mwenyewe hupendezwi na Hali hiyo naomba nikuulie maswali mawili madogo ya nyongeza je na nyie gays mkiwa mnaingiliwa na wanaume mnafikia mshindo au kileleni nakama mnafikia kilele ni kupitia wapi uume kumwaga shahawa au jicho Kama ni jicho hutoa Nini ukifika kileleni ??

Swali la pili je mkiwa mnaingiliwa nyuma huwa uume unakuwa ktk Hali gani unalala mda wote wa tendo au unasimama mwanzo mwisho??? Hizi story za KUWA uume ukisimama kuna watu wengine wanaowaingilia wanauvunja na mikono yao ukivunjwa unavujika kweli na ukivunjika madhara niyapi?? tufafanulie
 
Mtu makini atachukulia hili suala kwa mrengo wa kujifunza na kuchukua hatua kwa ajili ya watoto wetu wa kiume kuzuia wasiingie katika hii shida. Sasa hivi tunaliona dogo but next 50 years huenda likawa mara nne ya hali ilivyo sasa. Tuchukue hatua
 
The biggest lie niliyowahi kuisoma ni hii hapa mkuu mbona unapotosha watu? Tukianza na hapa
Nanukuu

"kwasababu recently research zinaonesha kuwa gender sio black and white rather gender ni kama spectrum..."

[emoji1489][emoji1489][emoji1489] sorry to dissapoint you lakini hakuna scientific research yoyote ile imewahi kuja na habari kama hizo kama zipo weka hapa tupitie am eager to see them halafu black and white ni races sijajua kama unajua tofauti ya gender na race.

Kingine umeongelea ishu ya chromose Z sijui kama unajua hiyo ni just distinguishing letter inayotumika kutofautisha chromosomes za jamii ya ndege kutoka zile za wanyama kama binadamu ,ng'ombe n.k ambazo ni X,Y kikawaida inatumia Z na W kama unataka full info naweza kukuwekea full documentations and sites ukajisomee.

And finally umeongelea ishu ya ubongo wa gay kuwa tofauti na wa straight sijui umetolea wapi habari zako hizi ila hakuna recent research
Imewahi kuongelea hayo na kingine umesahau kwenye gays kuna femme gays (au bottoms) na kuna top gays sasa sijui ndi tusema hawa tops wana ubongo wa kiume squire au vipi???

Finally
Kuwa gay ni maamuzi ya mtu aliyoyachukua kwa sababu ya matamanio yake zaidi na haihusiki na genes au lolite like ,leo hii akifa gay bottom au top likapatikana fuvu lake na genes zikapimwa itaonekana ni wanaume wote bila kuonesha kwamba huyu ni gay .
 
Kuna tofauti ya ubongo wa gay na wa straight,,,madaktari wa ubongo wanajua hilo (Neuroscientists) Kwahyo ushoga sio tabia ya nje ni kitu cha ndani kabisa....na wanazaliwa hivyo
Nonsense hakuna ubongo wa shoga au wa straight unapozaliwa unazaliwa kama male au female toa genetic disoders kama klinifeters syndrome na tuners syndrome ambapo mtu anakuwa XXY na XO wengine woote ni male au female there is no gay gene au gay brain .

Hii ni jinsi nyie mmeamua kutumia muamvuli wa science kujificha na wakati science yenyewe inakataa.

And finally yes! I know that wewe ni bottom.
 
Kuna tofauti ya ubongo wa gay na wa straight,,,madaktari wa ubongo wanajua hilo (Neuroscientists) Kwahyo ushoga sio tabia ya nje ni kitu cha ndani kabisa....na wanazaliwa hivyo
Ushoga ni pale unapogeuza fantasy kuwa fetish.
 
Nipe Mimi huyu demu wako, Nikufichie Aibu ya kushindwa mbebesha Mimba
 
aiseeee kupitia bandiko hili nimegundua tatizo hili ni kubwa sana kuliko nilivyokuwa nadhani, 2012 nilipendwa na kijana mmoja alikuwa anaitwa Salum pale UDSM sikujua kuwa ni shoga mpaka pisi yangu moja iliponiambia ukweli kuhusu yeye (huyo rafiki yangu) nikachunguza nikagundua ni kweli ikaabidi nimuulize kwanini anafanya hivyo akaniambia imetokea tu amekuwa hivyo na alikuwa kwenye mpango wa kuniambia ukweli jinsi anavyonipenda yaani niwe boyfriend wake from that moment urafiki ulikufa mpaka leo siipendi kuwa na rafiki bila kumchunguza kwa kina kwanza hiyo imenifanya kuwa na marafiki wachache sana hata kumi hawafiki sio wa kiume sio wa kike maana ile roho chafu ikikuvaa nawe unakuwa familia yao kama hufanywi basi utakuwa unawafanya wenzio kitu ambacho ni chukizo duniani na mbinguni. Dunia ipo mahali pabaya Mungu atusamehe na kutuongoza vyema aiseeeeeee
 
"...Mfano kuhusu mimi, nimetokea familia yenye uchumi mzuri, nimesoma..."

Hapa ndo tatizo lilipoanzia. Sijawahi ona mmatumbi wa huko kanyaga twende akiwa na haya mambo.

Chunguza utakuja kugundua kuwa hio quote apo juu ndo tatizo lilipo!
 
Ushauri mzuri, mtoa mada afate huu ushauri aache ujinga.
 
Ushauri mzuri, mtoa mada afate huu ushauri aache ujinga.
Mnyakyusa wa Ipinda, sidhani kama huo ni ushauri mzuri sana, mtu anapohusisha kitu chochote na mapepo au maombi, anakuwa ametutoa kwenye uhalisia, maana hivyo ni vitu vya kusadikika tu.

Ushauri ujikite kwenye vitu vya msingi, na wala siyo mambo ya imani.
 
Is true Mkuu unachosema, but si vibaya mtoa mada akajaribu njia tofauti tofauti huenda akapata kupona hiyo hali, though inafikilisha.
 
Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…