[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Dina mbna wanaume wako wengi tyuuh. Si ndo hawa wanaokemea na kupinga hili suala, km hapa jukwaan.Sasa haina budi kuwakubali maana ni wengi mno ndio maana hatupati waume jamani
Fanya hvyo aise nilitaka na mm nimshauti amuone mchungji wetu kkkt kimara pale bwan mastai ahataacha hyo tabia kwa kulipia fidia kwa damu ya yesu ..inasikitisha snanKwakuwa umesema ni mkristo basi mimi nikukumbushe kuwa hauwi mkristo kwasababu ulizaliwa familia ya kikristo wala kwasababu unaenda kanisani au unahudhuria mikutano.
Nimependa kwamba unaukubali udhaifu ambayo ni hatua ya mwanzo ya kupona.
Sasa basi ili uwe mkristo inakupasa umpokee Bwana Yesu Kristo moyoni mwako kwa kutubu dhambi zako. Ila hili jambo kwa aina ya maisha unayoishi unahitajika msaada wa kiroho kutoka kwa mtumishi wa Mungu.
Ningependa nikuunganishe na mchungaji mmoja ambaye hafahamiki sana hapa dar ingawa ndiye hasa mlezi wa kiroho wa wachingaji wengi sana wakubwa unaowasikia hapa Tanzania.
Amini jambo moja. Mimi kabla ya kuokoka nilikuwa na mambo mengi sana yasiyompendeza Mungu na sikujua nitayaachaje. Lakini nilipotoa maisha yangu kwa Yesu alinibadilisha na kuua ile kiu ya vile vitu viovu.
Kama utapenda msaada wa kuongea na huyu mchungaji niambie nikupatie namba yake uwasiliane naye straight. Ni mtumishi mmoja mnyenyekevu sana sana na amekuwa msaada kwa watumishi wengi wa Mungu hasa wanapokuwa kwenye changamoto au wanapoanguka dhambini. Nikuhakikishie itakuwa siri kati ya wewe na yeye.
Pole sana na Mungu akurehemu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] nyie mie ntakufa kwa kuchekaa khaaah.Kwa Nini itokee tu kwa binadamu hata mfano kwa ng'ombe sijawahi ona hiyo Hali.
Pole kwanza ndugu kwa Hali iyo.hii ishu sio kuwa homone imbalance. Huwezi pewa prostrogane za kutosha zikazidi estrogen ikaondoa hiyo shida uliyosema kuwa mtt akiwa mdogo anapenda Mambo ya jinsia tofauti na ya kwake.
Unamkuta kavaa sidiria hata ya make na huku ni me.
Ila mie nakumbuka tuko wadogo Sana mie nilikuwa nafaki sidira ya maza halafu mdogo wangu wa bamdogo yeye ni kyupi ya mazayake.
Ahsante kwa unapojibu
Mm Nina mashaka na wew Kuna siku nimekatiza Uzi mmoja nikakuta unasapoti biashara hi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] dada una nn leo?Huo ni ubinafsi, unajuaje mtoto wako atapenda kuwa na mzazi ambaye ni gay, au una mpango wa kuendelea kufake maisha yako yote?
Wanaouchukia ushoga ndio wanaupenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Dina mbna wanaume wako wengi tyuuh. Si ndo hawa wanaokemea na kupinga hili suala, km hapa jukwaan.
Duh hahaha hilo la mkuu mstaafu sijajua mkuu, changamoto nayokutana nayo personally ni kuishi fake life tu la ustraight , ni kazi sana, muda wote lazima niwe makini, fikilia uko na frieds ambao wote ni straight na wanaweza kuja ghetto wakabaki vifua wazi, unajua boys tena mkiqa wenyewe mnabaki na bukta tu vifua wazi ndani, ni changamoto. Kuhusu wengine sijajua wanakutana na nini.
Mkuu nyoosha maelezo,sijahatibikiwa nikiwa 14 yrs, ila nilipofikisha 14 yrs ndio nilifanya physical sex kwa mala ya kwanza,
Hapa naomba nishauri wazazi, tafadhari sana , watoto wakifika umli wa kubarehe muwe makini sana , usipochukua tahadhari basi unaweza kuta watoto wamefanya mwmbo ya ajabu ambayo yatawa affect kiasi, sababu hapa mtoto anakua anaendeshwa na balehe zaidi kuliko uhalisia. Mala ya kwanza kusex ni sababu nililala room moja na rafiki angu wa utotoni, sijui ilikuaje ila tukajikuta tu imetokea, nakumbuka ilikua ndio mala yetu ya kwanza kupata mshindo (kama sio sahihi kiswahili jirekebishe)
NimekupataDuh hahaha hilo la mkuu mstaafu sijajua mkuu, changamoto nayokutana nayo personally ni kuishi fake life tu la ustraight , ni kazi sana, muda wote lazima niwe makini, fikilia uko na frieds ambao wote ni straight na wanaweza kuja ghetto wakabaki vifua wazi, unajua boys tena mkiqa wenyewe mnabaki na bukta tu vifua wazi ndani, ni changamoto. Kuhusu wengine sijajua wanakutana na nini.
Yaani alikupasua matako au mlifanya zamu kwa zamu?Hakuna mkubwa, alikua rafiki angu, nilimzidi miezi kadhaa ila nae alikua 14yrs. Ila hajawahi kua gay hata baada ya hapo, ni straight, hakuchukulia serious sana alichukulia kama jokes na aliogopa sana imekuaje, ila nilichukulia serious.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwan sasa Dina?Elezea basi nawe huna hisia na wanaume etii [emoji23]
Ingekua vizuri kama unge pita tu mkuu wangi, sijaandika hapa ili kuonesha ujinga au upuuzi kwa mtu yoyote, ila kwa ajili ya wenye nia ya kujua zaidi ili waponye familia zao. Shukrani anyway.Hakuna anayehitaji kuona upumbavu na uendawazimu wako hapa! Huu ujinga wako mpelekee huyo anayekuminya kila usiku!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] je km huyu alitoa hii mada, ni ID angu nyingne?Mm Nina mashaka na wew Kuna siku nimekatiza Uzi mmoja nikakuta unasapoti biashara hi
HV mkuu unakafanikiwa lbda kutembea na mwanasiasa mfno mwigulu au bashe au heche au zito labda sas mfno na wew ukawaomba uwachakate je watakubali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila leo comments zinavunja mbavu mnooo.Wanaouchukia ushoga ndio wanaupenda
Nimeenda kwa psychologist kama wannw hadi sasa, kweli baada ya hizo session unaona unaweza kujaribu, lakini baada ya muda hisia zinazidi mwili na akili, well it shall be well one day i hope.Lakini unaweza toka huko kama ukiamua na kuitrain mind.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]Duh hahaha hilo la mkuu mstaafu sijajua mkuu, changamoto nayokutana nayo personally ni kuishi fake life tu la ustraight , ni kazi sana, muda wote lazima niwe makini, fikilia uko na frieds ambao wote ni straight na wanaweza kuja ghetto wakabaki vifua wazi, unajua boys tena mkiqa wenyewe mnabaki na bukta tu vifua wazi ndani, ni changamoto. Kuhusu wengine sijajua wanakutana na nini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]Mkuu nyoosha maelezo,
Mara ya Kwanza kukalia dudu,
Ilikuwaje?
Hapo sijaelewa vzr
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app