Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Tatizo wabongo tumejawa unafiki sana huwa hatupendi ukweli. Na tukiambizana ukweli tunachukia tunajidai hivyo vitu havipo wakat vipo na tunaviona kila siku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naishia kutazama tyuuuh.
 
Daaa pole sana mkuu, afu nimekuhurumia sana aisee daaaaah. Nlitamani san kula jichi dem wangu akanitunuku mwezi uliopita hii kitu ipo overated wala sio tam sana kama watu wanavyoisifia. Na yeye ndo ilikuwa mara ya kwanza akasema nlitaman pia kujaribu
Doh
 
Ugumu unatoka wapi kuacha kama haupendi?
Atakuwa moyoni anaipenda hii dhambi. Kitu ambacho hukitaki utakitoa kwa magumi na mateke. Ila kila nikisoma justification anazozifanya ni kuwa ameamua kuwa hivi

Milo Yianapolous alikuwa shoga na bado alipofikia kuuchukia ushoga alitafuta msaada akaacha. Kuna wengi tu wameacha na wanajaribu kusaidia wanaotaka kuacha waache.

Ila msaada wa Mungu huja pale tunapotubu (tunapogeuka na kuamua moyoni kuziacha dhambi zetu). Kama bado tunazipenda hizi dhambi Mungu hutuscha tuzame nazo.

Siku mtoa mada akiamua kuchukia ushoga wake toka moyoni ndio itakuwa mwanzo wa uponyaji wake. Kwa sasa aendelee tu, na hajui lini maisha yake yatafika mwisho ili akaeleze ni kwa namna gani Mungu alimuumba shoga. Maana hii itakuwa face to face, haina kukwepa maswali kama JF

Hizi ni baadhi ya shuhuda za waliotoka huko ambazo zinaua kabisa ngano, hadithi na visasili vya kuwa nilizaliwa hivyo au siwezi kubadilika. Wengine wameoa kabisa!

 
Inaumiza sana, naumizwa sana na kuona mwanaume n guy. Nashukuru kwa Elimu dhidi ya watoto wangu.
Wazazi tuzidi kuomba MUNGU Hali n mbaya sasa.
 
Sijaona sehemu kuonyesha umetumia jitihada gani kujitoa kwenye hali hiyo, kwa maana unaifurahia japo unatumia mwamvuli wa kulaumu hisia zako.

Lakini pia, naona unapigania sana NGOs. Hizi NGOs ndio zitaharibu watoto watakua wakiamini kwamba ushoga ni sehemu ya maisha na wao wanaweza kuchagua kua mashoga.

Kama hizo NGOs kazi yake ni kuwafundisha kufanya ngono salama badala ya kuwafundisha kujikwamua kutoka kwenye ushoga, hatuzihitaji kwakweli.
Mkuu wala aipiganii NGOs, ila kwa uelewa wangu ni za.muhimu sana. Watu mnachanganya tu kazi za hizo NGOs,

Hizo NGOs hazipo kwa ajili ya kuwafundisha ngono salama tu, bali pia kwa ajili ya kuwasaidia wale waliojiingiza kwa kutaka kujaribu tu na baadae wakawa addicted, hizo NGOs zinawasaidia wale wenye msongo wa mawazo warudi katika hali ya kawaida, and then yes kuwafundindisha jinsi ya kulinda afya zao na za wengine. Hilo ndilo la muhimu.

"Huwezi kumaliza tatizo la wauza madawa ya kulevya ila unaweza kupunguza waathirika wa madawa hayo kwa kuwaelimisha, wao wakielimika ndio watakaowapunguza wauzaji pia kwa kutonunua bidhaa zao"
 
Inaumiza sana, naumizwa sana na kuona mwanaume n guy. Nashukuru kwa Elimu dhidi ya watoto wangu.
Wazazi tuzidi kuomba MUNGU Hali n mbaya sasa.
Pambana wanao wamjue na kumpenda Mungu, personally bila force. Hapo ndipo ilipo pona yao. Else ni gambling. Maana pressure ya ulimwengu ni kubwa sana, kwenye Tv nyumbani, mtaani, shuleni na kila mahali.

Pia jitahidi kujenga nao urafiki na kujua changamoto zao. Dunia imeoza hii!
 
Sijaona sehemu kuonyesha umetumia jitihada gani kujitoa kwenye hali hiyo, kwa maana unaifurahia japo unatumia mwamvuli wa kulaumu hisia zako.

Lakini pia, naona unapigania sana NGOs. Hizi NGOs ndio zitaharibu watoto watakua wakiamini kwamba ushoga ni sehemu ya maisha na wao wanaweza kuchagua kua mashoga.

Kama hizo NGOs kazi yake ni kuwafundisha kufanya ngono salama badala ya kuwafundisha kujikwamua kutoka kwenye ushoga, hatuzihitaji kwakweli.
Mwanzoni niliposoma niliona kama ni mtu anahitaji msaada ila kadri uzi unavyotembea nimegundua same thing, anafutahia hayo maish na possibly ana NGO ya hizi mambo. Na huu uzi inawezekana ikawa sehemu ya psychological warfare ili kuwa condition Wabongo ku normalize ushoga ikiwa ni stage I

Mtu ambaye hakusaidii kuacha tabia ambayo ni fatal, hafai kuwepo!
 
Shoga ina maana zote mbili, anaingia na anayeingiliwa.
Umesoma vizuri comment yangu? Au umekurupuka tyuuh? Kwani nani hajui maana ya ushoga/shoga? Sasa nikuambie naujua ushoga kuliko hata huyu mtoa mada. Na nikupe taarifa sasa huyu mtoa mada sio shoga (gay), ila ni bisexual ambaye anaplay nafas 1 iliyo ndani ya ushoga/gaysim ambayo ni BOTTOM.

Huyu mtoa mada hajaongelea ukweli wala uhakika kuhusu lengo lake alonuwia kulileta hapa, ila hapa katoa historia ya maisha yake juu ya mlengo wa hisia zake. Ningeweza kujadiliana nae ktk huu uzi, ila nilipofikia pale aliposema kuwa anajichukia na anachukia hali hiyo, huku pia hawezi kujinasua wala kujitoa ktk circle hiyo, ndio nikaona kabisa sina cha kuzungumza nae,

Niko nae pamoja ktk suala la kuzuia au kupunguza ongezeko la mashoga, japo pia hajaweka vitengo muhimu au mahususi.

Ushoga ni suala pana sana, linalohitaji akili, ufahamu, na uelewa ktk kupambana nalo.
 
Kuna tofauti ya ubongo wa gay na wa straight,,,madaktari wa ubongo wanajua hilo (Neuroscientists) Kwahyo ushoga sio tabia ya nje ni kitu cha ndani kabisa....na wanazaliwa hivyo
 
Nimepata point za msingi sana.
Jambo moja tu hujaeleza hapa ambalo sina jibu lake.
Unaweza kusex na demu kawaida?
Maana huwa tunasikia hamuwezi kufanya hivyo
Gay anaerect pia, na anaweza kusex na demu pengine vizuri kuliko hata straight men, shida ni feelings hakuna, au kazi kuzipata , sometimes hadi utumie pills.
 
Bora tu ufake familia zetu kuelewesha kazi mno haya mambo maana ni kinyume ,
Unaambiwa uende kwa wachungaji hao hao wachungaji balaaa,kashfa za kanisa la Roma kule Italy ndio usiseme
Dah! .
 
Kuna tofauti ya ubongo wa gay na wa straight,,,madaktari wa ubongo wanajua hilo (Neuroscientists) Kwahyo ushoga sio tabia ya nje ni kitu cha ndani kabisa....na wanazaliwa hivyo
Hebu dadavua hapa kwani, watu wapate kuelewa.
 
Nyie machoko huwa hamuishi maisha marefu. You're full of guilt in your filthy, perverted, consciences: plus you're full of deadly diseases that shorten your life spans significantly.
Duh , mkuu uelewa wako bado mdogo kiasi, mbona wanaishi maisha marefu tu, hadi kuzeeka pia , labda unaongelea hao unaowajua around you. Shida wengine mpaka wanakufa hutakuja kuwahi kujua kama ni gays. Cha msingi kuombeana uzima.
 
Umesoma vizuri comment angu? Au umekurupuka tyuuh? Kwani nani hajui maana ya ushoga/shoga? Sasa nikuambie naujua ushoga kuliko hata huyu mtoa mada. Na nikupe in4 sasa huyu mtoa mada sio shoga (gay), ila ni bisexual ambaye anaplay nafas 1 iliyo ndani ya ushoga/gaysim ambayo n BOTTOM.

Huyu mtoa mada hajaongelea ukweli wala uhakika kuhusu lengo lake alonuwia kulileta hapa, ila hapa katoa historia ya maisha yake juu ya mlengo wa hisia zake. Ningeweza kujadiliana nae ktk huu uzi, ila nilipofikia pale aliposema kuwa anajichukia na anachukia hali hiyo, huku pia hawezi kujinasua wala kujitoa ktk circle hiyo, ndo nkaona kabisa sina cha kuzungumza nae,

Niko nae pamoja ktk suala la kuzuia au kupunguza ongezeko la mashoga, japo pia hajaweka vitengo muhimu au mahususi.

Ushoga n suala pana sana, linalohitaji akili,ufahamu,na uelewa ktk kupambana nalo.
Tupambanaje na ushoga?
Je kupambana na mashoga kunasaidia mapambano dhidi ya ushoga?
 
Back
Top Bottom