Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Madanga hamna jaman, na ndoa hazifungwi, ko u Mc hapati,. Au bahati iko kwa Gara B. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ngoja aopoe danga jiji lote lake hili., [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani simsikii[emoji23][emoji23][emoji23]

Baba mipasho
 
Swali zuri mkuu, ni vigumu kwa sababu hisia ziko hivyo, ni kama wewe ulivyo straight , yani automatically tu ukifkilia kuhusu sex , basi unafikilia kuhus kusex na mwanamke, itakua vigumi sana kufikilia kusex na same gender sababu wewe ni straight, yani ndivyo ulivyo, ukiona msichana anaekuvutia hata asiekuvutia utamtamani kimapenzi, lakini hiyo hali haiwezi kutokea pale ukiwa na mwanaume mwenzako, basi iko the same pia. Niambie, unaweza badilisha hicho kitu ukaacha kupenda wasichana upende same gendee kwa kutumia akili yako? yani uanze badala ya kuerect ukiona demu, eti uerect ukiona samw gender? yani uuswitch mwili ufunction opposite. Ndivyo ilivyo pia kwangu, hata nikijaribu vipi najikuta tu sina hisia na mwanamke, naweza kupretend tu, hilo naweza, nikiwa na washkaji hata demu akipita naweza peretend nimemtamani.
Kataa hiyo hali utaweza mimi ndo shakuombea hivyo
 
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] vinakera sasa hata usafi havijui woiiiiih.
Watafanya usafi muda gani,kila siku kigulu na njia kwenye vigoma[emoji23][emoji23][emoji23]
 
To be honest nilikuwaga against zamani za ujinga.
Lakini niligundua kuwa huwezi kupigana wala kupingana ukweli.
A itabaki kuwa A
Z vilevile.
Pili uhuru wa mtu uheshimiwe
Ahsanteeeeeeeeh, [emoji6][emoji6][emoji6]
 
R.I.P Nyoro ( Marinda )
Walioumbwa kwa mfano wa mungu ni mwanamke na mwanaume waliokamilika then akawabariki ...kinyume na Hapo Ni laana👀
 
Watafanya usafi muda gani,kila siku kigulu na njia kwenye vigoma[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3] ndo maan walikamatwa baadhi walipigwa wee,
Nilichoka make ups zao, walitokelezea km majini vilee. Mbavu zangu mie woiiiiih.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Sasa aristote wa kuuliza? Anaemuacha mkewe ndani na kwenda uarabun kukunjwa 7, hahahah kuoa n geresha ili watu wamuone lijari, akati uwoya ni kipitio tyuuh,

Nililtaman battle lake na Dr kumbuka, si yule kibopa kawala wote, uwiiiih dunia tamuuuh. Hiii
Mbona najikuta napenda umbea au ndo undengereko wenyewe umenikaa kidume mimi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3] ndo maan walikamatwa baadhi walipigwa wee,
Nilichoka make ups zao, walitokelezea km majini vilee. Mbavu zangu mie woiiiiih.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na kichwani wamepiga visaani loooh,usoni mweupe mikono&miguu mweusiiii halafu wanajivisha vipensi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na kichwani wamepiga visaani loooh,usoni mweupe mikono&miguu mweusiiii halafu wanajivisha vipensi
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] kumbe uliona ile video? Uwiiiiiih.
 
Back
Top Bottom