Hakuna Wanyama wanaofanya kama mnavyofanya ninyi Mashoga.
Yaani mmezidiwa ustaarabu hata na
Wanyama ambao hawana Busara lakini wameweza kutambua mema na mabaya kuliko ninyi.
Mema na mabaya yanatokana na uamuzi wa Jamii husika. Na sio lazima yawe ni Amri za Mungu, jamii zilizo staarabika zimejitungia kanuni na taratibu zinazo waongoza ktk namna ya kuishi
Kwakuwa mmechaguana watu wenye mihemuko sawa na kuamua kuishi pamoja sio kama Mume na Mke bali kama Marafiki na kuamua kuchezeana sehemu za siri, fanyeni hivyo kwa siri kama wanaovuta madawa ya kulevya.
Mkithubutu kuchezeana hadharani mtaadhibiwa.
Hapo ni kwamba mnachezeana tu sehemu za siri na kwingineko. Hakuna ndoa hapo, ndoa inatokana na fasili ya jamii husika.
Tanzania fasili ya ndoa inashirikisha watu wa jinsia mbili tofauti. Mwanamke na Mwanamme.
Kuhusu kuchezeana hadharani.
Mlivyo na akili ndogo, mkiruhusiwa tu kutambulika na jamii. Basi hapo mnaanza kuchezeana hadharani kwa fujo, Club za Mashoga zinaota kama Uyoga, sherehe za Mashoga kila upande ni full fujo.
Ushahidi upo, Nchi zote zilizoruhusu ushoga, Mashoga full time ni kukumbatiana na kubusiana hadharani.
Kuhusu kuzaa. Mashoga hawana uwezo wa Kuzaa wao kwa wao. Kama wewe Mwanamke huna uwezo wa kumzalisha Mwanamke unayejifanya umeoa.
Halafu bila soni unakuja hapa kuandika umeoa na umezaa na huyo rafiki yako wa Kike. Mke na Mke mnazaa vipi ?
Mtu akitoa kauli kama hiyo anaonekana wazi kuwa ni MWENDAWAZIMU.
Ila mkae mkitambua kuwa, hadi sasa hivi Ushoga umekataliwa ndani ya Jamii yetu.
Hivyo ni tendo haramu.