Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Yote uliyosema ni kweli yatatokea..

Ila nirudi kwako, binafsi hujawahi kutamani kuacha hii tabia ya ushoga? Umeshawahi kupata msaada wowote ili uachane na hii tabia mbaya na ovu machoni pa watu na Mungu pia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hisia huwa zinaachwa? Labda km umeumizwa na partner wako, pia hutaacha ila utapumzika kwa muda.

Msaada wa kuachisha hisia za mtu ndo ukoje huo? Yaan hisia za mtu eti ni ovu kwa watu, sasa watu wa nje ndo waliobeba hisia zake? Na ovu kwa Mungu, je km muhusika sio mfuasi wa Huyo Mungu, na haamini km yupooo?

Unajua unachokizungumza lakini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hisia huwa zinaachwa? Labda km umeumizwa na partner wako, pia hutaacha ila utapumzika kwa muda.

Msaada wa kuachisha hisia za mtu ndo ukoje huo? Yaan hisia za mtu eti ni ovu kwa watu, sasa watu wa nje ndo waliobeba hisia zake? Na ovu kwa Mungu, je km muhusika sio mfuasi wa Huyo Mungu, na haamini km yupooo?

Unajua unachokizungumza lakini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada wa kuacha huo ushoga ndo nauzungumzia hapa..kama ww unavojinadi kuwa unaweza kumsaidia mtu mwenye hizo hisia ndo na mm nakuuliza na ww umeshapata huo msaada wa kuacha ushoga?

Jambo la mwisho nakushauri kwa imani yako umrudie muumba wako na utubu dhambi hii, acha kufanya moyo wako kuwa mgumu(kusema kwamba humuamini huyo Mungu)

Najua ni ngumu lkn kwa Mungu hakuna jambo linaloshindikana..tafuta msaada wa kiroho zaidi
 
Ndyoooooooooooooooo!!!

Km mnavo support watu kutembea na wake za watu, watu kutoka nje ya ndoa zao, na hili la watu waliomua kutumia vinyeo vyao km sex way m support vile vile.

Sent using Jamii Forums mobile app
nani kasupport kutembea na wake za watu?? hakuna dhambi inayopewa supportt ila NYIE MASHOGA ndo mnataka tuhalalishe ufiraini iwe kitu cha kawaidaa hapana hakuna haki za kufukuana mitaro wanawake waliumbwa wa nini??? kenge maji
 
Kuacha ushoga ni suala la maamuzi yake yeye mwenyewe Wala si vinginevyo.

Anajua sana kwamba anachokifanya si sawa na ndio sababu ameamua kuandika hapa. Nafsi inamsuta na anaugulia moyoni kwa kuona aibu kwa mwanaume kutoa mkunddu wake afilwe ni kitendo Cha aibu sana ndio sababu mashoga walio wengi huwa inafika wakati wanajutia sana hiyo tabia yao chafu.

Kujiendekeza tu hakuna hata la maana na hata akiamua kufilwa hadharani Wala hakuna atakayemsapoti zaidi ya kuonekana kituko mbele ya jamii. Halafu kinachomuumiza zaidi hadi anatafuta ushauri ni ukweli kwamba Mungu hapendi na Shetani hataki huo ufilwaji wake.

Ni tabia mbaya halafu chafu lakini haifai. Hakuna wakati jamii itakubali hiyo hali. Chukulia mfano wewe uzae watoto wako wa kiume halafu waje kuwa mashoga ,nafsi yako itasononeka sana kwakuwa hiyo sio sawa na watakuwa wamekukosea heshima sana sio wewe tu kama mzazi wao lakini ndugu na jamaa hata jamii kwa ujumla.

Ushoga sio kitu Cha fahari, haifai kujivunia ni uchafu usio mfano na mashoga wanalijua hilo ndio sababu wengi wao hawajiweki wazi kwa kuwa wanajua sana kuwa hilo sio jambo la maana kwao wao wenyewe na kwa wengine.

Ni suala la kuamua kuacha tu Wala si vinginevyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio wote wanajifichaaa, wako wengine wanajionesha wazi na wako prouds, wala hawajuti, usiwasemee couz wee sio wao wala hauko ktk nafsi zao.

Yaan mtu awe shoga, iwe kwa maamuzi yake au matatizo ya kimwili eti aibu kwa wazazi, ndugu, na jamii, yaan mtu ashindwe kufanya anachojiskia na kinampa amani kisa watu wa nje? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ts funny,. Ndo maan wabongo wengi uwezo wao wa kufikiri uko nje ya box, khaaaah.

Afu kwann kwenye ushoga lazima mumtaje Mungu na Shetani, je km muhusika hayupo ktk ufuasi na haamini ktk hao je??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaada wa kuacha huo ushoga ndo nauzungumzia hapa..kama ww unavojinadi kuwa unaweza kumsaidia mtu mwenye hizo hisia ndo na mm nakuuliza na ww umeshapata huo msaada wa kuacha ushoga?

Jambo la mwisho nakushauri kwa imani yako umrudie muumba wako na utubu dhambi hii, acha kufanya moyo wako kuwa mgumu(kusema kwamba humuamini huyo Mungu)

Najua ni ngumu lkn kwa Mungu hakuna jambo linaloshindikana..tafuta msaada wa kiroho zaidi
Huna hojaaa, kaa kimyaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina mdogo wangu wa kiume ,Ana miaka 8, Ana tabia za kike, anachezea midoli ya kike , anaongea kwa kupandisha macho na kushusha, ananyanyua vidole vitatu juu akiwa anaongea , anapenda kujiangalia kwenye kioo kwa mda mrefu huku akichezesha midomo yake, anatembea huku Ana cat walk , akishika simu anaingia Snapchat kujirecord video zinazomremba sura. Mungu amsaidie arudi kuwa sawa.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Anawaiga Dada zake,
Mtoeni akacheze cha ndimu na vidume wenzie, atakua sawa tu.
 
nani kasupport kutembea na wake za watu?? hakuna dhambi inayopewa supportt ila NYIE MASHOGA ndo mnataka tuhalalishe ufiraini iwe kitu cha kawaidaa hapana hakuna haki za kufukuana mitaro wanawake waliumbwa wa nini??? kenge maji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa km mtu km hana hisia na wanawake hao?

Sasa ndo watu wanafukuana mitarooo kwa kwenda mbeleee na hakuna kitu mtafanyaa, na uzuri wake ukweli mnaujuaaa,. Km mpo serious onesheni kwa vitendo huo mgomo na pingamizi juu ya ushoga

Mnaishia kupovukwa na kulia mitandaoni, huko mtaani na uraiani mnapishana nao kila time na mnasalimiana nao, mbna hamuoneshi kuto wakubaliiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Soon mtafurahishwaaaaa na mtatafuta Pa kujifichaaaaaa. Weraaaaaaaaaaah


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina mdogo wangu wa kiume ,Ana miaka 8, Ana tabia za kike, anachezea midoli ya kike , anaongea kwa kupandisha macho na kushusha, ananyanyua vidole vitatu juu akiwa anaongea , anapenda kujiangalia kwenye kioo kwa mda mrefu huku akichezesha midomo yake, anatembea huku Ana cat walk , akishika simu anaingia Snapchat kujirecord video zinazomremba sura. Mungu amsaidie arudi kuwa sawa.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Subhana llaah

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ndyoooooooooooooooo!!!

Km mnavo support watu kutembea na wake za watu, watu kutoka nje ya ndoa zao, na hili la watu waliomua kutumia vinyeo vyao km sex way m support vile vile.

Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka fulani iliyopita nilikuwa na mwanamke mmoja wa kizungu asubuhi tumelala tunasikiliza BBC Swahili, redioni wakatangaza kuwa Mugabe amelihakikishia Bunge la nchi yake (wakati huo akiwa Raisi wa Zimbabwe) kuwa wakipitisha muswada wa mwanaume atakayegundulika ni shoga pale Zimbabwe anyongwe hadi kufa yeye Mugabe atasaini haraka sana.

Mimi nikasapoti ile taarifa , yule mwanamke niliyekuwa naye akaibua mjadala mkali sana pale kwa kukataa kwamba mashoga wasisumbuliwe waachwe tu ni haki yao.

Uliibuka ugomvi Mkubwa sitasahau. Kila mmoja alishikilia msimamo wake. Yeye anawatetea Mimi napingana nao. Urafiki uliishia pale pale nikaondoka nikamwacha pale pale.

Baadaye alifanya kila namna tuyaache Yale yaishe nilikubali lakini urafiki baina yangu na yeye uliharibika hadi ukafa chanzo ni hoja ya ushoga.

Nijuavyo Mimi binafsi wewe ni mwanamke japo Sina hakika kwasababu hatujawahi kuonana live. Kama ndivyo, nakuhakikishia utakapokuja kupata watoto wakaja kuwa mashoga utajua ni kwanini waafrika hatupendi hiyo makitu. Sio Mila yetu na haikubaliki kwa namna yyt ile.


Kila jambo lina mwanzo na mwisho wake. Kwa namna unavyotetea vitendo vya ushoga sidhani kama kuna namna unaweza kuaminishwa kwamba hivyo vitendo havifai na ndio maana mleta mada kaamua kuomba msaada kwa lengo la kuacha kwakuwa anajua vilivyo kwamba vitendo hivyo havikubaliki na ni dhahiri nafsi yake inamsuta na kuugulia moyoni. Anajiona anachokifanya sio sawa ndio sababu kaamua kuomba ushauri wa namna ya kuacha.
 
Ameanza akiwa na umri gani? Naomba nkufundshee jinsi ya kumsaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alivyokuwa anaanza tu kujitambua akawa anaiba wanja anajipaka. Alivyokuwa na miaka miwili hivi. Shida Ni kwamba tupo mikoa tofauti , Ila nikienda nyumbani namkuta Yuko hivyo. Ukimuelekeza usiongee hivyo , baada ya dakika moja anajisahau.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio wote wanajifichaaa, wako wengine wanajionesha wazi na wako prouds, wala hawajuti, usiwasemee couz wee sio wao wala hauko ktk nafsi zao.

Yaan mtu awe shoga, iwe kwa maamuzi yake au matatizo ya kimwili eti aibu kwa wazazi, ndugu, na jamii, yaan mtu ashindwe kufanya anachojiskia na kinampa amani kisa watu wa nje? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ts funny,. Ndo maan wabongo wengi uwezo wao wa kufikiri uko nje ya box, khaaaah.

Afu kwann kwenye ushoga lazima mumtaje Mungu na Shetani, je km muhusika hayupo ktk ufuasi na haamini ktk hao je??

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba kufikiri kuwa ushoga ni jambo sahihi na la maana ndio uwezo wako wa kufikiri uko ndani ya box!!!!????????

Haupo serious
 
Miaka fulani iliyopita nilikuwa na mwanamke mmoja wa kizungu asubuhi tumelala tunasikiliza BBC Swahili, redioni wakatangaza kuwa Mugabe amelihakikishia Bunge la nchi yake (wakati huo akiwa Raisi wa Zimbabwe) kuwa wakipitisha muswada wa mwanaume atakayegundulika ni shoga pale Zimbabwe anyongwe hadi kufa yeye Mugabe atasaini haraka sana.

Mimi nikasapoti ile taarifa , yule mwanamke niliyekuwa naye akaibua mjadala mkali sana pale kwa kukataa kwamba mashoga wasisumbuliwe waachwe tu ni haki yao.

Uliibuka ugomvi Mkubwa sitasahau. Kila mmoja alishikilia msimamo wake. Yeye anawatetea Mimi napingana nao. Urafiki uliishia pale pale nikaondoka nikamwacha pale pale.

Baadaye alifanya kila namna tuyaache Yale yaishe nilikubali lakini urafiki baina yangu na yeye uliharibika hadi ukafa chanzo ni hoja ya ushoga.

Nijuavyo Mimi binafsi wewe ni mwanamke japo Sina hakika kwasababu hatujawahi kuonana live. Kama ndivyo, nakuhakikishia utakapokuja kupata watoto wakaja kuwa mashoga utajua ni kwanini waafrika hatupendi hiyo makitu. Sio Mila yetu na haikubaliki kwa namna yyt ile.


Kila jambo lina mwanzo na mwisho wake. Kwa namna unavyotetea vitendo vya ushoga sidhani kama kuna namna unaweza kuaminishwa kwamba hivyo vitendo havifai na ndio maana mleta mada kaamua kuomba msaada kwa lengo la kuacha kwakuwa anajua vilivyo kwamba vitendo hivyo havikubaliki na ni dhahiri nafsi yake inamsuta na kuugulia moyoni. Anajiona anachokifanya sio sawa ndio sababu kaamua kuomba ushauri wa namna ya kuacha.
Nikijaliwa watoto, na kuwa mashogaaa haitabadilika chochote wao wameamua kuwa ktk upande wanao upenda, na watabaki kuwa watoto wangu tyuuh.

Km n tamaduni na Mila sio zetu, mbna zingne mnafuata na kuzichukua kwa ukubwa wake? Kwann msibaki na Mila zenu za ki Africa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa mnachekeshaga sanaaaa.

Woiiiiiiiiiiiih!!!!

Chuki zako kwa mashoga na huna cha kuwafanyaa unajitesa bureee, na utaumiaaaa sanaaaa, tena sahiv wanazidi kujaa kila leo, uwiiiiiiih.

Huyu mtoa madam hajutiii, yupo hapa kuwachoraaa na kutaka attention tyuuh, shtukaaaaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]r

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom