The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kama alikuibia mkeo usilete ugomvi wenu Serikalini.JPM alikataa wahuni na wezi kama huyo Kipara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama alikuibia mkeo usilete ugomvi wenu Serikalini.JPM alikataa wahuni na wezi kama huyo Kipara
Unaripoti ukiwa wapi?Daah hapa nipo gizani ninalaani balaa.
Kila siku mtaani kwangu lazima umeme ukate tu kama sio mchana ni usiku aaaah
Escom imeharibiwa na mafisadi wa Anc ambao hawana huruma. Uliza huko nyuma kama umeme ulikatika huko South AfricaUnalipwa kiasi gani kwa hizi threads za chuki dhidi ya Awamu ya 6?
ESCOM ya South Africa nayo mbona Ina matatizo tu sawa na TANESCO yetu!! Sisemi kuwa kwa vile wanakatikiwa lazima na sisi tukatikiwe bali matatizo ya sekta ya umeme kwa nchi za Africa yanafanana. Angalia hata ZESCO ya Zambia
ArUnaripoti ukiwa wapi?
Huku nilipo wameshauchukua sasa, apa mpaka saa moja usiku
Hizo MW 1400 zipo nyumbani kwakeKwanza alijinasibu kurekebisha miundo mbinu iliuochakaa ya kusafirisha umeme.
Sasa hivi anadai kuwa tuna ziada ya Mw 1400 na huku mgawo wa umeme upo kila siku.
Huyu Waziri ana wafanya Watanzania ni wapuuzi.
Pamoja master.
skope yako ya kuelewa na kudadavua mambo ni ndogo sana jaangu. sijui ulisoma hadi wapi na kama ulisoma ulikuwa unaelewa kweli au ni wale wa vinondo?Kwanza alijinasibu kurekebisha miundo mbinu iliuochakaa ya kusafirisha umeme.
Sasa hivi anadai kuwa tuna ziada ya Mw 1400 na huku mgawo wa umeme upo kila siku.
Huyu Waziri ana wafanya Watanzania ni wapuuzi.
ana nongwa na January na samia huyoHizo MW 1400 zipo nyumbani kwake
Wanaunda Kikosi kazi kwanzaKwanza alijinasibu kurekebisha miundo mbinu iliuochakaa ya kusafirisha umeme.
Sasa hivi anadai kuwa tuna ziada ya Mw 1400 na huku mgawo wa umeme upo kila siku.
Huyu Waziri ana wafanya Watanzania ni wapuuzi.
Chawa hawatakuelewa!JPM alikataa wahuni na wezi kama huyo Kipara
Acha kufananisha matatizo, hayakupeleki mbele tatua tatizo. Sasa hivi upigaji ni mwingiUnalipwa kiasi gani kwa hizi threads za chuki dhidi ya Awamu ya 6?
ESCOM ya South Africa nayo mbona Ina matatizo tu sawa na TANESCO yetu!! Sisemi kuwa kwa vile wanakatikiwa lazima na sisi tukatikiwe bali matatizo ya sekta ya umeme kwa nchi za Africa yanafanana. Angalia hata ZESCO ya Zambia
Kumwelewa January inataka uwe chizi, usiyejitambua, bado ana notion ya kwamba watanzania wanaweza kudanganywa kirahisi kama enzi za Richmond na Dowans!!Kwanza alijinasibu kurekebisha miundo mbinu iliuochakaa ya kusafirisha umeme.
Sasa hivi anadai kuwa tuna ziada ya Mw 1400 na huku mgawo wa umeme upo kila siku.
Huyu Waziri ana wafanya Watanzania ni wapuuzi.
Umechangia nini?Kumwelewa January inataka uwe chizi, usiyejitambua, bado ana notion ya kwamba watanzania wanaweza kudanganywa kirahisi kama enzi za Richmond na Dowans!!
Kwamba bado yupo kwenye giza la kudhani kuwa watanzania ni wapuuzi,Umechangia nini?
Unatafutiwa ban Mkuu. Stuka!....yako
Tumpe mudaKwanza alijinasibu kurekebisha miundo mbinu iliuochakaa ya kusafirisha umeme.
Sasa hivi anadai kuwa tuna ziada ya Mw 1400 na huku mgawo wa umeme upo kila siku.
Huyu Waziri ana wafanya Watanzania ni wapuuzi.
Muda gani?Tumpe muda