Mpekuzi Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 650
- 1,016
Kufanya mabadiliko makubwa kwenye Shirika la umemeMuda gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufanya mabadiliko makubwa kwenye Shirika la umemeMuda gani?
Acha ujinga we pimbi.Escom imeharibiwa na mafisadi wa Anc ambao hawana huruma. Uliza huko nyuma kama umeme ulikatika huko South Africa
Ni lini upigaji ulisimama? Usiongee kwa sababu uko nje ya lineAcha kufananisha matatizo, hayakupeleki mbele tatua tatizo. Sasa hivi upigaji ni mwingi
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo mmezoea kuibia wananchi? Umesahau kuwq hayati JPM alidhibiti upigajiNi lini upigaji ulisimama? Usiongee kwa sababu uko nje ya line
Unayemwambia maneno haya kasalimisha akili na uelewa wake wote kwa hayati JPM, hawezi kukuelewa zaidi zaidi atakutana tu.Unalipwa kiasi gani kwa hizi threads za chuki dhidi ya Awamu ya 6?
ESCOM ya South Africa nayo mbona Ina matatizo tu sawa na TANESCO yetu!! Sisemi kuwa kwa vile wanakatikiwa lazima na sisi tukatikiwe bali matatizo ya sekta ya umeme kwa nchi za Africa yanafanana. Angalia hata ZESCO ya Zambia
Una haki gani kwamba yeye hakuwa mpigaji?. Mtandao wa watu wake haukuwa ni wa malaika walikuwa ni wezi tu na kibaya zaidi wakajifunza hulka mbovu za uonevu na kutaka kunyenyekewa.Kwa hiyo mmezoea kuibia wananchi? Umesahau kuwq hayati JPM alidhibiti upigaji
Kwanza alijinasibu kurekebisha miundo mbinu iliuochakaa ya kusafirisha umeme.
Sasa hivi anadai kuwa tuna ziada ya Mw 1400 na huku mgawo wa umeme upo kila siku.
Huyu Waziri ana wafanya Watanzania ni wapuuzi.
Kwa hiyo wewe mhuni zile threads ambazo huwa unatoa kuponda awamu ya tano huwa unalipwa? Au ndio ile ukikipenda wewe tukipende wote na kinyume chake.Unalipwa kiasi gani kwa hizi threads za chuki dhidi ya Awamu ya 6?
ESCOM ya South Africa nayo mbona Ina matatizo tu sawa na TANESCO yetu!! Sisemi kuwa kwa vile wanakatikiwa lazima na sisi tukatikiwe bali matatizo ya sekta ya umeme kwa nchi za Africa yanafanana. Angalia hata ZESCO ya Zambia
Magufuli hakudhibiti ufisadi, Bali alijimilikisha ufisadi yeye na kikundi cha wateule wake Wachache . Ushahidi ni CAG REPORTKwa hiyo mmezoea kuibia wananchi? Umesahau kuwq hayati JPM alidhibiti upigaji
Usisahau Mzee Makamba alisema "Nchi imerudi kwa wenyewe na hatutaruhusu wa kuja kutawala tena kamwe". Bila maombi kwa Mungu wa Mbinguni TZ tutateseka sana na hao "wenyewe".Daah hapa nipo gizani ninalaani balaa.
Kila siku mtaani kwangu lazima umeme ukate tu kama sio mchana ni usiku aaaah
Rudi kwenye threads zangu tukapamnane kwa hoja. Usinifananishe na huyu Nyankurungu2020 ambaye ni msukule wa Mwendazake.. Huyu anahitaji tibaKwa hiyo wewe mhuni zile threads ambazo huwa unatoa kuponda awamu ya tano huwa unalipwa? Au ndio ile ukikipenda wewe tukipende wote na kinyume chake.
Bora wachache.Magufuli hakudhibiti ufisadi, Bali alijimilikisha ufisadi yeye na kikundi cha wateule wake Wachache . Ushahidi ni CAG REPORT
Kwanza alijinasibu kurekebisha miundo mbinu iliuochakaa ya kusafirisha umeme.
Sasa hivi anadai kuwa tuna ziada ya Mw 1400 na huku mgawo wa umeme upo kila siku.
Huyu Waziri ana wafanya Watanzania ni wapuuzi.
Tatizo ni kwamba wahuni wakubwa wamejaza wahuni wadogo huku mitandaoni ili kuwatetea kwenye kila ukweli unaosemwa kuhusu michezo yao mibaya ya kifisadi wanayoiendeleza.Kwa hiyo wewe mhuni zile threads ambazo huwa unatoa kuponda awamu ya tano huwa unalipwa? Au ndio ile ukikipenda wewe tukipende wote na kinyume chake.
Dah we jamaa wewe! Haya ngoja tuone uchaguzi ujao utakuaje ambao mpora uchaguzi hayupo tena.Dhalimu alipora uchaguzi akajaza wanaccm bungeni na kila mahali, sasa wahoji huo umeme nini shida.
Dah we jamaa wewe! Haya ngoja tuone uchaguzi ujao utakuaje ambao mpora uchaguzi hayupo tena.
Siku mkijua namna bora ya kumtambua kiongozi alie bora na mwenye uchungu na taifa lenu , mtakua mmepevukaKwanza alijinasibu kurekebisha miundo mbinu iliuochakaa ya kusafirisha umeme.
Sasa hivi anadai kuwa tuna ziada ya Mw 1400 na huku mgawo wa umeme upo kila siku.
Huyu Waziri ana wafanya Watanzania ni wapuuzi.
Na hakuna wa kumfanya lolote.Kwanza alijinasibu kurekebisha miundo mbinu iliuochakaa ya kusafirisha umeme.
Sasa hivi anadai kuwa tuna ziada ya Mw 1400 na huku mgawo wa umeme upo kila siku.
Huyu Waziri ana wafanya Watanzania ni wapuuzi.
Kinachokusumbua wewe ni usukuma gangKwanza alijinasibu kurekebisha miundo mbinu iliuochakaa ya kusafirisha umeme.
Sasa hivi anadai kuwa tuna ziada ya Mw 1400 na huku mgawo wa umeme upo kila siku.
Huyu Waziri ana wafanya Watanzania ni wapuuzi.