Mambo ya kushangaza kuhusu kujamba

Kikwetu kujamba ni aibu sana, huwezi Jamba mbele ya wakubwa, na mkubwa akijamba kwa kupitiwa huwa tunavuga kwa kupiga story nyingine hatakama kimetoa harufu kali vipi.
 
Kuna siku kiliponyoka ila uzuri nlikuwa na mshkaji,, jamaa akasema afya hiyo,,


Ila kuna jamaa yangu huwa hana aibu mkikaa wote wa kiume huwa anaachiaga tu,, na tushamzoea,, tunamchukulia poa tu
Hahahah huyo jamaa ni jasiri 🤣🤣🤣 pia nina mwanangu huyo naye tukiwa ghetto kwake yeye huvirusha tu...hawazi!
 
Kuna siku kiliponyoka ila uzuri nlikuwa na mshkaji,, jamaa akasema afya hiyo,,


Ila kuna jamaa yangu huwa hana aibu mkikaa wote wa kiume huwa anaachiaga tu,, na tushamzoea,, tunamchukulia poa tu

kuna jamaa yetu pia alikuwa na huu upuuzi nilimkalipia sana hadi ameacha,ilikuwa inanikera sana
 
unajamba ukiona harufu kali unaanza kugeuka geuka nyuma km unamtafuta aliejamba kupoteza maboya.hahaha

wakati nipo form 6 kuna siku jioni tunatoka shule na jamaa yangu tukapanda daladala iliyokuwa inatoka shambani huko mule ndani kuna wazee tu wametoka shamba na kwakua ilikua kuna hali ya ka mvua vioo vilikua vimefungwa
basi bwana kufika mbele kidogo gari imechochea speed ilisikika harufu kali sana ya kijampo mimi na rafiki yangu tukaamua kufungua dirisha letu lakini wapi ,harufu ilidumu kama dakika 1 yule mzee sijui alikula nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…