Mambo ya kushangaza kuhusu kujamba

Mambo ya kushangaza kuhusu kujamba

Cha mtu kinakera. Ila kama ni changu naingiza kichwa ndani ya shuka nikinuse vizuri. Raha sana.
Siku Umekula Hivi tutakupoteza kabisa hivihivi
Screenshot_20200120-133318.jpg
 
Wakuu mbona mimi najamba sana halafu mke wangu yaani ni mara chache sana kujamba. Yaani tunaweza kusema hajambi kabisa. Wakati vyakula wote tunakula hivyo hivyo nyumbani.
Mwanzoni nilikua nikimkera sana sana sasa hivi kashanzoea napiga vitu tena kwa kujiaachia.
Wewe ni mbele zaidi ya mkeo
 
Mi nilijamba wakati natongoza nilijua ni ile kitu cha yusuphuuu kumbe ni matarumbeta ya buza. Hahaa niliondoka bila kuaga!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom