rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Ule wa "yuuusuuphh" unakuwaga silent killer sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimya cha maombolezo au tafakari baada ya ushuzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama alijambaga wakati tupo kwenye kikao cha familia. Kimya kikapita kama dakika 3 maongezi yakaendelea
Daaah. Yaan unakuwa umeondoa Farting absorber mkuuSiku Ukinyoa vuzi, ushuzi unatoka kwa makelele sanaa,,
Usiombe uwe imekaa na mtu kasimama kaweka kalio mbele yakp then akajamba shuzi la maharage...utajutaUsiombe itokee kwenye daladala alafu uwe umesimama.
Siku Umekula Hivi tutakupoteza kabisa hivihiviCha mtu kinakera. Ila kama ni changu naingiza kichwa ndani ya shuka nikinuse vizuri. Raha sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Raha ya kujamba uwe pekee yako, ubinue kalio moja, ushuzi utoke taratibu, usikilizie harufu yake(mjambaji harufu hata ikiwa mbaya atahisi nzuri)
Wewe ni mbele zaidi ya mkeoWakuu mbona mimi najamba sana halafu mke wangu yaani ni mara chache sana kujamba. Yaani tunaweza kusema hajambi kabisa. Wakati vyakula wote tunakula hivyo hivyo nyumbani.
Mwanzoni nilikua nikimkera sana sana sasa hivi kashanzoea napiga vitu tena kwa kujiaachia.
Jamba tuHapa nilipo nimeubana, sina ujasiri kabisa wa kuuachia, niko na watu ofcn...ushauri tafadhali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi nilijamba wakati natongoza nilijua ni ile kitu cha yusuphuuu kumbe ni matarumbeta ya buza. Hahaa niliondoka bila kuaga!
Siku Ukinyoa vuzi, ushuzi unatoka kwa makelele sanaa,,