Uzinzi ulianza lini?
Maana Maandiko yanasema wakati wa Ibrahim sheria amri na maagizo ya Mungu yalikuwepo. Inaonekana unamaarifa ya upande mmoja.
Kwa sababu Ibrahimu alisikia sauti yangu, akayahifadhi maagizo yangu, na amri zangu, na hukumu zangu, na sheria zangu. Mwanzo 26:5
Pia ukumbuke dhambi ni uasi wa sheria za Mungu. Vinginevyo watu wa sodoma, watu wa kizazi cha Nuhu, Kaini kumuua Habiri wasingehesabiwa kosa maana hakukuwa na sheria.
Tumuelewe Mungu kwa mapana.
Usichanganye neno DHAMBI na UOVU.
Labda nikuulize unasoma biblia zipi (kwa maana ya lugha)?
Maana naona hata the way unatafsiri mambo na maandiko unayotumia kusupport marlezo yako yana mkanganyiko wa matumizi ya lugha.
Hilo neno sheria kama linavyotumika kwenye mwanzo 26:5 si neno sheria kama linalotumika kwenye mfano kitabu cha kutoka na kuendelea likimaanisha torati.
Soma biblia ya kiebrania utaona ni vitu viwili tofauti.
Kuhusu kuzaliwa kwa dhambi soma hapa:
Romans 7
7. What shall we say then? Is the law sin? God forbid. Nay, I had not known sin, but by the law: for I had not known lust, except the law had said, Thou shalt not covet.
Tusemeje, basi? Torati ni dhambi? Hasha! Walakini singalitambua dhambi ila kwa sheria; kwa kuwa singalijua kutamani, kama torati isingalisema, Usitamani.
8. But sin, taking occasion by the commandment, wrought in me all manner of concupiscence. For without the law sin was dead.
Lakini dhambi ilipata nafasi kwa ile amri, ikafanya ndani yangu kila namna ya kutamani. Kwa maana dhambi bila sheria imekufa.
9. For I was alive without the law once: but when the commandment came, sin revived, and I died.
Nami nalikuwa hai hapo kwanza bila sheria; ila ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, nami nikafa.