Ardhi haikulaaniwa kwasababu ya kaini, soma tena kaka, ardhi ilibeba laana ya Adam baada ya kutenda dhambi.
Genesis 4
11. Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ndugu yako kwa mkono wako;
12. utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake; utakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani.
Brother sheria ya mungu ni ileile haibadiliki, Dhambi inazaa mauti, hamna utafouti wa sheria wowote ninao uona hapo.
Adam aliambiwa akila matunda ya mti wa katikati atakufa, lakini biblia inatuambia aliishi zaidi ya miaka 900 (mwanzo 5:5). Huku katika sheria ya Musa ilikuwa nawe unauwawa baada ya mashahidi wawili au zaidi kuthibitisha.
Mungu anapoamua kumwacha kaini aende zake hamaanishi amemsamehe(maana hakuomba msamaha) au amesahau, ni huruma tuu sometimes, but Mark words inawezekana dhambi isikudhuru wewe directly but ikadhuru watoto/uzao wako. Kuna Msamaha na kuna athari za dhambi, ni vitu viwili tofauti, unaweza samehewa dhambi zako but athari ya zile dhambi bado zikakuandama na hichi ndicho kilichomtokea kaini na wengine wengi.
1. Mungu si kigeugeu, akisamehe anasamehe jumla. Unaposema ni “huruma tuu unamaanisha nini?”
2. Wapi biblia inasema uzao wa Kaini umeadhibiwa? Au unazungumzia hisia tuu?
Mungu anaposema atapatiliza hadi kizazi cha nne kwa dhambi yako, anatoa nafasi ya kutubu kwa vizazi vinne pia mbele.
Na unaposema kipindi cha musa kulikuwa hakuna msamaha unajidanganya brother kwasababu hata wakina Daudi walikuwa wanaishi kipindi cha torati ya musa, torati ya musa ndo ilikuwa msingi wa Imani yao hata kipindi cha akina Hezekia.
Sasa je kama kulikuwa hakuna msamaha kipindi cha torati, mbona daudi alisamehewa makosa yake baada ya kumuua mtu asiye na hatia?
Ukisoma utaona hizi personalities tatu i.e Wafalme, Manabii na Makuhani walikuwa responsible kwa Mungu pekee na ndio waliokuwa wanasimamia uendeshaji wa mashauri yote. Ni utaratibu huu umerithiwa hata leo majaji wanakuwa na immunity ya kutoshitakiwa.
Hata Musa alioa mwanamke mkushi kinyume na amri ya Mungu lkn Haruni na Miriam walipojaribu kumuhoji Mungu aliwashukia na kuwaonya na Miriam alipigwa ukoma kwa sababu hiyo na huyo alikuwa nabii mke.
Just think brother, Lucifer mwenyew alikuwa na dirisha la kuomba msamaha sembuse binadamu walioishi kipindi cha mussa? Na zile dhabihu walizokuwa wanatoa kwaajili kuomba msamaha zilikuwa za maana gani kama kulikuwa hakuna msamaha?
1. Una ushahidi wa maandiko kwamba shetani alikuwa na chance ya kuomba msamaha au again ni hisia zako tu?
2. Dhabihu zilizokuwa zikitolewa kwenye sheria ya Musa ilikuwa ni za upatanisho (atornment), again from hebrew bible atotnment means just covering, meaning that sins are still there, wakati wakisubiri ujio wa Kristo ambaye baada ya ujio wake biblia inasema ni remission (complete take away) once and for all (romans 3:25 Romans 3
25. Whom God hath set forth to be a propitiation through faith in his blood, to declare his righteousness for the remission of sins that are past, through the forbearance of God.
Finally ukileta hoja nipe na scriptures otherwise sitakujibu sabab unanichosha kujibu hisia zako.