Good-bye
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,085
- 1,812
Huyo mmoja unamwambia mambo yako na kumkata ulimi au?Tafuta Mtu mmoja potential unaemuamini sana ukae nae umuelezee yale yanayokusibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mmoja unamwambia mambo yako na kumkata ulimi au?Tafuta Mtu mmoja potential unaemuamini sana ukae nae umuelezee yale yanayokusibu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna watu unakuta amepakua wali sahani nzima na anaumaliza wote ..hapo ni mchana na asubuh amekula chakula kingi pia
Kwahiyo unakulaje?Ulaji bado ni changamoto sana...kwa kweli mm namshukuru Mungu ameniwezesha kulifahamu hilo na ninalifanyia kazi kwa vitendo na kwa kiasi pia
🤣🤣Asipokuonya ndo bas tena 🤭INategemea mzee...mm naweza nikakaa na siri ya mtu vzuri tu kama alinionya nisimuambie mtu
😳 Like seriously?Ntakuelezea vzuri kama hutojali ila inahitaji uwe na commitment na consistency ya hali ya juu
Faida ya laki Tano kwa siku...Hali yako ya kiafya.
1. Unywaji wa pombe kupitiliza hasa hiz pombe zisizo na kiwango na za bei rahisi.
2. Ngono zembe na magonjwa ya zinaa.
3 .ulaji wa ovyo hasa wa mavyakula ya wanga na nyama nyekundu kupitiliza.
4. Kujitwika stress hasa za mapenzi na za kujilingalisha na waliokuzid kiuchumi.
5 . Kujali mda na kuwa mwaminifu kwako na kwa wengine.
6 . Kuheshimu ushauri mzuri kuhusu mienendo yako mibovu hasa kwa kutoka kwa wazaz wako na jamii iliyokuzunguka.
7 . Kuhonga mwanamke asie mke wako huku ukijifanya una hudumia wakati hauna mzunguko wa faida ya laki tano kwa siku , hii ni yakuacha haraka sna.
8.kuongeza maarifa kwa kujisomea na hata kwa tembelea maeneo mbalimbali ya hii dunia ili kujifunza .
9. Kuacha kujifanya unajua siasa na kujifanya unaandamna ili kuisaidia tanzania wakati taifa linatatizo kubwa la kimaadili kwanzia ngazi ya familia.
Ooh sawaNpo serious ntakupigia nkuelezee vzuri
Kwani haiwezekani mkuu?Faida ya laki Tano kwa siku...
Nyama nyekundu na wanga kwa wingi zina sababisha magonjwa mengi mwilini hasa magonjwa ya moyo , na pressure , kula nyama nyekundu mara moja kwa mwezi na wanga kidgo na mboga za majan kwa wingi na matunda ni jambo zuri zaid kiafya.Hii namba Tatu nifafanunulie na hatari ya hiyo nyama na ulaji mwingi ni kuanzia kias gani
Ndiyo maana watu wanatembea mishipa kichwani imewasimama na macho kuwa mekunduuuu!Kumbe ni ubebaji wa siri!Si utapasuka sasa?
Yes mafanikio ni siri ndomana mambo yako hupaswi kuweka wazi kwa kila mtu hasa mipangi ya maendeleoKwamba siri zitakuzidia[emoji2][emoji2]